Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,445
Anaijua ila hajui kama mimi naijua pia
Kwani una miaka 12 wewe?
Anaijua ila hajui kama mimi naijua pia
Akha mwenzangu, ujuzi umezidiana.
nisije kosa mwana wa kunipelemba mwaya
Njoo pm binamuu
nipe hyo ya twi namjua au na pale we acha tu kwa kuwa mie nna moyo ila ningekipiga kile kizee chako kinakufuata mpaka chooni mmamae
nakuja.....
Kwani una miaka 12 wewe?
Uwii nafwa mie
Uwii nafwa mie
nini tena tatizo.....??/
Mbona hujiamini mwanamkeWivu...unaenda na mamaafacebook pm
Mbona hujiamini mwanamke
Khaaa nijiamin wakati nazidiwa ujanja waziwazi kabisa?
Mweeh....imekula kwangu
Ahhha tena sana