Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Marekani hakuwahi kujisahau kwenye uchumi hata mara moja,hiyo China yenyewe leo imekua tajiri sababu ya Marekani maana kampuni nyingi zilizo China ni za Marekani. Na sasa gharama za uzalishaji nchini China zinaanza kua juu pia na hii inapelekea kampuni nyingi kuhamisha shughuli zao za uzalishaji kwenye nchi nyingine jirani kama Vietnam, Indonesia,nk. Pia trade war nayo imechangia kampuni kuhamisha shughuli zao nchi nyingine. Na kwa sasa uchumi wa China umeshaanza kupungua nguvu/Kasi ya ukuaji kutokana na kupungua kwa export,nk.

Embu mkuu nitajie teknolojia hata moja iloyogunduliwa na China?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamegundua paper making,compass,gunpowder na printing

Kwa sasa china ndio nchi inayo file patent nyingi zaidi kuliko zote duniani

Hata Marekani ilitajirika kupitia ulaya na Africa,Ulaya nayo ilitajirika kupitia Africa.

Au umesahau historia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sera yake ya kumake America great again imeleta mafanikio,uchumi unakua na baadhi ya viwanda vinaanza kufunguliwa tena kuanza uzalishaji (mfano,vya chuma/alumini), Mexico-canada-usa trade deal,nk.
Kuidhibiti China kuendelea kuiba teknolojia za kampuni za kigeni hasa za Marekani,na bado anataka WTO ifumuliwe iundwe upya sababu ni kama inaionyonya Marekani kumbuka kwenye WTO China anatambulika kama nchi inayoendelea na sio iliyoendelea wakati ni ya pili kwa uchumi mkubwa duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini iwe great again ina maana kuna sehemu ili lose au trump mmarekani anamaanisha

Hivi mimi nikisema sasa nitahakikisha nina kua na akili tena ina maana kuwa kwa sasa sina akili au zimepungua na ninataka nirudi kama zamani

Au una tafsiri vipi hiyo sentensi ya trump

Economic depression iliyotokea USA walikua hawajakosea kwenye uchumi wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamegundua paper making,compass,gunpowder na printing

Kwa sasa china ndio nchi inayo file patent nyingi zaidi kuliko zote duniani

Hata Marekani ilitajirika kupitia ulaya na Africa,Ulaya nayo ilitajirika kupitia Africa.

Au umesahau historia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kua na patent nyingi sio kigezo Cha kuendelea kiteknolojia ila matokeo ya hizo patents.
Leo hii bila Marekani pengine tusingekua na internet duniani ambayo imekuja kurahisha maisha na pia kuleta maendeleo.

Ulaya haikutajirika kupitia Africa ila mapinduzi ya viwanda na teknolojia na wala Marekani haikutajirika kupitia Ulaya.
Ugunduzu wa teknolojia ndo zimewafanya Leo wawe hapo walipo!

NB: China haijagundua Compass wala paper making

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini iwe great again ina maana kuna sehemu ili lose au trump mmarekani anamaanisha

Hivi mimi nikisema sasa nitahakikisha nina kua na akili tena ina maana kuwa kwa sasa sina akili au zimepungua na ninataka nirudi kama zamani

Au una tafsiri vipi hiyo sentensi ya trump

Economic depression iliyotokea USA walikua hawajakosea kwenye uchumi wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo tafsiri ni kwa mujibu wako!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua na patent nyingi sio kigezo Cha kuendelea kiteknolojia ila matokeo ya hizo patents.
Leo hii bila Marekani pengine tusingekua na internet duniani ambayo imekuja kurahisha maisha na pia kuleta maendeleo.

Ulaya haikutajirika kupitia Africa ila mapinduzi ya viwanda na teknolojia na wala Marekani haikutajirika kupitia Ulaya.
Ugunduzu wa teknolojia ndo zimewafanya Leo wawe hapo walipo!

NB: China haijagundua Compass wala paper making

Sent using Jamii Forums mobile app
Matango pori meengi.
 
Kua na patent nyingi sio kigezo Cha kuendelea kiteknolojia ila matokeo ya hizo patents.
Leo hii bila Marekani pengine tusingekua na internet duniani ambayo imekuja kurahisha maisha na pia kuleta maendeleo.

Ulaya haikutajirika kupitia Africa ila mapinduzi ya viwanda na teknolojia na wala Marekani haikutajirika kupitia Ulaya.
Ugunduzu wa teknolojia ndo zimewafanya Leo wawe hapo walipo!

NB: China haijagundua Compass wala paper making

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bila namba za misri huenda tusingekua na computer kabisa maana computer ni zeros and ones.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahaha

Aiseeee
Hapo sawa tu na huawei walisema haita enda kwenye nchi ambazo hawata karibishwa.

Shida ya usa wana pressure wengine nao wamuunge mkono kuigomea huawei kwa interest zake

Jana wametoa statement kwamba India isinunue mafuta kutoka Venezuela na nchi nyingine nazo zifuate hivyo yani USA akikataza kitu kwa interest zake anataka kila mtu afanye hivyo au Venezuela naye ana nuclear kama iran nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua na patent nyingi sio kigezo Cha kuendelea kiteknolojia ila matokeo ya hizo patents.
Leo hii bila Marekani pengine tusingekua na internet duniani ambayo imekuja kurahisha maisha na pia kuleta maendeleo.

Ulaya haikutajirika kupitia Africa ila mapinduzi ya viwanda na teknolojia na wala Marekani haikutajirika kupitia Ulaya.
Ugunduzu wa teknolojia ndo zimewafanya Leo wawe hapo walipo!

NB: China haijagundua Compass wala paper making

Sent using Jamii Forums mobile app
Jisomee mwenyewe.
Screenshot_2019-03-12-22-36-50.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo tafsiri ni kwa mujibu wako!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamarekani wenyewe wanaamini nchi ipo kwenye decline we nani ukatae

Mara ya kwanza trump alitumia neno We will make America great wajuzi wa mambo wakamwambia ukisema hiyo kauli itaonekana hawajawahi kuwa great kwa hiyo wakamshauri aweke hilo neno again ili ijulikane kwamba taifa lao limeisha wahi kuwa great kabla ya hapo
Screenshot_2019-03-12-22-58-03.jpg
Screen-Shot-2018-02-21-at-11.44.50-AM.jpg
Screenshot_2019-03-12-23-05-45.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamarekani wenyewe wanaamini nchi ipo kwenye decline we nani ukatae

Mara ya kwanza trump alitumia neno We will make America great wajuzi wa mambo wakamwambia ukisema hiyo kauli itaonekana hawajawahi kuwa great kwa hiyo wakamshauri aweke hilo neno again ili ijulikane kwamba taifa lao limeisha wahi kuwa great kabla ya hapoView attachment 1044283View attachment 1044284View attachment 1044291

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maneno tu ya wanasiasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo teknolojia za miaka ya manabii hata Africa tuligundua zetu,hata Egypt walijenga pyramid. Tunazungumzia teknolojia za zilizoleta mapinduzi duniani,kama vile internet,nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hizo hizo zimetufanya tufike hadi leo hii hapa tulipo,hatua hatua milllion zinaanza na hatua ya kwanza

Kwa hiyo hesabu hazijaleta mapinduzi duniani,hivi unakisia unachokiongea kweli

Hata miaka ya mbele huko karne zijazo tunaonekana sisi ni primitive vile vile kama tunavyo waona watu wa zamani

Pyramid zenyewe hizo mpaka leo ni kitendawili kwa wana sayansi wa leo kwamba zilijegwaje,walitumia tech gani kupandisha yale mawe kule

It is an extreme engineering,leo hii unadhani na wakati hao hao ndio waliotufundisha hadi irrigation

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hizo hizo zimetufanya tufike hadi leo hii hapa tulipo,hatua hatua milllion zinaanza na hatua ya kwanza

Kwa hiyo hesabu hazijaleta mapinduzi duniani,hivi unakisia unachokiongea kweli

Hata miaka ya mbele huko karne zijazo tunaonekana sisi ni primitive vile vile kama tunavyo waona watu wa zamani

Pyramid zenyewe hizo mpaka leo ni kitendawili kwa wana sayansi wa leo kwamba zilijegwaje,walitumia tech gani kupandisha yale mawe kule

It is an extreme engineering,leo hii unadhani na wakati hao hao ndio waliotufundisha hadi irrigation

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli ukiulizwa teknolojia zilizoleta mapinduzi karne hii utataja teknolojia za zama za Yesu kweli?! Embu kua serious bhas Mkuu!!

Hata waafrica tulikua na teknolojia ya kuwasha moto kwa kutumia vijiti vya uwimbombo na ulindi,hizo za China za zama za mawe sio ajabu ila je zimeleta mapinduzi gani kwenye Dunia ya leo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kua na patent nyingi sio kigezo Cha kuendelea kiteknolojia ila matokeo ya hizo patents.
Leo hii bila Marekani pengine tusingekua na internet duniani ambayo imekuja kurahisha maisha na pia kuleta maendeleo.

Ulaya haikutajirika kupitia Africa ila mapinduzi ya viwanda na teknolojia na wala Marekani haikutajirika kupitia Ulaya.
Ugunduzu wa teknolojia ndo zimewafanya Leo wawe hapo walipo!

NB: China haijagundua Compass wala paper making

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu wewe umesoma historia wapi?

Kuna mawili either wewe ni kilaza au mwalimu wako

Hujawahi hata kusoma kitu kinachoitwa triangular trade

Watumwa walikua wanatoka huku kwenda kufanya kazi kwenye mashamba na viwanda nchini marekani na baadae kupeleka bidhaa europe na duniani kote na hapa ndipo USA ilipoanza kutajirika na hata ulaya pia japo USA ilijitarijisha zaidi kwenye world war 2 na europe ikaanza kufia hapo

Au basi tupe hoja zako USA na Europe zilitajirikia wapi?

Rudi shule mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli ukiulizwa teknolojia zilizoleta mapinduzi karne hii utataja teknolojia za zama za Yesu kweli?! Embu kua serious bhas Mkuu!!

Hata waafrica tulikua na teknolojia ya kuwasha moto kwa kutumia vijiti vya uwimbombo na ulindi,hizo za China za zama za mawe sio ajabu ila je zimeleta mapinduzi gani kwenye Dunia ya leo?!

Sent using Jamii Forums mobile app
zimechangia wa kiasi kikubwa kabisa maendeleo tuliyonayo sasa

Newton alivumbua vitu vyake karne ya ngapi?je utasema hana mchango kwenye maendeleo sababu hakuishi karne hii ya 20

Bila hesabu za Egypt leo hii tungekua na hiyo Internet

Usidharau ulipotoka,wana sayansi wenyewe wanakubali sana watu wa zamani na wana shangaa kuna vitu vingine waliwezaje kufanya ilihali technology ilikua ndogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zimechangia wa kiasi kikubwa kabisa maendeleo tuliyonayo sasa

Newton alivumbua vitu vyake karne ya ngapi?je utasema hana mchango kwenye maendeleo sababu hakuishi karne hii ya 20

Bila hesabu za Egypt leo hii tungekua na hiyo Internet

Usidharau ulipotoka,wana sayansi wenyewe wanakubali sana watu wa zamani na wana shangaa kuna vitu vingine waliwezaje kufanya ilihali technology ilikua ndogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usianze kuhamisha magoli,we eleza teknolojia alizovumbua China ambazo zimeleta mapinduzi duniani achana na hizo teknolojia za enzi ya mitume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hata hiyo hata hatua anazo zichukua trump hauziamini kwa kua yeye mwanasiasa

Acha kua na fikra potofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hua siaminigi maneno naamini vitendo na Trump ametenda kweli,alisema ataitambua Jerusalem kua mji mkuu wa Israel na amefanya hivyo! Kwenye ahadi za kampeni aliahidi ataongeza ushuru wa bidhaa za China na kweli amefanya hivyo!

Sio maneno ya 50ml/kijiji halafu hamna kitu!

CASE CLOSED!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom