Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

USA has all the rights to protect its technology and that’s why China’s begging and promissing to buy USA products to the tune of $1.3 trillions for the next 6 years. China’s economy is suffering big time and USA is also suffering. China has to accept the reality in order to obtain technology legally instead of using illegal means i.e. by forcing USA companies to do so.

China's Top Trading Partners
  • United States: US$479.7 billion (19.2% of total Chinese exports)
  • Hong Kong: $303 billion (12.1%)
  • Japan: $147.2 billion (5.9%)
  • South Korea: $109 billion (4.4%)
  • Vietnam: $84 billion (3.4%)
  • Germany: $77.9 billion (3.1%)
  • India: $76.9 billion (3.1%)
  • Netherlands: $73.1 billion (2.9%)
[/COLOR]

 
Huu Uzi toka mwanzo nilitaka kuleta ushabiki na fix lkn nilivyosoma comment nikagundua huu Uzi unaitaji akili kubwa na fact

Wewe ni mmoja kati ya ma GENIUS umetoa bonge wa comment aise umewazidi wote

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Wee acha tuu nimekuwa mtu wa kupita na kumpa Like kama zote. Ila huyu mkuu Mkuu @ Yonga na mwalimu wangu Mkuu @ Malcom Lumumba hawana tofauti kabisa.

Yani wana madini kama yote vile...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha weye ukauze bidhaa zako nchi A bila masharti na ni soko lako kubwa sana kuliko nchi yoyote ile duniani, na nchi A ikitaka kuja kuuza bidhaa zake kwako uanze kujibaraguza na masharti ili upate technology kwa kuforce kupitia mlango wa nyuma. Amka mkuu this is 2019 scratch my back I’ll scratch yours otherwise WE DONT PLAY.
Ubaya wake anaweka vikwazo vitu vya kijinga atamzuiaje mtu asinunue hata mifumo ya kujilinda

Marekani ni taifa na lina influence na limebadilisha sana ulimwengu na tech sana na limetufanya tumerahisisha sana maisha kwenye kupitia technology and we respect that,lakini iache watu wafanye biashara zao na affairs zao kama kawaida

mfano kuna haja gani ya kwenda kutaka kuipiga Venezuela?

Hili suala la china hawa USA walivyo peleka viwanda kule hawakusoma mikataba hiyo kwa nini wasinge peleka hiyo mikataba nchi nyingine zenye masharti nafuu ina maana hawakuona madhara yake baadae maana jamaa huwa wanafikiria sana mbali je kwa china walichemka?

Nimekuuliza swali lakini nataka nikupe jibu lake hapa hapa kwa nini USA walienda China ilihali kulikua na masharti lukuki

Sababu kubwa kabisa USA ilikua inamsaidia china ili kui undermine Soviet union ya kipindi kile,soviet union ndio ilikua mwiba na rival mkubwa wa USA kiuchumi na ki technologia kumsaidia china kulifanya kuwe na balance kule bara Asia

Sasa mwanafunzi kawa monster kwa mwalimu wake leo hii russia wanaungana na China ili kumkabili USA na ni sababu tu USA anatoa vikwazo kwa hawa wote wawili

Karata iliyobaki ili kuiharibu uchina ni kuisaidia india kwa kila namna shida tu ya India wana population kubwa isiyokua na elimu ya kutosha kama china

India ikipaa kiuchumi itakua ni rahisi sana kumu undermine china kama USA akitia mkono wake na ndio maana kama umechunguza vizuri USA huwa hasemi kitu kuhusu nuclear za india akijua wazi kabisa huenda siku India na China wakapigana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nothing is fair in this world bro and industrial espionage is is the new thing...end are the days to send spies for military gains..even USA become superpower because of technology transfer from German jews
That is very true mkuu na waliiba pia kwa Britain ambaye alikua superpower kwa zaidi ya miaka 100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaona vya kijinga lakini hakuna nchi wanalazimisha eti ili kuweza kukupa access ya soko langu kwanza unipe technology ya bidhaa zako unazotaka kuuza nchini kwangu. Warusi hawafanyi hivyo wala si Waingereza, Wajerumani, Wajapan etc. Uchumi wa China unaanguka na wa USA pia unaathrika lakini si kwa rate ile ya Wachina. Wachina ni lazima wakubali Makampuni ya USA yauze bidhaa zao bila uharamia wa kulazimisha wapewe technology free of charge.


China exports drop 21% on weak economy and US tariffs

Shanghai and Shenzhen stocks fall nearly 4% as data heighten concerns on trade dispute



News that Chinese exports to the US fell 14.6% in the first two months of the year has fuelled a sell-off in Chinese stocks © Bloomberg

Ubaya wake anaweka vikwazo vitu vya kijinga atamzuiaje mtu asinunue hata mifumo ya kujilinda

Marekani ni taifa na lina influence na limebadilisha sana ulimwengu na tech sana na limetufanya tumerahisisha sana maisha kwenye kupitia technology and we respect that,lakini iache watu wafanye biashara zao na affairs zao kama kawaida

mfano kuna haja gani ya kwenda kutaka kuipiga Venezuela?

Hili suala la china hawa USA walivyo peleka viwanda kule hawakusoma mikataba hiyo kwa nini wasinge peleka hiyo mikataba nchi nyingine zenye masharti nafuu ina maana hawakuona madhara yake baadae maana jamaa huwa wanafikiria sana mbali je kwa china walichemka?

Nimekuuliza swali lakini nataka nikupe jibu lake hapa hapa kwa nini USA walienda China ilihali kulikua na masharti lukuki

Sababu kubwa kabisa USA ilikua inamsaidia china ili kui undermine Soviet union ya kipindi kile,soviet union ndio ilikua mwiba na rival mkubwa wa USA kiuchumi na ki technologia kumsaidia china kulifanya kuwe na balance kule bara Asia

Sasa mwanafunzi kawa monster kwa mwalimu wake leo hii russia wanaungana na China ili kumkabili USA na ni sababu tu USA anatoa vikwazo kwa hawa wote wawili

Karata iliyobaki ili kuiharibu uchina ni kuisaidia india kwa kila namna shida tu ya India wana population kubwa isiyokua na elimu ya kutosha kama china

India ikipaa kiuchumi itakua ni rahisi sana kumu undermine china kama USA akitia mkono wake na ndio maana kama umechunguza vizuri USA huwa hasemi kitu kuhusu nuclear za india akijua wazi kabisa huenda siku India na China wakapigana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bloomberg - Are you a robot?

China wanakaribia kukubali kuachana na uharamia wao wa kupata technology kutoka makampuni ya USA ili waweze kuwa na access na soko lao. China wamegundua kwamba uharamia wao ulikuwa ni makosa ndiyo sababu wanakaribia kunyoosha mikono juu ili vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizo mbili viondolewe.

Ubaya wake anaweka vikwazo vitu vya kijinga atamzuiaje mtu asinunue hata mifumo ya kujilinda

Marekani ni taifa na lina influence na limebadilisha sana ulimwengu na tech sana na limetufanya tumerahisisha sana maisha kwenye kupitia technology and we respect that,lakini iache watu wafanye biashara zao na affairs zao kama kawaida

mfano kuna haja gani ya kwenda kutaka kuipiga Venezuela?

Hili suala la china hawa USA walivyo peleka viwanda kule hawakusoma mikataba hiyo kwa nini wasinge peleka hiyo mikataba nchi nyingine zenye masharti nafuu ina maana hawakuona madhara yake baadae maana jamaa huwa wanafikiria sana mbali je kwa china walichemka?

Nimekuuliza swali lakini nataka nikupe jibu lake hapa hapa kwa nini USA walienda China ilihali kulikua na masharti lukuki

Sababu kubwa kabisa USA ilikua inamsaidia china ili kui undermine Soviet union ya kipindi kile,soviet union ndio ilikua mwiba na rival mkubwa wa USA kiuchumi na ki technologia kumsaidia china kulifanya kuwe na balance kule bara Asia

Sasa mwanafunzi kawa monster kwa mwalimu wake leo hii russia wanaungana na China ili kumkabili USA na ni sababu tu USA anatoa vikwazo kwa hawa wote wawili

Karata iliyobaki ili kuiharibu uchina ni kuisaidia india kwa kila namna shida tu ya India wana population kubwa isiyokua na elimu ya kutosha kama china

India ikipaa kiuchumi itakua ni rahisi sana kumu undermine china kama USA akitia mkono wake na ndio maana kama umechunguza vizuri USA huwa hasemi kitu kuhusu nuclear za india akijua wazi kabisa huenda siku India na China wakapigana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apple ana plan B, ambayo ni India, haitamsumbua sana.

Tatizo la India ni miundombinu, wao bado wanachangamoto nyingi sana kama bara bara, reli na pia hawana "turn key" systems za viwanda (plug 'n play) kama China, yaani viwanda vidogo vidogo vya kusupply mahitaji ya viwanda vikubwa. China ukiwapelekea michoro wanakutengenezea bidhaa yako chap chap, mfumo huo India hawana.

Na hili tatizo lipo hata US, apple waliamua kurudisha baadhi ya production zao za computer huku, ikawa shida. Sababu ilikuwa apple wanatumia aina pekee ya screws na zinahitajika nyingi kwenye assembly lines, wakati supplers wao aliyeko Texas alikuwa hawezi kuzitengeneza kwa muda unaotakiwa, hatimaye ikazorotesha uzalishaji wa computer zao. Ikabidi waziagize tena kutoka China kwa gharama nyingine.

unasemaje anaongoza market share halafu hapo hapo ukasema alipitwa?... ina maana haongozi.... msitulishe matango pori nyinyi

Mauzo ya iphone yamekuwa yakishuka sana hivi karibuni ndiyo maana wamekuwa wakiongeza bei ili kuwarubini shareholders kuwa wanatengeza faida lakini hawatoi takwimu za mauzo (kitu ambacho siyo kawaida). Tatizo la kuongeza bei ni kuwa itafika wakati bidhaa itashindwa kuuzika na ndipo apple ilipofikia, wao badala ya kuongeza innovation wanaongeza bei wakitegemea loyalty ya watumiaji itawaokoa.
 
Kwanza umesahau kwamba China ni nchi ya ki socialist japo kwa sasa wanaita political capitalism na ndio mfumo waliojichagulia huwezi kuwaingilia kama tu USA walivyochagua ubepari uliokomaa

Kwa maana hiyo basi,china kule wana control sana tech zinazo husiana na social media na ndio maana umeona hapo kampuni nyingi zilizopigwa marufuku ni zile za social media ambazo zinaweza zikachochea vurugu kama za arab spring zile kwa kuona hivyo china nao wakatengeneza za kwao ili wazi control vizuri amini usiamini hata Tanzania ya sasa wangeweza kutengeneza whatsapp yao au Google ungesikia Google ya usa imepigwa ban

Kiukweli kabisa vyombo vya usalama vya USA vinatumia sana social media kuvuruga nchi zingine sasa naona china waliona mbali wakapiga ban hizo kitu kumbuka china sio nchi ya democracy kama USA na huwezi kuwalazimisha kwa hilo.

Uchumi wao umejengwa kwa kutokua na democracy

Jiulize mbona hawaja ban company kama boeing,airbus,kampuni za kilimo,banks,kampuni za gas na mafuta na vifaa vingine kama magari mbona hizi hawaja ban?

Kwa nini wame ban company zinazo husiana na social media hapa jamaa wameoa mbali sana kama taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bhas kama China imeamua kuban companies za Marekani zinazohusiana na mitandao ya kijamii kwa kisingizio Cha kuvurugika kwa amani nae Marekani ameamua kuban Huawei kwa kuhofia kudukuliwa na serikali ya China,Sasa hapo tatizo liko wapi?!

Sasa kwanini wachina waone kama wanaonewa wakati wao ndo wa kwanza kuanzisha ligi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa USA inakurupuka sana kila kitu ina ban tu hadi ma bomba ya gas daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
Lile bomba la gas litawafanya Ulaya wawe watumwa kwa Urusi,nadhani unakumbuka kipindi kile Cha mgogoro wa Ukraine jinsi ambavyo Urusi alikua akizipiga biti nchi za Ulaya kuhusiana na gas yake. Urusi aliamua kutumia gas kama silaha kuwachapia Ulaya Sasa Marekani anataka kuweka alternative kwamba akisusa bhas Gas ya Marekani itakuwepo,Kuna ubaya?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukichukua GDP peke yake kabla hujaweka PPP unakua hujaelezea uchumi vizuri wa nchi husika ndio maana hata IMF huwa wanaangalia uchumi uliobase kwenye nguvu ya manunuzi(purchasing power parity)

Kwa GDP peke yake USA ina global share ya 24% ila nilichokua ninazungumzia mimi ni GDP based on PPP ambayo ni indicator iliyokomaa zaidi kwenye kuelezea uchumi wa nchi

According to IMF GDP based on PPP USA ana 17% ya global economy

Hawa jamaa wajanja mno mwaka 2016 walivyozidiwa PPP na china wakabadili gear angani wakaanza kusema PPP sio kigezo kizuri cha kiashiria cha uchumi na wakati hapo mwanzoni ndio ilikua kigezo kikubwa kabisa chaku onyesha uchumi wa nchi husika,wakadai kigezo kizuri ni GDP na wala sio ile per capita kama zamani iliyokua,siku wakizidiwa GDP sijui itakuwaje

Zamani kabisa ilikua ukiwa mtumiaji mkubwa wa nishati duniani wewe ndio unakua na kiashiria cha uchumi mkubwa na ulioimarika waliyopitwa wakatoa hiyo kwenye makaratasi,ni fitna juu ya fitna

View attachment 1040632

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Tanzania Uchumi wetu wa miaka ya 1980 ni tofauti ukilinganisha na hii leo,hii ni kwamba GDP na PPP imeongezeka ukilinganisha na kipindi kile. Hivyo hiyo ni kawaida tu sababu nchi nyingi zimekua kiuchumi ni lazima share ya USA kwenye Uchumi wa Dunia ishuke,hamna Cha ajabu hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Marekani anataka kuweka alternative kwamba akisusa bhas Gas ya Marekani itakuwepo,Kuna ubaya?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unafikiri LNG ya US inaweza kuuzwa Ulaya kwa faida? Watu wafanye liquefaction, transportation halafu wairudishe kwenye gaseous state, ndo watumie, hizo gharama zote utalipa wewe? Wakati ya Urusi unafungua tu bomba gesi inatoka.

Usifikiri wajerumani wajinga kufanya hivyo, Jiografia inampa Urusi the upper hand na hayo mambo ya kutumia nishati kama silaha ni propaganda tu, kumbuka Ujerumani ndiyo taifa lenye akili Ulaya, walisha jiongeza hao.
 
Yaani unafikiri LNG ya US inaweza kuuzwa Ulaya kwa faida? Watu wafanye liquefaction, transportation halafu wairudishe kwenye gaseous state, ndo wauze, hizo gharama zote utalipa wewe? Wakati ya Urusi unafungua tu bomba gesi inatoka.

Usifikiri wajerumani wajinga kufanya hivyo, Jiografia inampa Urusi the upper hand na hayo mambo ya kutumia nishati kama silaha ni propaganda tu, kumbuka Ujerumani ndiyo taifa lenye akili Ulaya.
Mbona Poland ni kitambo sasa wanatumia LNG ya USA tena wanataka kuachana kabisa na ile ya Urusi na pia wanapinga ujenzi wa hilo bomba.
Pia Ujerumani imeahidi kununua zaidi gas ya Marekani
Germany to build LNG plant in 'gesture' to U.S. drive to sell more | Reuters
Merkel wants more US natural gas in Germany – WSJ
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Poland ni kitambo sasa wanatumia LNG ya USA tena wanataka kuachana kabisa na ile ya Urusi na pia wanapinga ujenzi wa hilo bomba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poland wamesign hiyo deal juzi juzi tuu. Na hii yote ni fitna tuu, hakuna biashara pale bali inatafutwa influence katika eneo husika.
Wajerumani wanaakili, wanajua kutofautisha kati ya pumba na mchele, siyo kama Poland, wanaopelekeshwa kama gari bovu.
 
Kuna siku iphone zitazuiliwa china,hapa apple watapata pigo kubwa sana hii michezo haihitaji hasira.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka huawei wamesema hawana uhusiano na serikali ya china! Hivyo wakijaribu kufanya hivyo kina Xi jinping watathibitisha moja kwa mbili kuwa Huawei inafanya kazi na serikali ya china
 
Hata Tanzania Uchumi wetu wa miaka ya 1980 ni tofauti ukilinganisha na hii leo,hii ni kwamba GDP na PPP imeongezeka ukilinganisha na kipindi kile. Hivyo hiyo ni kawaida tu sababu nchi nyingi zimekua kiuchumi ni lazima share ya USA kwenye Uchumi wa Dunia ishuke,hamna Cha ajabu hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema haijaongezeka tunachozungumzia hapa ni global share ya us economy inazidi kushuka kila mwaka kwa sababu kuna emerging economy zinachupika sasa hicho naona bwana mkubwa USA hakipendi

Multi polar world haepukiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka huawei wamesema hawana uhusiano na serikali ya china! Hivyo wakijaribu kufanya hivyo kina Xi jinping watathibitisha moja kwa mbili kuwa Huawei inafanya kazi na serikali ya china
Kuzuia iPhone kutakua hakuna mahusiano yeyote na huawei,hiyo kama watazuia watafanya hivyo kwa pretext ya trade tension iliyopo kati yao

Marekani imepiga ban huawei products kwa pretext ya national security threat ila ukiangalia kiundani kabisa hawataki huawei wafanye business USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lile bomba la gas litawafanya Ulaya wawe watumwa kwa Urusi,nadhani unakumbuka kipindi kile Cha mgogoro wa Ukraine jinsi ambavyo Urusi alikua akizipiga biti nchi za Ulaya kuhusiana na gas yake. Urusi aliamua kutumia gas kama silaha kuwachapia Ulaya Sasa Marekani anataka kuweka alternative kwamba akisusa bhas Gas ya Marekani itakuwepo,Kuna ubaya?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni pure business project hujui kama Ukraine anapata transit fee za ile gas?

Kwa hiyo na kuwapa vikwazo nchi zinazonunua mfumo wa kujilinda wa S 400 kutoka russia halafu analazimisha watu wanunue mfumo wake wa patriotic nalo unalizungumziaje hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom