How GOD is smart

How GOD is smart

Mbona easy tu

VYUONI KUNA RATIBA ZA VIPINDI NA MUDA WA KUINGIA DARASANI
SASA WEWE UENDE AU USIEDDE UTAJIJUA WEWE MWENYEWE MAADAMU RATIBA UNAIJUA VIZURI TUTAKUTANA KWENYE MTIHANI
HAKUNA MWALIMU ANAYEKULAZIMISHA KUINGIA DARASANI

NA HIVYO NDIVYO MUNGU ANAVYOTUONGOZA HAKULAZIMISHI KUTII SHERIA ZAKE ILA TUTAKUTANA SIKU YA MWISHO
 
Mbona easy tu

VYUONI KUNA RATIBA ZA VIPINDI NA MUDA WA KUINGIA DARASANI
SASA WEWE UENDE AU USIEDDE UTAJIJUA WEWE MWENYEWE MAADAMU RATIBA UNAIJUA VIZURI TUTAKUTANA KWENYE MTIHANI
HAKUNA MWALIMU ANAYEKULAZIMISHA KUINGIA DARASANI

NA HIVYO NDIVYO MUNGU ANAVYOTUONGOZA HAKULAZIMISHI KUTII SHERIA ZAKE ILA TUTAKUTANA SIKU YA MWISHO
Shukrani Sana mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
Kuna baadhi ya member Ni wagumu kuelewa hata kwa hu mfano rahisi watakuja na Maswali kibao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well, vyote ulivyoandika hapo juu ni very illogical, since natumia logic nichangiapo mijadala(bila shaka kila mtu anapaswa kutumia pia), kipingele hiki pekee ndicho angalau kinaweza fanyiwa majadiliano, ili niweze kuendelea kuchangia, naomba unijibu swali nitakalo kuuliza ili niweze kuchanganua kama kipengele hiki nacho kina at least chembe za logic ama nachenywe ni pumba tu. Swali langu ni, tangua niwe na akili zangu timamu, sijawahi kumuomba mungu anisaidie kitu chochote kile, lakini nina mafanikio makubwa kuliko wakeshao wakimuomba(moja wapo ni bado napumua{natumia point yenu kuu ya kuwa mungu ndio mgawaji wa pumzi}), kwanini mungu ni mnafiki kiasi kwamba anawanyima wafuasi wake waaminifu na watiifu pumzi na mafanikio mengine, ila ananipa mimi nisiye hata na muda nae?
Mvua yake huwanyeshea wote,,wema na waovu
Una uhakika watiifu wote hawajafanikiwa na hawana pesa??
Ukweli Ni kwamba wote hufanikiwa bila kujali Ana amini au haamini
Ni suala la muda tu
Usimuite Mungu mnafiki,,,unakosea sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama yupo huyo mungu bas sio muweza wa yote bali mshindwa wa yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni baada ya kukuumba kutoka ktk maji maji ya baba yaliyoungana na yai la mama, akakulinda ktk tumbo la mama yako Kwa miezi 9, ukazaliwa, akakulinda tena na magonjwa na mabalaa mpaka umefikia hapo ambapo umepewa nguvu kidogo na uwezo wa kuongea na kuandika, sasa Mungu yule yule aliyesababisha process nzima ya uumbaji wako Leo hii unamtukana, ofcoz amekupromise kua utarudi tu kwake na mtakwenda kudiscuss vizuri kuhusu hili.
 
Ni baada ya kukuumba kutoka ktk maji maji ya baba yaliyoungana na yai la mama, akakulinda ktk tumbo la mama yako Kwa miezi 9, ukazaliwa, akakulinda tena na magonjwa na mabalaa mpaka umefikia hapo ambapo umepewa nguvu kidogo na uwezo wa kuongea na kuandika, sasa Mungu yule yule aliyesababisha process nzima ya uumbaji wako Leo hii unamtukana, ofcoz amekupromise kua utarudi tu kwake na mtakwenda kudiscuss vizuri kuhusu hili.
Kama mm kpata nguvu ya kuandika {coment} hapa jf n ushaidi kuwa mungu yupo.Basi walioko mahospitalini n uthibitisho usio na shaka kuwa mungu mwenye upendo wote, haki sawa,asiye na upendeleo wowote hayupo.
mungu angelikuwepo bidamam wote tungelikuwa wazima wa afya tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipoteze nguvu nyingi kubishana na walioamua kwa dhati kupotoshana.
Zaburi 1: .....

"........Wala kuketi barazani mwa wenye MIZAHA......"
Seriously???
Mungu huwez kumuona kwa macho ya nyama...kwa sababu Ni Roho

Na vipi kuhusu ulimwengu???? Mimi na wewe tumetokea wapi???
Tulijiumba??? ulimwengu ulijiumba???
Kwanini watu wanakufa???

Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu..zab53:1


Huwezi kumfahamu Mungu Kama huna Nia ya dhati ya kumfahamu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.............His spiritual qualities kept pace with his personal charm, for God had fashioned his soul with particular care. She is the image of God, and as God fills the world, so the soul fills the human body; as God sees all things, and is seen by none, so the soul sees, but cannot be seen; as God guides the world, so the soul guides the body; as God in His holiness is pure, so is the soul; and as God dwells in secret, so doth the soul.(COPIED FROM THE LEGEND OF THE JEWS).

Kwa maelezo hayo MUNGU YUPO SIRINI KAMA VILE ROHO YAKO ILIVYO SIRINI NA IMEJAZA MWILI WAKO.

Ni kuulize swali mkuu,je unaweza kumwonyesha MTU software ya Simu,computer au calculator?
Je hizo software zipo au ni hadithi tu za kutunga kama ambavyo unaita habari za MUNGU MWENYEZI kuwa ni za kutunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka Mungu akubariki sana kwa kipaji alichokupatia unachokitumia hapa kuwajibu Watu vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akuidishie siku za kuishi ili upate kutangaza habari zake vyema.
Mwanadamu alivyomkataa Mungu means ana Uhuru wa kuchagua maisha anayotakz yeye bila hata kumtegemea Mungu, na still ukapata mafanikio ikiwepo utajiri, na ndo maana nikasema hawez kukulazimisha umtegemee Kwa jambo lolote lile, na ndo ile point ya u-smart inapokuja

Kwa hy swala LA wewe kumtegemea Kwa jambo lolote lile ni swala LA hiari yako

Na hao wanamtegemea Mungu na bado hawafanikiwa, ni simple unapotaka kumtegemea Mungu lazima ujiandae na vita kutoka Kwa shetani. Na pili watu waliokoka hawafanikiwa Kwa sababu wengi wanategemea miujiza na sio akili, ili ufanikiwe lazima utumie akili, kumbuka Mungu alivyosema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa.

Tatu kuna uhabu wa Mafundisho ya jinsi ya kufanikiwa ki-Mungu, tunajua kuna namna ya kufanikiwa ki-shetani (Freemason na Kwa njia za kichawi), na kibinadamu, lakin ki-Mungu hayo Mafundisho yamekua adimu mengi yaliyoko ni ya uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AMINA
maada nzuri na mimi kukikazia kazia kidogo ni hivi
1.Asili ya Mungu ni nini? Asili (Nature) ya Mungu ni Roho (YOHANA 4:24).Sasa kama Mungu asili yake ni Roho na kuna roho aina mbali mbali Roho ya mungu ni ya aina gani??,Roho ya Mungu ni TAKATIFU (HOLY).sasa kwa asili ya Mungu kuwa Roho inamaana anapatikana kila mahali,Duniani,chini ya dunia,angani,mbinguni na ulimwenguni koote kwa wakati mmoja!

2.Mungu Hakumtuma Yesu aje na mwili wa Binadamu,kilichofanyika nikwamba Mungu mwenyewe aliumba mwili then akaingia ndani yake,yaani Mungu alijificha kwenye ule mwili ambao ulizaliwa na Mariam,Mungu Mwenyewe alikuwa ndani ya YESU Kristo! angalia maajabu ya Mungu,Muda huo huo alikuwa ndani ya Yesu,Muda huo huo alikuwa Mbinguni kwenye kiti cha enzi,Muda huo huo alikuwa ndani ya Yohana mbatizaji kwakuwa yohana mbatizaji alizaliwa tayari amejaa roho mtakatifu(roho wa Mungu)!,hukusoma andiko lilikuwa linatabiri kuja kwa Yesu na likasema ataitwa Emmanuel maana yake MUNGU PAMOJA NASI?,(ISAYA 7:14),Na pia kuna andiko linasema Mungu alijidhihirisha katika mwili akakaa kwetu? (1Timotheo 3:16) maana yake Mungu alitengeneza mwili then akaingia ndani yake then akaja kwa binadamu,alijidhihirisha katika mwili,kama vile wewe unavyoweza kujidhihirisha kwenye mavazi mbalimbali,ukavaa suti,au jens,au ukajidhihirisha na nguo za cadet nk..zile ni nguo tu ila wewe uko ndani ya zile nguo,na kwakuwa Mungu alikuwa anakuja kukomboa wanadamu ilimbidi aje kwa sura ya kibinadamu aishi na binadamu,awaonyeshe binadamu namna ya kuishi bila kutenda dhambi sasa Mungu ni roho ilimpasa aende kwenye nyumba ya daudi atengeneze MWILI halafu auvae huo mwili azaliwe kwa njia ya mwanamke kama binadamu wengine then atufundishe namna ya kuishi maisha matakatifu na hatimaye kafara ifanyike msalabani kuukomboa ulimwengu woote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana nayo hayo mawakala ya shetani, hapa kwenye keyboards yanapayuka kama hayana ufahamu wowo kuhusu Mungu lkn yakitikiswa kidogo tu kwa ajali yataita "Mungu nisaidie" mpaka mtaa wa 8 zitasikika sauti zao.

Mengine yakishaanza kupumulia mipira hospitalini utayakuta kila sekunde yanamtaja Mungu nakati kabla ya hapo yalikuwa mabishi kuhusu Mungu kama mawe ya baharini yanavyopigwa na mawimbi lkn hayatakati kamwe
Aiseeee
Kuna watu bado hawaamini Kama Mungu yupo???

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom