Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
Ipo wapi ??.
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
Kabula's hotel
 
Mbona hotel ya kiwango cha kawaida sana! Ni kama ulizoea kuendesha Toyota Corolla ikatokea siku ukaendesha Toyota vanguard, big up lakini umeongeza kiwango ... [emoji851]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ben saa10 naye alikatazwa hakusikia hivihivi..! Baada ya kuwa anafuatilia uganga wa mheshimiwa mwanachi wa kwanza nchini.
 
Ni kimada wa jamaa yetu. Usiingie kwenye ligi ya kuhonga. Jamaa yetu ni bingwa.
Ten percent zake ni za kuhonga tu. Haoni tabu kuhonga ghorofa au cheo kikubwa
 
Ni kimada wa jamaa yetu. Usiingie kwenye ligi ya kuhonga. Jamaa yetu ni bingwa.
Ten percent zake ni za kuhonga tu. Haoni tabu kuhonga ghorofa au cheo kikubwa
Nan amehongwa cheo kikubwa[emoji33] [emoji33]
 
Ni kimada wa jamaa yetu. Usiingie kwenye ligi ya kuhonga. Jamaa yetu ni bingwa.
Ten percent zake ni za kuhonga tu. Haoni tabu kuhonga ghorofa au cheo kikubwa
hahaa unanisingizia sikwenda pale kwenye magogo kufuata wanawake mkuu
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
duuuuhh Jamaa wame shakuunguza. aisee
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?


Weka picha hakuna haja ya kelele
 
Back
Top Bottom