Wachina wenyewe wanataka ushahidi wa kisheria tu ndio maana wameweka wame imepeleka mahakamani serikali ya marekaniBhas kama China imeamua kuban companies za Marekani zinazohusiana na mitandao ya kijamii kwa kisingizio Cha kuvurugika kwa amani nae Marekani ameamua kuban Huawei kwa kuhofia kudukuliwa na serikali ya China,Sasa hapo tatizo liko wapi?!
Sasa kwanini wachina waone kama wanaonewa wakati wao ndo wa kwanza kuanzisha ligi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuban mitandao ya kijamii kule china sheria zao zinaruhusu mkuu ile sio nchi ya kidemocracia ni socialist ile hata uhuru wa kujieleza hakuna kule na ndio utamaduni wao na USA wanalielewa hilo kwa hiyo kuban social media ni kitu cha kawaida sana kwao ila sio kwa USA ambaye ndie anajiita mfano wa democracy duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app