Soma uelewe alichoandika,umekula MICHEMBE sasa unategemea akili yako itaelewa kitu kweli?,mtu kaeleza kwa ufasaha na wewe NGOSHA unajibu kwa hisia zako butu,umeishaambiwa serekali hii ya Tanzania haiwezi kufanya chochote chenye TIJA,na mifano ipo,sana sana wataendesha shirika hilo kwa miaka mitatu au chini yake natutaambiwa shirika limekufa kutokana na sababu zisizo zuilika,hata ndege zikinunuliwa zitanunuliwa ndege chakavu zilizopakwa rangi na pesa itaingia mifukoni mwa MAHESHIMIWA mazinzi na malevi,sasa wewe tokwa mapovu ukojoe ukalale.