nitashukuru sana mkuu ,hiyo si ya mbunge sugu au?Karibu mbeya mjini. Ukifika nijulishe nikupeleke Hotel Desderia mkuu. Huduma zake na mandhari hakika utajiskia kama uko Davos, Uswizi. Toriiiiiiiiii ndiiiiiiii. ZE NDINDINDI
Huyo ni zuga tuDada Kabulaaa.
[HASHTAG]#UNACHOKITAFUTA[/HASHTAG]. UTAKIPATA NTARUDI BAADAE
Kusema ukweli mmiliki simfahamu mkuu. Mimi huwa naenda kupaka grisi rohoni mwangu na kuendelea na mengineyo yatakayojiri katika harakati za ulainishaji. Karibu sana mkuu.nitashukuru sana mkuu ,hiyo si ya mbunge sugu au?
Wenye akili wanatafuta na wao sio kuchimba wengine kinafiki, na ni tabia za watu maskini kubeza na kuchukia au kuchunguza kwa chuki waliofanikiwa. Kumbuka wakati wa Bakhressa kushikiliwa makontena kwa ajili ya kodi, watu walishangilia utafikiri watafananaHotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.
Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.
Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
usiniambie HALAFU KAMA NIMEWAHI KUSIKIA HIZI TETESI AISEE..mwaga nondo hizo mkuuNaamini huu uzi ni kati ya zile nyuzi za 2015 kurudi nyuma ambazo huwa zinafufuliwa kutoka wafu ili kuhamisha attention ya jamii kwa mujibu wa matukio ya wakati huo....anyway...
Hiyo kebbyz hotel ya sasahivi 2018 ni uchafu na takataka ukilinganisha na hukoooo miaka ya nyuma.
Tuendelee kufukua makaburi mpaka tukutane na mifupa yq uhusiano wa kimapenzi kati ya mmiliki na mkuu wa kaya hapooo kwenye magogo....tuzidi kufukua makaburi mpaka tukutane na mifupa ya uhalali na kipato cha mmiliki kama sio mzigo wa bwanake kwa wakati huo...
mmiliki nani mtaje mkuuHuyo ni zuga tu
Mwenye anajulikana,
hahaaaa wamepanic fid q kesha muhonga mtu hotel nnmbona mmekuwa wakali hivyo? ni mara ngapi info au miliki za kitu zinaulizwa hapa jf?
Uzi bila picha sawa na suruali bila boxer
Hahaha,kesie tabu yote ya nini ,njoo uione ikiwa mubashara kabisa[emoji23] [emoji8]Hahahahahahahaa umenifanya nipate taswira tango litavokuwa linapigwa mateke na mapaja wakati wa kutembea ndani ya suruali isiyo na boksa hahahahahahahahaa. Hapo uwe mita kadhaa unakuja Walaah macho yangu hayatabanduka kwenye maeneo hayo ya tango na nyanya chungu mbili hehehehehehehehee.
Yaani napata taswira inaenda kulia inarudi kushoto inaruka katikati kwenye zipu halafu kulia tena halafu kushoto aahahahahhahahahahahahahaaa
Aiseeh muwe mnasahau kuvaa boksa nipate raha ya kitizama inavodunda.
Muulize mzilankende anajua story yotembona mmekuwa wakali hivyo? ni mara ngapi info au miliki za kitu zinaulizwa hapa jf?
KabisaNi ya mzee wa chato au hawara ya mzee wa chato ???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kwanini Mkuu ??.Mmmhhh....hizi sifa hizi co za injiii hiii
Mmmmhhhhh,mmiliki nani mtaje mkuu