idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,423
Kila mtu atakubaliana nami kwamba Tanzania kabla ya Mheshimiwa ilikuwa ipo vibaya, ni Dhambi kuhukumu serikali ya muheshimiwa based on previous goverment
mpaka sasa ipo vibaya
Kila mtu atakubaliana nami kwamba Tanzania kabla ya Mheshimiwa ilikuwa ipo vibaya, ni Dhambi kuhukumu serikali ya muheshimiwa based on previous goverment
Kwani Emirates na etlhad na maairbus mengine yanayokuja hapa TZ soko laki lipi!?Kwa soko lipi??
Nani yupo makini? umeambiwa pale wote ni vihio?Nampongeza rais magufulia air tanZania ina watu makini tatizo lilikuwa uongozi ila kwa sasa litafanya vzur maana kiongoz yuko makini
Ndugu soko la ndege ni tofaut na la mabasi eti wataona kuna mabas mapya na kupata watejaKwani Emirates na etlhad na maairbus mengine yanayokuja hapa TZ soko laki lipi!?
Wabongo bwana heti kelele angani kwani kuna ndege inatembea kimyakimya angani?.bora tuanze na hivyo.tatizo nyie kila kitu ni wakatisha tamaa
Af izi ndege zitakuwa ni za apaapa tanzania internationally ni vigum kuanza haraka hivi maana mikakati lazima iwepoKwani Emirates na etlhad na maairbus mengine yanayokuja hapa TZ soko laki lipi!?
mpaka sasa ipo vibaya
Kwa Rais huyu au mwingine?!Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.
Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k
Inategemea na mahitaji mkuu...kuliweka angani hilo dude sio mchezo mkuu...hivi unajua FastJet inastruggle sasa hivi? washapunguza ndege kubwa na bado...Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
![]()
![]()
Niliweka kama mfano kakaInategemea na mahitaji mkuu...kuliweka angani hilo dude sio mchezo mkuu...hivi unajua FastJet inastruggle sasa hivi? washapunguza ndege kubwa na bado...
Duh mkuu uko sahihi asilimia 200%. Hii facebook product ina matatizo sana!Nadhani serikali ina haja ya kuanza ''kuflash'' vichwa vya wabongo kwanza kabla ya kujikita kwenye maendeleo. Wengi wamejazwa ujinga na ujuaji mwingi usio na mashiko. Good day facebook products!!
Nina mtu wangu mdau mkubwa wa aviation, anakwambia ATC wakiwa serious kama ambavyo Rais anataka iwe, Precision,FastJet wanakufa within short time.Niliweka kama mfano kaka
hahahahah Mshana jr una viku million sana ja matozo hahahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shabiby zile luxury coach za Dom ni bomba zaidi
Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
![]()
![]()
Wambie mshana tunaitaji ndege kubwa pia. Wakati rwandair inasemekana mwaka huu wanapokea ndege zao aina ya airbus 320 na 330 kwanini wao wasiongeze hivyo turboprop Kwa sisi Ku endelea lazima tuwe na ndege kubwa za kisasa zakuweza kutunganisha na mabara mengine hakuna middle income countries ambayo aina shirika la ndege imara na lenye ndege kubwa, hivi ukishakuwa na ndege za domestic flight zikisha tua kia au dar es salaam, inaingia akilini huyu abiria apande kQ, South africa au ethiopian kwenda mabara ya nje inamana sisi tutakuwa tunawaletea abiria mashirika ya nje .Mh hapana hebu tuwe wakweli hapa kupanda chatter ya Dar Arusha ni tofauti na kupanda Boeing au airbus
Mkuu huwa nakusoma sana ila leo siamini kama hii ni comment yako. Imeandikwa ndege hizo zimeanza kutengenezwa 1983~ to date, haina maana watanunua ya 1983 wananunua mpya.Nchi ya viwanda inanujua ndege ya mwaka 1983 si bora tungetengeneza wenywe
Mkuu shirika likianza halifi, waliokuwa wanaliua wanajulikana na sababu zao binafsi za kuliua zinajulikana. Pia na reli itarudi kny mfumo wake coz wahujumu wanajulikana na sababu zao, wahujumu hao wajiandae kufilisika maana ndo waliokua wanatengeneza usafiri mbadala baada ya kuuwa miradi ya serikali.Soma uelewe alichoandika,umekula MICHEMBE sasa unategemea akili yako itaelewa kitu kweli?,mtu kaeleza kwa ufasaha na wewe NGOSHA unajibu kwa hisia zako butu,umeishaambiwa serekali hii ya Tanzania haiwezi kufanya chochote chenye TIJA,na mifano ipo,sana sana wataendesha shirika hilo kwa miaka mitatu au chini yake natutaambiwa shirika limekufa kutokana na sababu zisizo zuilika,hata ndege zikinunuliwa zitanunuliwa ndege chakavu zilizopakwa rangi na pesa itaingia mifukoni mwa MAHESHIMIWA mazinzi na malevi,sasa wewe tokwa mapovu ukojoe ukalale.
Laughable.Wambie mshana tunaitaji ndege kubwa pia. Wakati rwandair inasemekana mwaka huu wanapokea ndege zao aina ya airbus 320 na 330 kwanini wao wasiongeze hivyo turboprop Kwa sisi Ku endelea lazima tuwe na ndege kubwa za kisasa zakuweza kutunganisha na mabara mengine hakuna middle income countries ambayo air shirika la ndege imara na lenye ndege kubwa ni hivi ukishakuwa na ndege za domestic flight zikisha tua kia au dar es salaam, inaingia akilini huyu abiria apande kQ, saa au ethiopian kwenda mabara ya nje inamana sisi tutakuwa tunawaletea abiria mashirika ya nje.
For me it's ok.What is your view or opinion.?Laughable.