Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

Asante sana mwanafunzi wangu mtukutu Kaizer, naomba mwaka ujao uwe pole darasani.
Asante kwa salmu zako zilizojaa unono kwa walimu wako.
Nami nakutakia mwaka mpya 2015 wenye mafanikio lukuki.

Njoo tu darasani, Ila usisahau ada.

Ada nije na cash au risiti? Halafu kama utukutu kanifundisha asakuta same ila ninastaafu sasa mwalimu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (Ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk

Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.

Asante sana binamu yangu Mr Roky, nami nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitawakumbuka mabinamu wengine akina Mwita Maranya na Eli79 bila kumsahau mashemeji watu8 na Erickb52.

Binamu yangu naomba nikutakie mwaka 2015 wenye mafanikio kwako.
Lamina
 
Last edited by a moderator:
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaa nitafurahije mie kupendwa raha jamani asikwambie mtu atiii

ila mm ndo naelekea bariadi kwa mkwe au tutakwenda sote bebiii?
Huko utapaweza? Safari ya huko unamaliza usafiri wa aina zote ndipo unafika! I.e Gari, boda boda, baiskeli unamalizia kwa mguu umbali wa km 100! Jiandae kujifanya mtoto wa kishua utakutana ugali kwa 'ngagani' ndo akili zitakuja!
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa makubwa nimeweza kupanda milima ya kwetu nishindwe kutembea huko na kwa mwendo wa miguu nitashindwaje?

wewe kwetu siye ni milima kwa kwenda mbele unatembea milimani mpaka unachoka unajikuta uko hoi ukifika kileleni unafikiri mchezo
Huko utapaweza? Safari ya huko unamaliza usafiri wa aina zote ndipo unafika! I.e Gari, boda boda, baiskeli unamalizia kwa mguu umbali wa km 100! Jiandae kujifanya mtoto wa kishua utakutana ugali kwa 'ngagani' ndo akili zitakuja!
 
hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa makubwa nimeweza kupanda milima ya kwetu nishindwe kutembea huko na kwa mwendo wa miguu nitashindwaje?

wewe kwetu siye ni milima kwa kwenda mbele unatembea milimani mpaka unachoka unajikuta uko hoi ukifika kileleni unafikiri mchezo
Mh, hapo sasa kwa kupanda milimani we lazima uwe mfuuuuuuuuupi, sijui kama nini!
 
hahahaha ungejua kuwa nimevuka inchi 9 wewe unipati hata kwa urefu wa aina gani labda uwe ngongoti hiyo picha ulioyoweka nayo mbaya kabisa toa hyo avatar hapo weka ingine
Mh, hapo sasa kwa kupanda milimani we lazima uwe mfuuuuuuuuupi, sijui kama nini!
 
hahahaha ungejua kuwa nimevuka inchi 9 wewe unipati hata kwa urefu wa aina gani labda uwe ngongoti hiyo picha ulioyoweka nayo mbaya kabisa toa hyo avatar hapo weka ingine
Haahahaaa, stop! Tuache kuchakachua uzi wa watu! Hapa nikutuma salamu tu!
 
salamu spesheli ziende kwa mke wangu wa kwanza Madame B
na michepuko yangu yote miss chagga japo anajifanya hanioni
AmKATRINA huyu ndio hadi nakaribia kumsahau sura yake
Na wengine ambao wapo njiani
miss neddy japo utafiti anabana ila ataachia tu
tinna cute huyu nitamuelezea kwa urefu
masai dada ile zawadi yako nakuwekea kwenye freezer kama ulivyoniambia

sister Khantwe wewe utachagua yupi uanze kumuita wifi ila usijali ni maendeleo madogo tu
Mafikizolo kiukweli mpaka leo napata tabu kugundua jinsia yako ukipenda niambie
mamaafacebook toto la kidigo hili aliyenichinjia baharini
shemejiiii zima taa Evelyn Salt
Tumboo popote ulipo.
Mke mwema Matege popote ulipo hata kama hunipendi mimi nakupenda
sister christine ibrahim hunajunalika ila nitakuja hivyo hivyo

#team pichazzz
mshana jr
Mr Rocky
utafiti
HARUFU
Tyta
muhuni tee_bag
watu8

bila kuwasahau #team _Aibu_Naona_Mimi

list itaongezeka hii

Asante mume wangu kipenzi MO11....nakupenda sana mpenzi pia nampenda sana wifi yangu Khantwe.
Nami nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo sitawatakia sikukuu njema wale waliokuwa wapenzi na waume zangu wa zamani.
Ruhazwe JR, Remote, Ben Saanane, Sumu, Arushaone, chili, Chimbuvu, Ruttashobolwa, Kimbweka....na niliowasahau.

Waume zangu wa sasa kule JLW, Shark na bacha
Pia napenda umtambue mpinzani wako mkuu TANMO....mume wangu huyo.

Wote hawa nawatakia mwaka mpya wa 2015 wenye mafanikio mema.
N.B
MO11 mume wangu naomba utambue mahawara hawaachani
 
Last edited by a moderator:
Asante mume wangu kipenzi MO11....nakupenda sana mpenzi pia nampenda sana wifi yangu Khantwe.
Nami nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo sitawatakia sikukuu njema wale waliokuwa wapenzi na waume zangu wa zamani.
Ruhazwe JR, Remote, Ben Saanane, Sumu, Arushaone, chili, Chimbuvu, Ruttashobolwa, Kimbweka....na niliowasahau.

Waume zangu wa sasa kule JLW, Shark na bacha
Pia napenda umtambue mpinzani wako mkuu TANMO....mume wangu huyo.

Wote hawa nawatakia mwaka mpya wa 2015 wenye mafanikio mema.
N.B
MO11 mume wangu naomba utambue mahawara hawaachani

wife hujambo mama?
nimekumiss mpaka moyo unauma yaani.
hivi huyu Khantwe ni wifi yako kwangu au kwa kaka yako?
 
Last edited by a moderator:
wooow asante Madame B kwa kunikumbuka aisee nazan inshaalah nkifanikiwa kufika mwakan itabd tupige shoo moja ya kusameheana kwa yote ili hata mungu aeze pokea msamaha wetu kwa dhati hata kama ataandika dhambi lakn atajua tumesameheana toka moyoni ili uendelee kukaa lidaz kwa moyo safi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom