hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,086
- 72,778
Haha😂 😂Huyo mungu sio ndio alioleta gharika na kuuwa watu duniani enzi za nuhu?
Sasa anakuaje smart kama anauwa watu kama Alshabab?
Haha😂 😂Huyo mungu sio ndio alioleta gharika na kuuwa watu duniani enzi za nuhu?
Sasa anakuaje smart kama anauwa watu kama Alshabab?
Juma na uledi
AiseeYaani issue za mungu ni upumbavu mtupu na ujinga uliotukuka
Nani amekudanganya kwamba ili majini yaishi duniani lazima kwanza yaingie mwilini kwa kiumbe mwingine?Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.
Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.
Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.
Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.
Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho
Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.
Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.
How smart is God!Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.
Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.
Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.
Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.
Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho
Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.
Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.
Mke mmoja, mume mmoja_akaruhusu suleman na hekima aliyokuwa nayo akawa na mamia ya wanawake plus vimadaHakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.
Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.
Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.
Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.
Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho
Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.
Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.

Swali, ina mà ana Mungu hakujua kuwa Adam na Hawa watakula tunda!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Adam anatuhusu nini sisi? Unaweza mhukumu mtoto kwa kosa la baba?
Sent using Jamii Forums mobile app
nahtaji waje wajibu hz sintofahamuMke mmoja, mume mmoja_akaruhusu suleman na hekima aliyokuwa nayo akawa na mamia ya wanawake plus vimada
Usiue_ila wana israel wakawaua wakanaan ili wapate sehemu ya kuishi. Yani mungu akashindwa kuwaumbia watoto wake nchi, badala yake akawaua wenyeji ili wageni waishi.
Usimshuhudie jirani yako uongo_akambariki yakobo aliyemdanganya baba yake kwa kujifanya ndiye esau.
Yapo mengi ila haya ni machache
hz dini full complications!!Nimekuwa nikijuliza, Mungu hujua yaliyopita,yaliyopo na yajayo, maana yake kila kitu kinachoendelea yeye alikijua kabla.
Maswali yangu, ilikuwaje alimuumba Shetani ambaye alijua atamsaliti, aliumba Mwanadamu akijua atakula lile tunda, Je kwa mantiki hiyo Mungu alitengeneza Jehanamu akijua Atamuweka binadamu maana alikuwa na uweza wa kutomuumba shetani hapo kabla na pia kuepusha Mwanadamu kula lile tunda, au pengine asingeupanda ule mti kabisa.
Ilikuwaje asiepushe haya yote toka anaanza uumbaji wake ili Jehanam iepukike, au asingeitengeneza Jehanamu kwa kuifanya Mbingu na dunia kuwa free from Sin!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana majibu, wataishia kusema "akili zake hazichunguziki"nahtaji waje wajibu hz sintofahamu
Hawana majibu, wataishia kusema "akili zake hazichunguziki"
Muda alioutumia kuleta gharika, alipaswa aangamize majini yote.
Bada ya kuchoma moto nafsi zisizo na uwezo wa kupambana na shetani, sodoma na gomora angemuua shetani mwenyewe. Ajabu ni kwamba shetani ambaye ndiye mdhambi mkuu amepewa muda mrefu wa kudanganya watu kuliko raia waliodanganywa. Aliyekula tunda ni adam ila mateso tunayapata sisi. Ananufaika vp na uwepo wa shetani na ukiangalia shetani hajawahi kujificha mbele za huyo anayeitwa mungu kwa mujibu wa vitabu?
Kuna muda nahisi Kiranga yuko sahihi, tunatofautiana tu kwenye kuamini kuna Mungu ambaye ndiyo nguvu kuu iliyoumba vyote.


Habari za kuwepo Mungu ni za kutungwa na watu tu.Hawana majibu, wataishia kusema "akili zake hazichunguziki"
Muda alioutumia kuleta gharika, alipaswa aangamize majini yote.
Bada ya kuchoma moto nafsi zisizo na uwezo wa kupambana na shetani, sodoma na gomora angemuua shetani mwenyewe. Ajabu ni kwamba shetani ambaye ndiye mdhambi mkuu amepewa muda mrefu wa kudanganya watu kuliko raia waliodanganywa. Aliyekula tunda ni adam ila mateso tunayapata sisi. Ananufaika vp na uwepo wa shetani na ukiangalia shetani hajawahi kujificha mbele za huyo anayeitwa mungu kwa mujibu wa vitabu?
Kuna muda nahisi Kiranga yuko sahihi, tunatofautiana tu kwenye kuamini kuna Mungu ambaye ndiyo nguvu kuu iliyoumba vyote.