Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Unajua mkuu lazima USA atapetape maana unaambiwa mpaka miaka ya 1950 USA ilikua ina miliki uchumi wa dunia kwa asilimia 50% yani nusu ya uchumi wa dunia ulikua USA, ila kwa sasa wana 18% tu hii ni hatari kwao na walifikiri hakuna nchi zingine zitakazo ibuka inabidi tu wakubali matokeo kuwe multi polar world

Anamkataza Germany asisambaze 5G network kupitia huawei eti kwamba huawei ata spy europe na wakati yeye USA kipindi cha Obama ndiye aliyekua na scandal ya ku spy viongozi wa wa ulaya wakina merkel

Naona germany amegoma kila pressure anayopewa na USA kwa sasa kuanzia kupeleka navy force kule Kerch straight crimea,bomba la gas na ku ban huawei technology

Mtu akinunua silaha za kujilinda za urusi anapigwa sanctions anataka zinunuliwe zake na watu wanataka wanunue za russia huu ni wivu mkubwa sana wa kibiashara

kuna siku sanctions hazita fanya kazi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Barikiwa saana
 
Ukiwa vizuri kwenye suala la Tech..mmarekani lazima tu atakuletea fitina.Hii ni mara ya pili wanafanya ban ya product za Huawei.Wivu umewajaa sanaa.. Huawei kaongoza sokoni mwaka jana ulaya na Asia.Huawei imeshakuwa threat kwa kampuni yao ya apple na bado..Mnyama Nokia naye hayupo nyuma..katoa kitu hatari sana(Nokia9)..Noana Aple watapata tabu sana kwenye market this time..Nokia,Xiomi and Huawei these are the future mobile thech giants..View attachment 1040848

#Muungwana_John
🙏🙏🙏🙏👍
 
Kwa nini uwe tegemezi?

Kwani unadhani umezuiwa kutumia app za kichina?

Marekani wanafanya fitna na china nao wana fanya fitna vile vile

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme US sema dunia, dunia haijazuiwa kutumia OS na apps za za kichina. Hawatumii sababu hazina mvuto. Dunia inatumia OS za US sababu zina mvuto, ni bora, na zinakidhi viwango vya kimataifa. Wachina wanatumia za kwao sababu za US zimezuiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu zile tuhuma za USA kupitia NSA za ku wa spy viongozi wa ulaya wakina Merkel na kibaya zaidi ushahidi ulikuwepo.

USA walikua wanadukua maongezi ya viongozi wa ulaya una lizungumziaje hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unaona marekani kudukua ni sahihi?

Ila akidukiliwa yeye ni shida au siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiseme US sema dunia, dunia haijazuiwa kutumia OS na apps za za kichina. Hawatumii sababu hazina mvuto. Dunia inatumia OS za US sababu zina mvuto, ni bora, na zinakidhi viwango vya kimataifa. Wachina wanatumia za kwao sababu za US zimezuiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.

Kibaya hapo China ni soko la uhakika sana la hizo bidhaa na ukizingatia wana nguvu kubwa sana ya manunuzi

China kamawahi marekani kwa kufanya procteonism ambapo marekani ndio wamekumbuka sasa hivi kwa kupitia rais wao trump ndio maana umeona anasema america first

ameanza mpaka kupinga magari yanayo toka ujerumani na ujerumani akasema tunapeleka magari kwenu sababu tuna tengeneza magari yenye ubora zaidi na raia wa USA wanayapenda

Marekani ina deficit trade na nchi nyingi tu na ni kwa sababu walizubaa walilewa na mavita vita yasiyokua na mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni haki yao lazima wajue nani ni rafiki wa kweli na yupi ni mamluki. Pia kwa usalama wa watu Dunia Nzima,ni mara ngapi Marekani imekua ikionya juu ya mipango ya mashambulizi ya kigaidi na kusaida nchi husika kutibua mipango ya magaidi,huwezi fananisha na China ambayo taarifa za udukuzi ni zao wao pekee kwa maslahi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata USA nayo imeonyonywa sana na mataifa mengine kuhusu mashambulizi ya kigaidi hata ile sept 11 walionywa pia

Mataifa mengi kwenye masuala ya ugaidi huwa wanapeana intel sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo wito wa rais trump makampuni yarudi nyumbani.
China ananufaika Sana na uwepo wa yale makampuni eti?!
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.

Kibaya hapo China ni soko la uhakika sana la hizo bidhaa na ukizingatia wana nguvu kubwa sana ya manunuzi

China kamawahi marekani kwa kufanya procteonism ambapo marekani ndio wamekumbuka sasa hivi kwa kupitia rais wao trump ndio maana umeona anasema america first

ameanza mpaka kupinga magari yanayo toka ujerumani na ujerumani akasema tunapeleka magari kwenu sababu tuna tengeneza magari yenye ubora zaidi na raia wa USA wanayapenda

Marekani ina deficit trade na nchi nyingi tu na ni kwa sababu walizubaa walilewa na mavita vita yasiyokua na mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema sasa ishu ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nikakuambia fikiria vizuri lakin wewe hujataka kabisa kufikiri. Kwani hivyo vifaa vya huawei ambavyo US imekataza vinatengenezwa US? umshauri China akatengenezee China!.
au unafikiri china naye anapopiga pini vitu vya US anaangalia kama ni made in US au made in China?! Kinachoangaliwa hapo ni product ya US hata kama imetengenezwa US kwenyewe au ndani ya china

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua kwamba kule china google play store ilipigwa ban muda mrefu tu?wachina wanatumia app zao wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apps zao wenyewe ngapi?

Play Store na App store ina zaidi ya app malaki za kila aina na zenye uwezo wa kufanya mambo mbalimbali.

Mpaka waweze tengeneza apps zao wangeshakuwa na store yao mbadala wa hizi store maarufu.

Na ndo ingekuwa rahisi kutengeneza OS yao.

Kutengeneza OS ni rahisi ila hutapata developers wa kukutengenezea apps waulize Windows OS.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu google play store kule china imepigwa ban kule china wanatumia application stores zao ngoja nikutajie ambazo ni popular

1.Myapp ya tencent
2.Baidu app store
3.Xaiomi Phone store
4.360

Zipo application store nyingi tu ambapo kwa raia wa china atapata application za kutosha tena zikiwa na mbadala wa popular app popular zote kuanzia facebook mpaka google maps.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apps 4 unataka kulinganisha na msitu wa play store?

Kilichofanyika ni kuzuia baadhi ya apps kwa masoko ya uchina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom