mkuu thanks,salamu zikuendee pia huko ulipo x-mass hii lazima mbuzi apoteze uhai.Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe Ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk
Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.
Mkuu huu ugali wa mtama na matembele ya chukuchuku huuwezi......Asante sana Mafikizolo nikitaja jina lako nakumbuka tuu kwaito aise
KikulachoChako asante sana mkuu na naomba nikaribie huo ugali aise kama utaniruhusu
Msimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (@ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk
Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.
Mkuu huu ugali wa mtama na matembele ya chukuchuku huuwezi......
Unapopata salamu kama hizi kuna faraja ndani ya moyo inakujia na kuona kwamba kumbe kuna umuhimu mkubwa tu wakusalimiana..leo Baba Mr Rocky amemkumbuka mtoto wake wa kambo...shikamoo Baba.,
zimefika binamu mamaafacebook.....
Mr Rocky nashukur sana salam nimezipokea mikono miwili na kwa roho kunjufu kabisaMsimu wa salam
Naomba nisitaje wing wala nini ila mchanganyiko maalumu wa watu
Nikianza na mtuma salam mkuu Arushaone na wenzake akina Erickb52 (mwambie aliyekuficha akupe japo nafasi ya kusalimia), kiwatengu (pitia badi hata kijiweni upate banana baridi aise), PakaJimmy, Crashwise, Blaki Womani, Preta (safari hii dareda tunaenda wote aise ), amu, ladydoctor (umepotea sana siku hizi) sweetlady, mwalimu wangu gfsonwin, lilyflower, Kaunga, King'asti (umemficha sana Paw aise) Lizzy (umepotea sana)
Binamu zangu ladyfurahia, Madame B, Evelyn Salt, Heaven on Earth (mwambie grafani11 awe anatembelea na huku na salam awe anatoa) , miss chagga (aise we mchepuko wangu usimalize pesa zote sikukuu bado aise ) miss neddy (huvi kukuambia nakumiss ni kosa aise), Khantwe (Ntuzu mwambie namsalimia na kumtakia sikukuu njema)
Marafiki zangu wa ukweli BAK (mkuu heshima kwako na endelea na moyo huo huo) , Tized (dah kile kimbuzi kimekata kamba kikatoroka aise sasa sijui tunafanyaje), utafiti (nasubiri kadi aise ya ile mambo yetu), kabanga (we wala sihitaji kusema mengi unajua viwanja vyetu aise ila kuwa makini sana), Kibo10 (aise huonekani bana), Himidini (aise asante sana kunikumbusha na naisubiri sana ahadi yangu), mwekundu na Mentor (chezeni salama aise tukutane tena hapa January mwakani) MO11 na mshana jr (salam nyingi sana kwenu pamoja na Tyta muendeleze jukwaa la mavitu kule aise) The Finest na AshaDii mmekuwa bidhaa adimu sana sijui mmepotelea wapi aise, baba paroko Eiyer (sijui kama kundi liko salama) Mashaxizo na Excel salam nyingi sana kwenu. Mamndenyi sijakusahau mtalaka wangu. SnowBall na snowhite mmepotea sana sijui hizo snow mwanzo wa majina yenu zimeyeyuka. christine ibrahim salam zenu sana. Mkuu Asprin msalimie pia na babu yetu Dark City popote alipo na sijui Bishanga ndo kapotea kabisa jukwaani. Kaizer hivi bado uko mjini au Nicas Mtei kashakupeleka chaka aise. charminglady usisahaulike kwenye salam bana. OLESAIDIMU popote ulipo pokea salam mkuu. BATTO salama mkuu. Mafikizolo salam nyingi mkuu na mamafacebook usinisahau pia. watu8 nafikiri mwakani familia itakuwa watu9 na sio watu8 tena. Mtambuzi tumekosa sana story zako za uchambuz. Mndengereko usipotelee hivyo kijijini njoo na mjini bana. Viol na wewe usipotee hivyo bana. Honey Faith upo dear pamoja sana na KikulachoChako. afrodenz na FirstLady1 sherehekeeni salama pia. Chocs umemficha sana Erickb52 na Blue G upo salama aise msalimie na mwallu na asakuta same na everlenk
Nisimsahau mke wangu pekee humu ndani Dena Amsi ajue nampenda sana licha ya kuwa na mchepuko miss chagga niko nae daima kama mke halali
Na wengine wote ambao sitaweza kuwataja nawatakia kila jema katika msimu huu wa sikukuu na tusherehekee kwa amani na kwa umakini wa hali ya juu.
salamu spesheli ziende kwa mke wangu wa kwanza Madame B
na michepuko yangu yote miss chagga japo anajifanya hanioni
AmKATRINA huyu ndio hadi nakaribia kumsahau sura yake
Na wengine ambao wapo njiani
miss neddy japo utafiti anabana ila ataachia tu
tinna cute huyu nitamuelezea kwa urefu
masai dada ile zawadi yako nakuwekea kwenye freezer kama ulivyoniambia
sister Khantwe wewe utachagua yupi uanze kumuita wifi ila usijali ni maendeleo madogo tu
Mafikizolo kiukweli mpaka leo napata tabu kugundua jinsia yako ukipenda niambie
mamaafacebook toto la kidigo hili aliyenichinjia baharini
shemejiiii zima taa Evelyn Salt
Tumboo popote ulipo.
#team pichazzz
mshana jr
Mr Rocky
utafiti
HARUFU
Tyta
muhuni tee_bag
watu8
bila kuwasahau #team _Aibu_Naona_Mimi
list itaongezeka hii
thanks much kwa kunikumbuka,nakutakia x-mass njema na heri ya mwaka mpya usisahau kualikana kwa pilau.
Unataka kaka yangu amwagiwe tindikali?
AhhhA mbona unamjibia nataka ajib yy mwenyewe
Bado namhitaji kaka yangu aisee...
Kwa kua ntamnyonya damu au
Hahahaa hayo yako ila mi nmesema kaka yangu bado namhitaji
Hata mumeo ntamtaka pia