Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Wanapokea shilingi. Hata sio pazuri kiviile bwana.Tukale hapo siku moja kama wanapokea shilingi
Wanapokea shilingi. Hata sio pazuri kiviile bwana.Tukale hapo siku moja kama wanapokea shilingi
Ushamba umetuzidi kusifia tuu kumbe. Hatuna tujuapo teh tehWanapokea shilingi. Hata sio pazuri kiviile bwana.
Ka huyo binti mkuu, ili tufanye tathmini inaweza ni mkali sanaKachapi ka nini mkuu? Ka mwenyewe Kabula au ka jumba tulilommilikisha?
Mh
Ha! Ha! Ha!wala sijakupata Kabula ni nani?
Kweli wala simjui, Kabula, namjua MabulaHa! Ha! Ha!
Wewe una lako jambo unajifanya kuzunguka wakati lengo lako ni kutaka kuleta udaku tu wa kutaka uhakika wa mmiliki wa Kebbys kama ni mtanzanaia au la na ni uhakika kuwa unamjua mmiliki ili kwa sababu zako mwenyewe unataka umchome au upige baragumu la kumuweka wazi.Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.
Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.
Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
Je hiyo Desderia hotel naruhusiwa nikiwa hapo kufanya mkutano wa CCM kwenye ukumbi wao nina mkakati wa kugombea ubunge jimbo la Mbeya, nataka nikifanya mkutano nipeperusha bendera za kijani eneo lote la hotelKaribu mbeya mjini. Ukifika nijulishe nikupeleke Hotel Desderia mkuu. Huduma zake na mandhari hakika utajiskia kama uko Davos, Uswizi. Toriiiiiiiiii ndiiiiiiii. ZE NDINDINDI
Kuna jamaa alienda katika kijiji fulani na mwenzake kufanya tafiti zake. Wakakuta wanakijiji ndio kwanza wametoka shambani wamejipumzisha chini ya mti wenye kivuli tuliiivuu wakiburudika na pombe yao ya kienyeji.Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.
Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.
Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?