Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Wala sio ujuaji niambie serikali imefanikiwa wapi kuendesha shirika la kibiashara?Nadhani serikali ina haja ya kuanza ''kuflash'' vichwa vya wabongo kwanza kabla ya kujikita kwenye maendeleo. Wengi wamejazwa ujinga na ujuaji mwingi usio na mashiko. Good day facebook products!!