Kibao
R I P
- Nov 8, 2007
- 631
- 401
Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
![]()
![]()
Toroli iuzwe USD 27 millions???????? . Mi naona ni bora tuanze na hizo ndogo halafu tukikaa sawa tutanunua hiyo A320. Mashirika yote makubwa yana hizo ndege mnazo ponda. Mwaka jana nilitoka Addis hadi Dar kwa Ethiopian Airlines na nilitumia hiyo ndege unayoiponda (Bombardier Q400). Tulikuja vizuri tena nilishangaa maana tulikuja haraka sana.
Kama unafuatilia masuala ya usafiri wa anga utakuwa umesoma kuwa Fastjet wana mpango wakununua ndege ndogo ili wapate faida. Sasa hivi wanatumia hiyo ndege unayopigia debe (A320 na A319) na wanasema zinawaletea matatizo kwasababu ya gharama za uendeshaji na soko la ushindani hapa kwetu.
Nakushauri usome zaidi kwenye mtandao kuhusu bidhaa husika kabla hujaiponda. Angalia pia ni mashirika mangapi duniani yanatumia Bombardier Q400.