Ulisema kwamba nikitajie hata tech moja iliyogunduliwa na china na nimekutajia paper making sasa shida ipo wapi mara unasema ooh ni zamani sana kwani hizo paper leo hii hazitumiki?Mkuu usianze kuhamisha magoli,we eleza teknolojia alizovumbua China ambazo zimeleta mapinduzi duniani achana na hizo teknolojia za enzi ya mitume
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app