Salamu zangu za dhati kutoka ndani ya uvungu wa moyo wangu nazirudisha kwako Mr Rocky.....nitakuwa mchoyo wa salaam kama nikimsahau best yangu kipenzi Mafikizolo.......nitakuwa mjinga kupindua kama nitawasahu dada zangu wa hiari Khantwe miss neddy Madam B ladyfurahia masai dada ............ngoja nikale kwanza nitakuja kumalizia wengine ugali unapoa......
mkuu thanks,salamu zikuendee pia huko ulipo x-mass hii lazima mbuzi apoteze uhai.
nikianza na familia za humu,salamu zifikie kwa familia ya Ntuzu na mke wake Khantwe utafiti na mke wake(miss neddy)@mafikizolo MO11 mshana jr ladyfurahia Madame B na wengineo wengi
hahahaha sawa mkuu kiwatengu asante sana na karibu sana mji jirani hapa aise
C6 asante sana mkuu nikija mwanza aise nitakutafuta sana na msalimie sana charminglady
Unataka kaka yangu amwagiwe tindikali?
..Asante mume wangu kipenzi MO11....nakupenda sana mpenzi pia nampenda sana wifi yangu Khantwe.
Nami nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo sitawatakia sikukuu njema wale waliokuwa wapenzi na waume zangu wa zamani.
Ruhazwe JR, Remote, Ben Saanane, Sumu, Arushaone, chili, Chimbuvu, Ruttashobolwa, Kimbweka....na niliowasahau.
Waume zangu wa sasa kule JLW, Shark na bacha
Pia napenda umtambue mpinzani wako mkuu TANMO....mume wangu huyo.
Wote hawa nawatakia mwaka mpya wa 2015 wenye mafanikio mema.
N.B
MO11 mume wangu naomba utambue mahawara hawaachani
Tena sio kummwagia, namtumbukiza ndani ya pipa la tindikali kabisa....naona anataka kupindukia kwa mamaafacebook...
Waambie nikiwakuta.....naua mtu wifi
Wifi, naona kaka yako ana hamu ya kuwekewa limbwata ili akili ikae sawa.
Mpe taarifa
Pacha....kumbe huyu ni mkeo pia? Bas ni wifi yangu dabodabo mana ni mke wa MO11
Hebu acha kubishana na sisteri wangu wewe ni wa mimi
Mimi nawasalimu wana JF wote , ujumbe nawaambia "SALAMU HAITII MIMBA"
Kwa hiyo Pacha wewe ni wifi dabo dabo?
halafu nasikia pia una uwifi mwingine tena na wifi yako Evelyn Salt.
Naomba uniambie, tuko wangapi kabla sijachukua maamuzi mazito dhidi yako mume wangu...maana naona unakenua meno na mamaafacebook tangu kuleeee juu.
Naomba jibu haraka
Ila inayotia mimba ni nini?
Ila inayotia mimba ni nini?
asante best nashukuru msalimie dada yako mwambie tumemiss hapa jukwaani.
Binamu asante kwa salamu zenye bashasha, nami nakutakia sikukuu njema sana!!!!!!!!!