Salamu zangu ziwaendee mumy & daddy
measkron ,
watu8 nashukuru kwa hekima zao kwa busara za kwa onyo zao hasa daddy kuna wakati alinikana lakini baadaye akanirudia mwanawe na kunisamehe kwa vituko nilivyomfanyia si unajua atena tunaoishi na madaddy karibu full kudeka,
Sitawasahau ndugu zangu wa ukweli waliofanya baraka na furaha kwangu kuwapa salamu za sikukuu njema na mwaka mpya mwema nao ni
Passion Lady,
charminglady na mumewe
C6 ,
Lady doctor na mumewe
Arushaone,
sweetlady WiseLady,
FirstLady1 na
Focuslady Mungu awe nanyi awape baraka tele
Siwezi kuwa mwingi wa fadhila kuwakumbuka hawa wafuatao hasa mume wangu
muuza ubuyu, mke mwenza
Khantwe,
Marafiki wa karibu sana nami
Ntuzu,
kabanga,
Mamndenyi,
Mtambuzi,
Paloma,
Heaven on Earth,
sister,
mwallu,
mshanajr,
stevoh,
KakaKiiza,
MANI,
Madame B,
AshaDii,
Mphamvu,
Chabruma,
Kaizer,
miss neddy,
Munkari, (ILA HUYU BABU MMMHM
Asprin ODM,)
madame X,
Excel,
miss chagga na wale w0te wanaofuatilia thread zangu humu mjengoni na kukoment kwa ujumla nawatakia siku kuu njema na mwaka mpya mwema Mungu awalinde na kuwabarikia na kuwaongezea mkose nafasi ya kuiviweka vingine.