How GOD is smart

How GOD is smart

Mkuu sidhani Kama walimaanisha kuwa yeye Ni mwanamme.
Ninachoolewa Ni kwamba hicho kiwakilishi(he) kimetumika kumpa sifa.Wangeweza kutumia (she) lakini he imetumika maana mwanamme Ni mkuu kuliko mwanamke.Sasa hakuna kiwakilishi kingine kikuu zaidi ya hicho katika kuonyesha heshima kwa MUNGU MWENYEZI.Kama kingekuwepo Basi kingeweza kutumika.

Neno baba pia linatumika wakati mwingine tena Sana tu lakini sio kigezo kuwa MUNGU Ni mwanamme.Ni swala la kuonyesha heshima.
Jinsia zote kaziumba MUNGU na zote zinaheshimika lakini yakiume ndio Chanzo Cha ya kike na ndio maana inatumika Sana.
Sijawahi kuona andiko lolote linaloonyesha kuwa MUNGU MWENYEZI Ni wa jinsia gani.

Hivyo ndivyo ninavyoelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba za kula bata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa mtazamo wako.Fafanua.Nisaidie kujua kiwakilishi ambacho hakitaonyesha jinsia yoyote au kitu chochote.Yaani kikisimama huwezi sema kuwa anayewakilishwa Ni mwanamke au mwanamme.Visiwe He,she,au it.
Nitakushukuru Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu anaitwa "Bwana Mungu " bado unataka kuleta porojo kuwa hilo neno "Bwana" lililotumika hapo halimaanishi jinsia ya kiume ???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu anaitwa "Bwana Mungu " bado unataka kuleta porojo kuwa hilo neno "Bwana" lililotumika hapo halimaanishi jinsia ya kiume ???



Sent using Jamii Forums mobile app
bwana1
nominoPlural mabwana

1

jina la heshima la mwanamume.

‘Bwana mkubwa’
‘Bwana mdogo’

sayidi, hababi, maulana

2

‘Bwana harusi’
mume

3

mwanamume ambaye ni mwajiri wa mtu mwingine.

mwajiri

Matamshi
bwana/bwana/

Ufafanuzi msingi wa bwana katika Kiswahili: bwana1Bwana2
Bwana2
nominoPlural Bwana
Kidini

1

Kidini

Mwenyezi Mungu

Mola, Muumba

Matamshi
Bwana/bwana/

Sasa angalia hiyo maana ya pili ya neno bwana kwa muktadha wa kidini alafu utafakari kuwa MUNGU MWENYEZI Ni mwanamme au mwanamke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sidhani Kama walimaanisha kuwa yeye Ni mwanamme.
Ninachoolewa Ni kwamba hicho kiwakilishi(he) kimetumika kumpa sifa.Wangeweza kutumia (she) lakini he imetumika maana mwanamme Ni mkuu kuliko mwanamke.Sasa hakuna kiwakilishi kingine kikuu zaidi ya hicho katika kuonyesha heshima kwa MUNGU MWENYEZI.Kama kingekuwepo Basi kingeweza kutumika.

Neno baba pia linatumika wakati mwingine tena Sana tu lakini sio kigezo kuwa MUNGU Ni mwanamme.Ni swala la kuonyesha heshima.
Jinsia zote kaziumba MUNGU na zote zinaheshimika lakini yakiume ndio Chanzo Cha ya kike na ndio maana inatumika Sana.
Sijawahi kuona andiko lolote linaloonyesha kuwa MUNGU MWENYEZI Ni wa jinsia gani.

Hivyo ndivyo ninavyoelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa nikisema dhana ya Mungu imetoka kwa binadamu... na tena binadamu huyo ni mwanaume, nitakuwa nimekosea? Manake hata vilivyoandikwa kwenye hayo maandiko yamejaa dhana nzima ya mfumo dume......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapa nikisema dhana ya Mungu imetoka kwa binadamu... na tena binadamu huyo ni mwanaume, nitakuwa nimekosea? Manake hata vilivyoandikwa kwenye hayo maandiko yamejaa dhana nzima ya mfumo dume......

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Ni namna tu ya uwasilishaji wa ujumbe kwa kutumia lugha.Hakuna uhusiano na MFUMO dume.Labda kwa tafsiri zako mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom