How GOD is smart

How GOD is smart

1.Nianze na swali la pili ambalo nadhani litajibu na swali la kwanza naomba uwe unasoma na biblia haya ninayoyajibu kujihakikishia zaidi kama ni kweli imeandikwa au najitungia tu,
>Pale msalabani kipindi Yesu katundikwa kuna mambo Mengi yalitokea nitaelezea haya... Jambo la kwanza Yesu,Yesu alipaza sauti akalia "Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha" (Mathayo 27:46)" Kwanini alisema Mungu wangu Mbona umeniacha??,Nikweli Mungu alimuacha, Kwakuwa Mungu alikuwa ndani ya Yesu,au roho wa Mungu alikuwa ndani ya Yesu alitoka,ROHO YA MUNGU ILIYOKUWA NDANI YA YESU ILITOKA,Pale Yesu akabakia na pumzi tu kumbuka Roho ya Mungu ina kazi mbili kazi ya kwanza ni kuleta Pumzi/Uhai kwa Mtu ndiomaana imeandikwa Mungu alipomuumba Adam halafu ili awe hai Mungu alimpulizia Pumzi (Mwanzo 2:7),kwahiyo kila binadamu aliye hai na ana Pumzi ana Roho ya Mungu ndani yake,Na kazi ya pili ya Roho wa Mungu ni kuleta uzima wa milele,Hii ndio Roho mtakatifu,ndio ile roho ya milele, ndio ile imeandikwa mwili bila roho umekufa (Yakobo 2:26,Warumi 8:9-17)
Kwahivyo mwanzo Yesu alivyolia mara ya kwanza kuwa "Mungu mbona umeniacha", Roho mtakatifu (Mungu) alitoka ndani yake akaenda wapi? Roho wa Mungu alienda kuzihubiria zile roho zilizokuwa mateka KUZIMU,Kumbuka wale wafu watu woote waliokuwa wamekufa kuanzia Adam hadi kipindi cha Yesu iliwapasa nao pia waisikie injili kusudi siku ya mwisho woote tuhukumiwe kwa kipimo sawa asiwepo wakusema hakuisikia injili!! kipimo ni injili,ndio maana hata petro alisema kwa sababu hii hata wafu walihubiriwa injili(1 Petro 4:5-6)!!
Sasa na Yesu alipolia kwa sauti tena Mara Ya Pili akaitoa Roho yake akafa (Mathayo 27:50) then pazia la hekalu likapasuka katikati kuonyesha kuwa hekalu halina maana tena sasa hekalu ni katika miili yetu (1 Wakorinto 6:19-20) ,then Makaburi yakafunuka,ikainuka miili ya watakatifu waliolala (Mathayo 27:52-53),(ndio hawa Roho ya Mungu ilienda kuwahubiria injili huko walikokuwa)!,sasa Pale msalabani ukabaki mwili wa Yesu bila Uhai (fresh and bones),Baadaye ukachukuliwa ukawekwa kaburin.
Sasa nikirudi kwenye swali lako Yule aliyerudi kwa manabii alikuwa ni nani? Ulikuwa ni mwili wa Yesu uliotukuzwa,mwili wa kiroho soma (1 wakorinto 15:35-49,1 Petro 3:18,) ndiomaana Ule mwili wa Yesu ulikuwa na uwezo wa kutokea na kupotea,ule ulikuwa mwili wa kiroho,Yule sasa alikuwa MUNGU na ni Mungu hadi leo hii na atakuja tena kwa mara ya pili

2.Swali la kwanza kwanini alichomwa mkuki ubavuni halafu ikatoka DAMU NA MAJI?
>Yesu kabla hajapaa kwenda mbinguni alitoa amri kwa wanafunzi wake waende ulimwenguni koote wakawafanye mataifa kuwa wanafunzi wake kivp ?,kwa kuwabatiza kwajina la Baba,la mwana na roho mtakatifu,sasa Yale maji yaliyotoka pale msalabani yalikuwa yanamaanisha Ubatizo,ilikuwa ni ishara ya vile vitu vitatu ambavyo wanafunzi wa Yesu walianza kufanya baada ya kupokea roho mtakatifu ile siku ya Pentecoste,petro mara baada ya kupokea Roho mtakatifu na kuanza kuwahubiria watu alisema hivi "Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu " kwahiyo hatua ya kwanza ni TOBA,unatubu dhambi zako,then hatua ya pili ni UNABATIZWA KWA JINA LA YESU KRISTO (sio kwa jina la baba,mwana na roho mtakatifu),halafu unapata ondoleo la dhambi,unakuwa umetakasika huna dhambi,halafu ili sasa roho yako iokolewe lazma upokee Roho mtakatifu,utakumbuka hapo mwanzo ili utakasike upate ondoleo la dhambi ilikuwa lazima utoe kafara ya mnyama,sasa kwakuwa kafara ilishafanyika pale msalabani na Damu ilitoka unachotakiwa wewe ni kutubu(kutambua kifo cha Yesu pale msalabani) ndio ile Damu ya Yesu iliyotoka baada ya kuchomwa ubavuni ,then Ubatizwe ,ndio yale maji yaliyotoka ubavuni kwa Yesu halafu Upate roho mtakatifu,ndio Yesu alivyofufuka katika wafu!
Ndiomaana mitume walisema ubatizo ni ishara ya kuzikwa na kufufuka pamoja na Yesu (Warumi 6:3-5),Na pia ondoleo la dhambi ni lazima damu imwagike (Waebrania 9:22-28) ndiomaana pale msalabani alipochomwa ubavuni ilitoka Damu na Maji,Tunapata Damu yake kwa kukiri kifo chake pale msalabani,halafu tunapata maji kwa kubatizwa kwa jina la Yesu hivi vitu viwili tunapata ondoleo la dhambi,then unapokea kipawa cha Roho Mtakatifu
Ndiomaana kipindi cha Musa wana wa israel walikuwa wanabatizwa lakini haikuwa effectively sababu Damu ilikuwa bado haijamwagika pale msalabani,hata kipindi cha Yohana mbatizaji bado ubatizo wake haukuwa umetimia sababu Yesu alikuwa hajafa bado pale msalabani,ila alivyokufa msalabani ndiomaana wanafunzi wake walipewa maagizo "TUBUNI,MKABATIZWE KWA JINA LA YESU KRISTO ,HALAFU UPOKEE ROHO MTAKATIFU"

3.Swali la tatu kuhusu mariam kuendeleza Familia
>Jibu ni ndio Mariam na Yusufu waliendeleza familia walizaa watoto wengine baada ya Yesu kuzaliwa kwa uweza wa roho ,majina ya watoto wao yalikuwa ni (wakiume na usichanganye majina ya hao watatu wa mwisho na ya wale wanafunzi wake 12) Joseph,Yakobo,Yuda na Simon (Mathayo 12:46,Mathayo 13:55,Marko 6:3) na pia mary alikuwa na watoto wa kike majina yao hayakutajwa kwenye biblia
Nahitaji mafundisho zaidi kutoka kwako ndugu, ntapataje?
 
kwa kuwa Mungu ni roho,basi roho haiwezi kuwa na jinsia isipokuwa Roho inaweza kuwa na vyeo mbalimbali kulingana na kazi zake,Anaitwa Mungu baba sio kwasababu ana jinsia ya kiume hapana neno Baba limetumika kuelezea moja ya sifa za kazi zake,Anaitwa Mfalme wa Wafalme na sio Malkia wa Mamalkia sababu yeye ndio mtawala wa kila kitu,Anaitwa Bwana wa Mabwana sio kwakuwa ana mke ndiomaana akaitwa bwana hapana,ni neno la sifa linaloonyesha sehemu tu ya ukuu wake
Ahsante sana Mungu alimuumba Adam wawili 2, ili jina LA Eva alipewa na Adam na sio Mungu
 
asa kwanin mungu na shetani wasielewane.? yaan wamalize tofauti zao .mungu hua anasamehe kwa asimsamehe xhetani.? alaf makosa aliyafanya adam na eva 'c.c yanatuhusu nin.?
 
Mi huwa najiuliza kama Mungu aliwapa wanadamu uwezo wa kufanya maamuzi either yeye mungu au shetan

Sasa kwa nini awa adhibu amabao hawato mchagua yeye.. Na kumtukuza yeye...


Kama mtu umempa choice mbili kachagua yake kwa nni usimwache.. Na choice yake jaman...!??

Walio mchagua shetan awache wale bata na shida zao.. Walio mchagua yeye ale bata nao

Na sio kuwa tupa kwenye ziwa liwakalo moto.... Amabo hawaja mchagua... Unless...hukana kitu ka hicho..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uko sahihi kabisa,anaekupinga hajui lolote au anachuki binafsi...
Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.

Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.

Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.

Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.

Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho

Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.

Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.

Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.

Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.

Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.

Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho

Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.

Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.

wewe umetoa wapi elimu hii?
 
Aliekosea ni adamu Kwa sababu Mungu alikua ameumba mti wa uzima na ubaya, maanaa yake mti wa uzima na ubaya in mfumo wa shetan, Na mti wa uzima in mfumo wa mungu lakin Adam akachagua mfumo wa shetani, ndo kosa alilolifanya adamu

Na pia kumbuka shetan Tayar alikuwa ameshahukumiwa baada ya jaribio lake LA mapinduz kufeli
Kwa nini aliuumba huo mti hali akijua Adam na Eve, assuming they were real, wangeula?
 
1.Unadhani Ni kwa Nini aliileta hiyo gharika?
2.Je unaujua uovu wa wanadamu kipindi hicho ulikuwa wa kiwango gani?
3.Je unajua MUNGU MWENYEZI aliwapa mda gani haoWatu kujirudi kabla ya kuleta hiyo adhabu?
MUNGU MWENYEZI HAKUPI ADHABU BILA KUKUPA ONYO NA MDA WA KUJIRUDI NA KUTUBU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo walimshinda akili na uwezo mpaka akaamua kwa hasira (mungu wa upendo usiopimika) kuwauwa kwa maji?
 
ningependa kujua zaidi, iv kwann mungu alituletea shetan, ambae ni kiumbe aliewazingua kuishi nae pahapa pamoja huko mbinguni hadi kufkia hatua akaona hawezi kukaa nae sehem moja hivyo akamtimua.. lkn akaamua kumleta dunian tena kwa madai kuwa cye tumshinde huyo muovu.. iv tutamshinda vp wakati yy mwenyewe alimshindwa?
Hakuna binadamu anayefikia u-smart alionao Mungu, kwanza kabisa Mungu hawezi vunja sheria aliyojiwekea tofaut na mwanadamu, pili Mungu sio muongeaji ongeaji hovyo, huwa ana maneno machache Kwa sababu kila neno lake ni sheria.

Watu wengi tumekua tukijiuliza Kwa nin Mungu aliruhusu shetani amdanganye hawa, jibu ni kwamba Mungu alimpa mwanadamu option mbili ya kumkata au kumkubali, bahati mbaya Adam akamkataa Mungu, na Mungu bila hiana akakubaliana na adamu kwa-sababu angeingilia angevunja sheria aliyojiweka yeye. Na shetan anamjua Mungu Kwa sababu ameshakaa naye ndo maana alijiamini alivyomfuata hawa.

Ndo maana hata wanadamu wanamtukana Mungu na haingilii, jibu ni kwamba hawez kukulazimisha umtumikie/umfuate, yaan wanafamu tuna Uhuru wa kumkataa Mungu, ndo maana ni Hatar sana kulazimisha watu kumfuata Mungu.

Mungu hawez kuja kuishi duniani Kwa sababu in roho (spirit), ili uishi duniani lazima uwe na mwili (dead body), ndo maana hata majini lazima yamwingilie MTU yaishi ndani yake Kwa sababu ili uishi dunian ni lazima uwe na mwili.

Shetani ilimbidi amuombe nyoka mwili ili autumie mwili wake kumdanganya Adam na hawa Kwa sababu na yeye ni roho

Hata binadamu akifa kinachokufa ni mwili na sio roho, ndo maana baada ya kufa roho haiwez ishi duniani Kwa sababu ni illegal Kwa roho kuish duniani, kwa hy lazima iondoke, ndo maana Mungu alimtuma YESU aje na mwili wa binadamu ili atimize lengo lake.

Ndo maana dhana nzima ya maombi ikaja, Kwa sababu ukitaka kitu lazima umuombe Mungu Kwa sababu ana uhakika unataka jambo fulani au hulitaki, Kwa sababu kabla ya mwanadamu kuasi kulikua na fellowship na sio maombi.
Na hapo hapo ikumbekwe sisi hatuna nguvu zaidi ya kumshinda huyo muovu maana inasemekana nguvu zake zote wala hakunyang'anywa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom