suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
No comment....
Kua makini ntajitongozesha tu na ntambeba
No comment....
Nitakuwa mwendawazimu kama sio mwehu...kama nitajifanya nimewasahau wafuatao.. Viol MziziMkavu,ndugu yangu wa damu Mshana Jr....watani zangu wa ukweli miss chagga na pacha wake Matege.....bila kumsahau mtu mwenye hekima kuliko wote.. Tized.....salaam hizi pia ziwafikie maswahiba zangu Kimnana... mamaafacebook.. EvelynSalt.. tinna Cute... Mamndenyi christina ibrahim......ngoja nikaoge kwanza....nitakuja kumalizia baadae.....
Nitakuwa mwendawazimu kama sio mwehu...kama nitajifanya nimewasahau wafuatao.. Viol MziziMkavu,ndugu yangu wa damu Mshana Jr....watani zangu wa ukweli miss chagga na pacha wake Matege.....bila kumsahau mtu mwenye hekima kuliko wote.. Tized.....salaam hizi pia ziwafikie maswahiba zangu Kimnana... mamaafacebook.. EvelynSalt.. tinna Cute... Mamndenyi christina ibrahim......ngoja nikaoge kwanza....nitakuja kumalizia baadae.....
Angalia povu linavokutoka hujui akiwa ndani wa kwako akitoka nje s wako
Weee wee weeee ntakupiga life ban mimi japo sio mod
Nipetia na zimenifikia ahsante walao na sii tunakumbukwa te te te
Zitupate sote salam zako isha allah
Unabisha sitampata
Mtani kuhusu mbege usikonde nimeshakuagizia moja kwa moja kutoka kishumundu......ikifika tu nitakutumia kwa PM...sitaki kukupa hapa hadharani maana najua kuna watu waroho sana wanaweza wakakudoea...mtani....mtani naomba hizi salam zije na ndoo ya mbege ili nizipokee kwa mikono miwili.. mkuu mshana jr ye ametoa udhuru..
asante kwa kunikumbuka my dear.. nami nachukua this opportunity kukutakia festival njema mtani wangu.. mungu ni mwema kutuvusha 2014 salama.. tuendelee kuombeana kwani siku bado nyingi..
Miss u so much binamu
Na wewe pia nakutakia sikukuu njema..........pamoja sana
Si unamuomba mods akukabidhi madaraka kwa muda mchache......ili ukate kiu yako.....Weee wee weeee ntakupiga life ban mimi japo sio mod
Mtani kuhusu mbege usikonde nimeshakuagizia moja kwa moja kutoka kishumundu......ikifika tu nitakutumia kwa PM...sitaki kukupa hapa hadharani maana najua kuna watu waroho sana wanaweza wakakudoea...mtani....
thanks much mkuu kwa kunikumbuka,ubarikiwe.Nitakuwa mwendawazimu kama sio mwehu...kama nitajifanya nimewasahau wafuatao.. Viol MziziMkavu,ndugu yangu wa damu Mshana Jr....watani zangu wa ukweli miss chagga na pacha wake Matege.....bila kumsahau mtu mwenye hekima kuliko wote.. Tized.....salaam hizi pia ziwafikie maswahiba zangu Kimnana... mamaafacebook.. EvelynSalt.. tinna Cute... Mamndenyi christina ibrahim......ngoja nikaoge kwanza....nitakuja kumalizia baadae.....
Unabisha sitampata
Si unamuomba mods akukabidhi madaraka kwa muda mchache......ili ukate kiu yako.....
Pamoja sana mkuu...thanks much mkuu kwa kunikumbuka,ubarikiwe.
Nakutakia pia sikukuu njema mkuu,ila kunywa pombe kiasi x-mass kama unatumia.
nashukuru mtani wangu wa ukweli,,, nakuombea msimu huu wa sikukuu uibiwe hela ulale mwanzo mwishoNitakuwa mwendawazimu kama sio mwehu...kama nitajifanya nimewasahau wafuatao.. Viol MziziMkavu,ndugu yangu wa damu Mshana Jr....watani zangu wa ukweli miss chagga na pacha wake Matege.....bila kumsahau mtu mwenye hekima kuliko wote.. Tized.....salaam hizi pia ziwafikie maswahiba zangu Kimnana... mamaafacebook.. EvelynSalt.. tinna Cute... Mamndenyi christina ibrahim......ngoja nikaoge kwanza....nitakuja kumalizia baadae.....