mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,142
- 5,634
Weka picha acha maneno mengi. Hata hivyo tunapenda maendeleo, wacha watu wainvest pesa zao!!
Ajira zitapatikana kwa Watanzania wenzetu, wakulima watauza mboga zao na vyakula vingine, watalii watapata sehemu nzuri za kulala, serikali itapata kodi!! Kuna baadhi ya watanzania wenzetu watafaidika kwa namna nyingi.
Tatizo la watanzania ni wivu tu unawasumbua!!
Kwa mfano huu uzi umeandikwa kimbeya sana, SIYO kwa namna ya kupongeza ni jambo zuri limefanyika, umeandikwa kwa namna ya labda hawa waliojenga ni majizi au wala rushwa au wahujumu uchumi!! Some people are never positive!! Wamejawa na wivu mpaka wanajichukia wao wenyewe!!
Ajira zitapatikana kwa Watanzania wenzetu, wakulima watauza mboga zao na vyakula vingine, watalii watapata sehemu nzuri za kulala, serikali itapata kodi!! Kuna baadhi ya watanzania wenzetu watafaidika kwa namna nyingi.
Tatizo la watanzania ni wivu tu unawasumbua!!
Kwa mfano huu uzi umeandikwa kimbeya sana, SIYO kwa namna ya kupongeza ni jambo zuri limefanyika, umeandikwa kwa namna ya labda hawa waliojenga ni majizi au wala rushwa au wahujumu uchumi!! Some people are never positive!! Wamejawa na wivu mpaka wanajichukia wao wenyewe!!