Hizi ndio ndege za Magufuli

Hizi ndio ndege za Magufuli

Mkuu alisema Airbus hivi vindege vidogo ni matatizo tu...labda viwe vinafanya domestic route lakini kama ishu ni kwa ajili ya kusaidia kukusaidia kukuza utalii..hakuna watalii wanaopenda kupanda vindege vinavyopiga kelele angani..
Kama JMP anataka kufufua shirika la ndege basi agize ndege za kisasa hata kama ni mtumba lakini ziwe za kisasa..

Hizi ndege bombardier Q400 zimekua proven Kama Ndege bora kwa mazingira magumu ya Afrika, ikiwemo kuwa Na uwezo wa kutua katika viwanja vyenye ubora wa chini.
Tanzania Ina viwanja vingapi vyenye ubora wa kimataifa?
Lengo la JPM Ni kuteka kwanza soko la ndani Na taratibu safari za ndani ya bara la Afrika kwanza,
Kwa lengo Hilo hakuna tatizo kuanza Na Q400.
Mnataka airbus, kwa idadi ipi ya watanzania wanaopanda Ndege kila siku ikiwa lengo Ni kuteka soko la ndani kwanza?

Usikurupuke kuandika kitu kabla ya kutafiti au kuuliza wanaojua[emoji1549]
 
Hizi ndege bombardier Q400 zimekua proven Kama Ndege bora kwa mazingira magumu ya Afrika, ikiwemo kuwa Na uwezo wa kutua katika viwanja vyenye ubora wa chini.
Tanzania Ina viwanja vingapi vyenye ubora wa kimataifa?
Lengo la JPM Ni kuteka kwanza soko la ndani Na taratibu safari za ndani ya bara la Afrika kwanza,
Kwa lengo Hilo hakuna tatizo kuanza Na Q400.
Mnataka airbus, kwa idadi ipi ya watanzania wanaopanda Ndege kila siku ikiwa lengo Ni kuteka soko la ndani kwanza?

Usikurupuke kuandika kitu kabla ya kutafiti au kuuliza wanaojua[emoji1549]
Tatizo wengi humu watafutaji sifa tu
Aonekane naye kapinga na mjuaji kumbe kipofu kichwani.

Wakikosa maneno wakivipata pia maneno,
KQ wanazo hizi ndege kwahio tuwadharau tu
 
Baba wa taifa tangu uondoke ule mchanga mliochanganya wamejengea majumba ya kifahari
 
Ivi watu wanawashauri kweli?? Kwa dunia ya leo ya ushindani wa airbus na boeing nyie mnaleta ivi helcopter vya watoto ivyo nani atapanda kwa shirika kama air tanzania lililokufa? Badala mlete ndege za maana kushindana na soko dahhh mnaleta mchezo, sasa uko ni kupoteza pesa tuuuuu
 
JPM ametangaza kwamba soon ATCL itapata ndege mbili aina za Bombadier Q400 kwa ushauri aliopewa kutoka Rwanda.Hivi kweli wataalamu wetu walishindwa kumshauri Rais? Specification za ndege hizo ni kama ifuatavyo


Bombardier Q400
Price - Current Price $ 27 million U.S.*
The NextGen Passenger Turboprop the Bombardier Q400 NextGEN...
Manufactured from -
1983 - Present
Seating Chart /Seats -
78

Travel Range -
2,522.00 Kilometer
1,362 Nautical Miles

Country of Manufacture -
Canada
  • Engine -
  • 2 X Pratt and Whitney PW150A
  • Power -
  • 5,071.00 Horsepower
  • Avionics -
  • Rockwell Collins Pro Line Fusion
  • Maximum Cruising Speed -
  • 666.25 km per hr 414.00 mph
  • Service Ceiling -
  • 7,620.00 metres 25,000.00 feets
  • Rate of Climb -
  • 457.20 mpm 1,500.00 fpm
  • Numbers Ordered/Sold -
  • 250
  • Cabin Height -
  • 1.95 metres 6.40 feets
  • Cabin Width -
  • 2.51 metres 8.23 feets
  • Cabin Length -
  • 18.80 metres 61.68 feets
  • Exterior Length -
  • 32.84 metres 107.74 feets
  • Wingspan / Rotor Diameter -
  • 28.42 metres 93.24 feets
  • Fuselage Diameter -
  • 2.69 metres 8.83 feets
  • Baggage Volume -
  • 14.20 cubic metre 501.47 cubic feet
  • Maximum Take Off Weight -
  • 29,257.20 kgs 64,500.00 lbs
  • Maximum Payload -
  • 8,669.20 kgs 19,112.00 lbs
  • Fuel Tank Capacity -
  • 1,697.00 gallon 6,423.82 litres
  • Fuel Economy -
  • 0.34 km per litre 0.80 NM per gallon
  • Minimum Take Off Distance -
  • 1,402.08 metres 4,600.00 feets
  • Minimum Landing Distance -
  • 1,286.56 metres 4,221.00 feets

source:Bombardier Q400 Turboprop Aircraft - Seating, Price, Safety Record - NextGENView attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101 View attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101
Haya ni masuala ya kifundi. Kuna specification za namna mbili. ya kwanza ni operational specification. baada ya hapo ndipo inapokuwa developed Technical Specification. Pale wizarani zilikwisha tayarishwa kitambo kilichobakia ilikuwa ni uamuzi tu. Kama utakumbuka hata rais aliwahi kuzungumzia 'airbus' nazo pia zilikuwepo na hata hizo za bombardier zilikuwepo pia.
 
Mtu akichoshwa na safari ya miguu, njia sahihibni kurudi nyumbani kujipanga upya, hizi biashara za ndege kwetu watu wa matamko na figisu ni changamoto, bora kuamua kuagiza matrekta na pembejeo nyingine tujikite kufufua kilimo kutoka jembe la mkono kwenda matrekta tushindane ktk shibe badala ya ndoto za kusadikika.
 
Sidhani kama kwa serikali kuanza na short range aicrafts ni vibaya.Zamani ATCL ilikuwa inaruka viwanja vingi Tanzania na watu walikuwa wana safiri kwa ndege kama kawaida.Kwa kuanzia ku serve soko la ndani ni idea nzuri na ningependa kuona ATCL inaruka viwanja kama Songea,Katavi,Musoma,Shinyanga n.k na ningekuwa na sauti ningeunda shirika tanzu dogo ndani ya ATCL na ningeliita Air Tanzania Express.Ningelipatia ndege za kati ya watu 15 mpaka 40 na lingekuwa linaruka ruti ndogo kama za Tanga,Lindi,Iringa,Singida, kutoka Dar na umbali Mfupi kama Bukoba,Musoma,Shinyanga,Tabora na Kigoma kwa kutokea Mwanza au Dodoma.Baada ya hapo tunakwenda tukiongezeka na ningetafuta mid range aircrafts za abiria 100-120 na ku server nchi jirani ya Africa mashariki,zambia,zimbabwe,DRC,Malawi n.k na hapa ningeagiza ndege kama Bombadier CRJ 900, Embraer E2,Sukhoi superjet 100,na bombadier C100/130.Ukizidi kuexpand zaidi ambapo unafikiria kwenda uarabuni ,kusini mwa afriza,kaskazini na magharibi na hapo unakuta na airbus A320/321 ,B737-900ER ambao ndio watemi wa category ya 150-180 pax.Baada ya hapo tunakwenda ulaya na mashariki ya mbali na huko kunca choices za kisasa kama B787 , A330 ,B777 NA A350.

ILA SISI KWENYE AVIATION MANAGEMENT BADO HIVYO TUKODI MANAGEMENT KWA MIAKA ANGALAU MITANO WAKATI TUNAFUNDISHA VIJANA WETU NA KUCHUKUA UJUZI WA WAZUNGU THEN TUENDE WENYEWE.HIIYO NDIYO ILIKUWA APPROACH YA ETHIOPEAN AIRLINES, NA RWANDAIR WAMEIGA SASA.

KUWA NA MANDEGE MENGI SI ISHU KWANI PALIKUWA NA MASHIRIKA MAKUBWA KAMA TWA,SABENA ,SWISSAIR NA YAKAFA
Una akili saana jamaaa
 
Nadhani serikali ina haja ya kuanza ''kuflash'' vichwa vya wabongo kwanza kabla ya kujikita kwenye maendeleo. Wengi wamejazwa ujinga na ujuaji mwingi usio na mashiko. Good day facebook products!!
kwa hali ya biashara ya dunia ilivyo hasa huku kwetu afrika serikali haitakiwi ku own 100 percent ya shirika la ndege maana wanasiasa wana nguvu kuliko watalaam ndio maana hata mim nashauri serikali iwe na 49 percent na muwekezaji 51 ili kusiwe na matamko ya wanasiasa yatakayoweza kuathiri uwendeshaji wa shirika
 
Mkuu alisema Airbus hivi vindege vidogo ni matatizo tu...labda viwe vinafanya domestic route lakini kama ishu ni kwa ajili ya kusaidia kukusaidia kukuza utalii..hakuna watalii wanaopenda kupanda vindege vinavyopiga kelele angani..
Kama JMP anataka kufufua shirika la ndege basi agize ndege za kisasa hata kama ni mtumba lakini ziwe za kisasa..
Ni rahisi sana kusema hivyo ila ufahamu kuwa aviation industry ni ngumu sana kwani inaweza athiriwa na vitu vidogo sana.
Mfano mzuri ni Kenya Airways. Shirika hili lilikuwa linakwenda vizuri mno na wakawekeza sana kwenye ndege mpya lakini ilivyokuzuka ugonjwa wa ebola afrika magharabi iliathiri mno biashara yao na ikichanganywa na matatizo yatokanayo recession iliyokuwa inaendelea duniani nayo ndiyo ikaharibu kabisa na hivi sasa shirika hilo linachechemea ambapo ilibidi wauze/wakodishe baadhi ya ndege nahivi sasa linategemea msaada wa serikali kuikomboa katika kadhia hiyo.
 
IACHIWE ZANZIBAR IWE HURU WAANZE KUWEKA VITU VYAO ZANZIBAR AIRWAYS NDIO TUNAWEZA TUKAONA NA KUANZA COMPETITION BILA HIVYO ILE DHAMBI YA KUIVAMIA ZANZIBAR NA KUUWA MAELFU YA WATU BILA HATIA ITAENDELEA KUTUTAFUNA
 
Mkuu alisema Airbus hivi vindege vidogo ni matatizo tu...labda viwe vinafanya domestic route lakini kama ishu ni kwa ajili ya kusaidia kukusaidia kukuza utalii..hakuna watalii wanaopenda kupanda vindege vinavyopiga kelele angani..
Kama JMP anataka kufufua shirika la ndege basi agize ndege za kisasa hata kama ni mtumba lakini ziwe za kisasa..
Kuwa na airbus sio shida, shida iko kwenye idadi ya viwanja ambavyo airbus itatua, kwa hapa nchini. Ni vichache sana, na ingi havina viwango. Airbus hazitui kwenye vile vya vumbi kama hizi bombadier amd ATR za Precision. Airbus ni kama hizi Fastjet, ambazo zinatua KIA, Songwe, Dar, Zanzibar na Mwanza tu. Labda zoezi la kuagiza ndege hizo liendane na upanuzi na uwekaji lami viwanja vyetu vilivyosalia, ili angalau kila Mtanzania atumie usafiri huu kufika kwake ama karibu na kwake. Ni hayo tu
 
Mkuu alisema Airbus hivi vindege vidogo ni matatizo tu...labda viwe vinafanya domestic route lakini kama ishu ni kwa ajili ya kusaidia kukusaidia kukuza utalii..hakuna watalii wanaopenda kupanda vindege vinavyopiga kelele angani..
Kama JMP anataka kufufua shirika la ndege basi agize ndege za kisasa hata kama ni mtumba lakini ziwe za kisasa..
akili yako watalii tu, hauna mawazo mbadala,
 
Kuwa na airbus sio shida, shida iko kwenye idadi ya viwanja ambavyo airbus itatua, kwa hapa nchini. Ni vichache sana, na ingi havina viwango. Airbus hazitui kwenye vile vya vumbi kama hizi bombadier amd ATR za Precision. Airbus ni kama hizi Fastjet, ambazo zinatua KIA, Songwe, Dar, Zanzibar na Mwanza tu. Labda zoezi la kuagiza ndege hizo liendane na upanuzi na uwekaji lami viwanja vyetu vilivyosalia, ili angalau kila Mtanzania atumie usafiri huu kufika kwake ama karibu na kwake. Ni hayo tu
hilo jamaa lina akili ya kima utasumbuka bure kuelimisha,
 
Wanasiasa Bana !! Hawa ndo watakao panda kwenye hiyo ndege na Viwembe wachane seat ilikuonyesha ndege ni Used, Wanataka anunue ndege kubwa inatua kwenye viwanja vingapi nchi hii ? hii inatua viwanja karibia vyote vya mikoa, watu wanaanza kwa biashara ya ndani kisha ndio unajitanua !! zile route zote ATC ilikuwa inaenda zimesha kuwa covered na Airline nyingine lazima uanze ndani kisha utaruka nje baada ya kuona unawateja wa ndani wakutosha na wanaimani na huo usafiri wako.



JPM ametangaza kwamba soon ATCL itapata ndege mbili aina za Bombadier Q400 kwa ushauri aliopewa kutoka Rwanda.Hivi kweli wataalamu wetu walishindwa kumshauri Rais? Specification za ndege hizo ni kama ifuatavyo


Bombardier Q400
Price - Current Price $ 27 million U.S.*
The NextGen Passenger Turboprop the Bombardier Q400 NextGEN...
Manufactured from -
1983 - Present
Seating Chart /Seats -
78

Travel Range -
2,522.00 Kilometer
1,362 Nautical Miles

Country of Manufacture -
Canada
  • Engine -
  • 2 X Pratt and Whitney PW150A
  • Power -
  • 5,071.00 Horsepower
  • Avionics -
  • Rockwell Collins Pro Line Fusion
  • Maximum Cruising Speed -
  • 666.25 km per hr 414.00 mph
  • Service Ceiling -
  • 7,620.00 metres 25,000.00 feets
  • Rate of Climb -
  • 457.20 mpm 1,500.00 fpm
  • Numbers Ordered/Sold -
  • 250
  • Cabin Height -
  • 1.95 metres 6.40 feets
  • Cabin Width -
  • 2.51 metres 8.23 feets
  • Cabin Length -
  • 18.80 metres 61.68 feets
  • Exterior Length -
  • 32.84 metres 107.74 feets
  • Wingspan / Rotor Diameter -
  • 28.42 metres 93.24 feets
  • Fuselage Diameter -
  • 2.69 metres 8.83 feets
  • Baggage Volume -
  • 14.20 cubic metre 501.47 cubic feet
  • Maximum Take Off Weight -
  • 29,257.20 kgs 64,500.00 lbs
  • Maximum Payload -
  • 8,669.20 kgs 19,112.00 lbs
  • Fuel Tank Capacity -
  • 1,697.00 gallon 6,423.82 litres
  • Fuel Economy -
  • 0.34 km per litre 0.80 NM per gallon
  • Minimum Take Off Distance -
  • 1,402.08 metres 4,600.00 feets
  • Minimum Landing Distance -
  • 1,286.56 metres 4,221.00 feets

source:Bombardier Q400 Turboprop Aircraft - Seating, Price, Safety Record - NextGENView attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101 View attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101
 
kama air tanzania inaendeshwa na serikali ya tanzania basi usahau. itaendeshwa kama muimbili abiria watakaa chini na vyakula vitakuwa shilingi 50,000

Duh.....

Wanaosimamia usalama wa anga huko Nje ya Nchi watatupiga ban kwenye anga zao....
 
Mkuu heshima yako,umegonga utosini,majitu yalienda kusoma ili kukariri na kushinda mitihani,unakuta mtu ana shahada gunia zima lakini taaluma au ujuzi ni bure kabisa.Basi hizi ndege za Magufuli wacha zije na zigeuke SAMAKI WA MAGUFULI.

Kuwateua tu mapilot waliobobea na wazoefu kuziendea hizo ndege uchakachuaji ulitokea hapo hapo bila kujali ambayo yangeweza kutokea.Nani mwenye uchungu na hii nchi na wananchi wake?Niliwahi kushuhudia ndege ikicheleweshwa uwanjani kumsubiri kibosile wa chama aliechelewa.Rubani kulazimishwa kurusha ndege ilhali masaa yake ya kuruka yakiwa yameisha na wakati mwingine matairi yakitakiwa kubadilishwa rubani analazimishwa kuwapeleka wajumbe wa chama Dodoma au Dar.Serikali kuchelewesha au kutolipa madeni ya kuwasafirisha maofisa wao waliosafirishwa kwa mikopo.Shirika kulazimishwa kuchangia masuala yasiyo na faida kwa shirika kama mwenge na wakati mwingine kukopwa bila mikopo hiyo tena isiyo rasmi kurejeshwa.Kwa ujumla sioni shirika lolote la serikali ya hii nchi lililopiga hatua zaidi ya kufa na kuuzwa kwa hela ya kununulia simu tatu za maana.
 
Back
Top Bottom