Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

ZE NDINDINDI kajitafutia ban ya kujitakia! na ameipata!
 
Sawa wafuasi wa kanisa jipya la mitimingi, naona mnaanza k kutangaza kanisa indirect hapa
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
Nasikia mwenye hiyo ni yule nanihii sijui.
 
Hahahahahahahaa umenifanya nipate taswira tango litavokuwa linapigwa mateke na mapaja wakati wa kutembea ndani ya suruali isiyo na boksa hahahahahahahahaa. Hapo uwe mita kadhaa unakuja Walaah macho yangu hayatabanduka kwenye maeneo hayo ya tango na nyanya chungu mbili hehehehehehehehee.

Yaani napata taswira inaenda kulia inarudi kushoto inaruka katikati kwenye zipu halafu kulia tena halafu kushoto aahahahahhahahahahahahahaaa

Aiseeh muwe mnasahau kuvaa boksa nipate raha ya kitizama inavodunda.

Usingechangia hapo ningezima simu nikalala
 
Mleta mada unataka kutufungisha bure wenzio coz unakauli za uchokozi inasemekana hiyo hotel niya baba wa wanyoge.
Alafu muulize anatakwimu,maana sisi kwenye uchochezi huu tutakuwa wapenzi watazamaji.
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
114528303.jpg
 
Back
Top Bottom