How GOD is smart

Pumba za kula bata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu anaitwa "Bwana Mungu " bado unataka kuleta porojo kuwa hilo neno "Bwana" lililotumika hapo halimaanishi jinsia ya kiume ???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu anaitwa "Bwana Mungu " bado unataka kuleta porojo kuwa hilo neno "Bwana" lililotumika hapo halimaanishi jinsia ya kiume ???



Sent using Jamii Forums mobile app
bwana1
nominoPlural mabwana

1

jina la heshima la mwanamume.

‘Bwana mkubwa’
‘Bwana mdogo’

sayidi, hababi, maulana

2

‘Bwana harusi’
mume

3

mwanamume ambaye ni mwajiri wa mtu mwingine.

mwajiri

Matamshi
bwana/bwana/

Ufafanuzi msingi wa bwana katika Kiswahili: bwana1Bwana2
Bwana2
nominoPlural Bwana
Kidini

1

Kidini

Mwenyezi Mungu

Mola, Muumba

Matamshi
Bwana/bwana/

Sasa angalia hiyo maana ya pili ya neno bwana kwa muktadha wa kidini alafu utafakari kuwa MUNGU MWENYEZI Ni mwanamme au mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapa nikisema dhana ya Mungu imetoka kwa binadamu... na tena binadamu huyo ni mwanaume, nitakuwa nimekosea? Manake hata vilivyoandikwa kwenye hayo maandiko yamejaa dhana nzima ya mfumo dume......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapa nikisema dhana ya Mungu imetoka kwa binadamu... na tena binadamu huyo ni mwanaume, nitakuwa nimekosea? Manake hata vilivyoandikwa kwenye hayo maandiko yamejaa dhana nzima ya mfumo dume......

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Ni namna tu ya uwasilishaji wa ujumbe kwa kutumia lugha.Hakuna uhusiano na MFUMO dume.Labda kwa tafsiri zako mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…