Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,555
- 21,508
Pumba za kula bataMkuu sidhani Kama walimaanisha kuwa yeye Ni mwanamme.
Ninachoolewa Ni kwamba hicho kiwakilishi(he) kimetumika kumpa sifa.Wangeweza kutumia (she) lakini he imetumika maana mwanamme Ni mkuu kuliko mwanamke.Sasa hakuna kiwakilishi kingine kikuu zaidi ya hicho katika kuonyesha heshima kwa MUNGU MWENYEZI.Kama kingekuwepo Basi kingeweza kutumika.
Neno baba pia linatumika wakati mwingine tena Sana tu lakini sio kigezo kuwa MUNGU Ni mwanamme.Ni swala la kuonyesha heshima.
Jinsia zote kaziumba MUNGU na zote zinaheshimika lakini yakiume ndio Chanzo Cha ya kike na ndio maana inatumika Sana.
Sijawahi kuona andiko lolote linaloonyesha kuwa MUNGU MWENYEZI Ni wa jinsia gani.
Hivyo ndivyo ninavyoelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
