Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

Weka picha acha maneno mengi. Hata hivyo tunapenda maendeleo, wacha watu wainvest pesa zao!!

Ajira zitapatikana kwa Watanzania wenzetu, wakulima watauza mboga zao na vyakula vingine, watalii watapata sehemu nzuri za kulala, serikali itapata kodi!! Kuna baadhi ya watanzania wenzetu watafaidika kwa namna nyingi.

Tatizo la watanzania ni wivu tu unawasumbua!!

Kwa mfano huu uzi umeandikwa kimbeya sana, SIYO kwa namna ya kupongeza ni jambo zuri limefanyika, umeandikwa kwa namna ya labda hawa waliojenga ni majizi au wala rushwa au wahujumu uchumi!! Some people are never positive!! Wamejawa na wivu mpaka wanajichukia wao wenyewe!!
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Nimepitia comment #1-37. Nimebaki nashangaa tu.
 
Hii ni
20220912_235450.jpg
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
Nanukuu mstari wa nne kwenye andiko lako "Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi". Sasa umejuajuaje kuwa hiyo ni Hotel ya nyota 5 ?
 
Kuna vyombo vya Serikali nimewaamsha leo , waende eneo husika kuangalia, kuchunguza Mwisho ukweli utapatikana ila tumepigwa na kitu kizito.
TAKUKURU wilaya ya Meru wanalijua ila wamepiga kimyaaaa
 
Ninaomba mkurugenzi wa Meru akanushe taarifa hii kama Hakuna jengo la ghorofa 40 lililojengwa kwenye eneo analotawala Yeye?
 
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.

Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.

Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika?

Mradi umekamilika ila Hakuna kibao cha CRB kuonyesha jina la mradi wala mmiliki wa mradi?

Barabara Za kuingia kwenye hotel hiyo zina lami balaa ila mradi umefichwa porini mradi wa matrilioni ya fedha.

Je Dar kuna jengo lenye ghorofa 40? Karibu maji ya chai arusha Tanzania mjionee maajabu ya baada ya kifo cha JPM.
🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom