Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

wooow asante Madame B kwa kunikumbuka aisee nazan inshaalah nkifanikiwa kufika mwakan itabd tupige shoo moja ya kusameheana kwa yote ili hata mungu aeze pokea msamaha wetu kwa dhati hata kama ataandika dhambi lakn atajua tumesameheana toka moyoni ili uendelee kukaa lidaz kwa moyo safi

Mhhhhh.....huko Arusha, nalia mimi.
Halafu juzi pale Twi kulikuwa na fumanizi moja hatari...mbona ulikosa uhondo....yaani full aibu.
Tukijaaliwa kufikawaka mpya salama itabidi kweli tutafutane ili tukumbukane.
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh.....huko Arusha, nalia mimi.
Halafu juzi pale Twi kulikuwa na fumanizi moja hatari...mbona ulikosa uhondo....yaani full aibu.
Tukijaaliwa kufikawaka mpya salama itabidi kweli tutafutane ili tukumbukane.

nipe hyo ya twi namjua au na pale we acha tu kwa kuwa mie nna moyo ila ningekipiga kile kizee chako kinakufuata mpaka chooni mmamae
 
Back
Top Bottom