Hizi ndio ndege za Magufuli

Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.

Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k
Kwanini serikali iwekeze kwa precision?
Huu ni ubinafsi, give us evidence kuwa wao pia wanafanya vema!
How comes kila corner duniani serikali/umma unamiliki shirika (na/au kuuza hisa) ktk biashara hii ya usafiri wa anga lkn kwetu isiwezekane! Nafikiri ungeshauri business iwe sio 100% serikali, tuingie ubia angalau 40% kwa mashirika mengine ili kupanua wigo wa kibiashara na kuongeza ufanisi! Kwa serikali kuipa pesa precision hayo ni mapenzi binafsi tu na hilo shirika! By the way kwanini wasipewe fastjet?
 
Daaaaaaah yaani umetetea serekali yako ya CCM kwa UMAHIRI kabisa,sasa nenda Lumumba kawaonyeshe ulivyojibu wakupatie BUKU SABA haraka ukapate supu ili uondoe hang over ya gongo uliokunywa kwenye ngoma ya kusifia chama chako,tena waambie waongeze iwe BUKU KUMI kwa sababu sasa hivi unatetea CHAMA NA SREKALI,hilo ongezeko la 3000 likufanye ufe kwa gongo kabla ya uchaguzi mpya 2020.

Sasa povu la nini? Kumbe huna hoja yeyeto Ila chuki ya JPM Na Maendeleo ya Tanzania
Basi Kama Ni hivyo
Ushindwe,ulegee Na ukauke
 
Kwanini serikali iwekeze kwa precision?
Huu ni ubinafsi, give us evidence kuwa wao pia wanafanya vema!
How comes kila corner duniani serikali/umma unamiliki shirika (na/au kuuza hisa) ktk biashara hii ya usafiri wa anga lkn kwetu isiwezekane! Nafikiri ungeshauri business iwe sio 100% serikali, tuingie ubia angalau 40% kwa mashirika mengine ili kupanua wigo wa kibiashara na kuongeza ufanisi! Kwa serikali kuipa pesa precision hayo ni mapenzi binafsi tu na hilo shirika! By the way kwanini wasipewe fastjet?

Kuna makala kibao zikionesha serikali kupitia Air Tanzania ilishajaribu kuingia ubia pia kubinafsisha ''share'' zake na mashirika kama ya Afrika Ya Kusini South African Airways (SAA) n.k kuingia katika mazungumzo na wa-China China Sonangol International Limited lakini ubia /mazungumzo/ mikakati huo haukuweza kuliokoa shirika letu pendwa la Air Tanzania.

Hivyo serikali kuwekeza US$ 54 Millioni au Tshs 100 Bn katika shirika la ''kitanzania'' la PrecisionAir kama mtaji pia ni uzalendo badala ya kuziteketeza Air Tanzania..
 
Tatizo la mtanzania ni kuishi kwa imagination, hicho kidogo hana kabisa anataka awe na kikubwa zaidi ya hata asichonayo, interesting sana hahaha. Unataka airbus
 
Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
24f2a5420ec83b78c30ee9023a29f4fd.jpg
74ffbbd76ee1568c3c6b3a66ef7536cc.jpg
Nimekuelewa sana boss. Badala ya hizo mbili angenunua kubwa kama hiyo uliyoweka hapo juu
 
Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.

Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k
Vitu unavyoeleza hapa kama vikwazo vya kuendesha shirika kwa ufanisi ni easily controllable. Labda kama unesema challenges zinazohusiana na aviation business yenyewe kama, mafuta, international standard compliance, fluctuation ya abiria, exchaange rate volatility etc.
 
Bombardier Q400 NextGen,ni best choice kwa nchi yetu kwa sasa hivi tukiendelea mbele ni sawa wa hiyo A320,
Q400NextGen
Version of the Q400 with updated cabins, lighting, windows, overhead bins, landing gear, as well as reduced fuel and maintenance costs. Extra Capacity variant with a maximum of 86 passengers. In 2016, Bombardier began offering the Q400 NextGen in a 90 passenger high density variant.Turboprop aircraft have lower fuel consumption and can operate from shorter runways than regional jets, shorter ranges and lower cruising speeds. manake ni kama YUTONG compared to SCANIA
 
Hii comment yako is a real definition ya mtu negative and inferior..... Kwani precision air yaendeshwa na malaika? I can assure you even precision air is not successfully......... Air Tanzania yaweza ku run kwa faid kabisa.
Duuh
 
Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.

Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k[/QUOT

Uwakala wa shetani at work. Hao Precision si ndo wanachungulia kaburi siku nyingi tu? Na hao si ndo walifanya vitendo vya kuihujumu ATCL?
Mkuu subiri tukifika mtoni ndo tutajua namna ya kuvuka.
 
Biashara ya ndege ngumu, ilitakiwa labda serikali iingize mtaji PrecisionAir na kuwaachia wakurugenzi na wafanyakazi kuenesha shirika la ''kitanzania '' kibiashara. PrecisionAir wameonesha wanaweza lakini hawa Air Tanzania kuna mashaka makubwa.

Lakini hili la kununua ndege na kuikabidhi Air Tanzania nina shaka kubwa kama mradi huu utafanikiwa maana watatokea viongozi ''wanalazimisha wapewe ofa ya usafiri wa bure'', kutoa amri ndege isiruke kwa ratiba stahiki iwasubiri wao ''viongoz'i maana walichelewa kuamka na bado wapo nyumbani n.k

Magufuli hataruhusu shirika LIFISIDIWE. Kama DC kachomolewa ukumbini hata ATCL itanyooka tu, mambo ya offer za bure na kusubirisha ndege sasa ni historia. Acha ATCL ije ipambane na hayo yaliyopo.
 
Nampongeza rais magufulia air tanZania ina watu makini tatizo lilikuwa uongozi ila kwa sasa litafanya vzur maana kiongoz yuko makini
 
Bodi ilioshindwa kuendesha shirika lenye ndege moja litaweza kuendesha shirika lenye ndege mbili? Sijasikia wakiongelea business plan au wanataka zikifika ndio wanze kujipanga? Viongozi wa hii nchi sio wa kuwaamini kwenye mambo ya biashara.
...na ndio maana firm nyingi bado zinaendeshwa na waeshia, baadhi ya viongozi wakubwa katika hii nchi ya wadanganyika ni madebe matupu.
 
Back
Top Bottom