Unaonekana mgeni kidog na hili shirika.
Kama uniform tu mpaka aletwe designer kutoka china..bado haujapewa gharama za mashono wewe inadhani kuna faida kweli hapo.
Ndege mbili wafanyakazi mia mbili faida utapata lini?
Asante mkuu ! Sikujua suckoi wana passangers airplane ! Ni kweli huwa nina wa admire sana hawa Suckoi , naamini zitakuwa ndege nzuri
Zamani nilikuwa naamini ndege zote zina kelele hasa ukipanda Boeing 737 - 200 (sina uhakika ila zile za ATCL), zilikuwa zinapiga kelele wakati wa kuruka na kutua mpaka basi, but nilipokuja kupanda Boeing 737 - 800 enzi za Community Airlines nikaona kitu kinaruka kelele za kawaida tuUmewahi panda airbus A380?
Hahaaaaaaa mpwawafanyakazi haowanatafuta huruma ujui inakufa precHii comment yako is a real definition ya mtu negative and inferior..... Kwani precision air yaendeshwa na malaika? I can assure you even precision air is not successfully......... Air Tanzania yaweza ku run kwa faid kabisa.
Mkuu SaluteBadala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
![]()
![]()
Lumumba and companyWala sio ujuaji niambie serikali imefanikiwa wapi kuendesha shirika la kibiashara?
Hii comment yako is a real definition ya mtu negative and inferior..... Kwani precision air yaendeshwa na malaika? I can assure you even precision air is not successfully......... Air Tanzania yaweza ku run kwa faid kabisa.
Sure! Walireport loss ksh 26B kwa mwaka janaPamoja na sisi kuona kenya airways inafanya vizuri lakini ndo shirika kenya linaendeshwa kwa hasara kubwa kila mwaka
Sidhani kama kwa serikali kuanza na short range aicrafts ni vibaya.Zamani ATCL ilikuwa inaruka viwanja vingi Tanzania na watu walikuwa wana safiri kwa ndege kama kawaida.Kwa kuanzia ku serve soko la ndani ni idea nzuri na ningependa kuona ATCL inaruka viwanja kama Songea,Katavi,Musoma,Shinyanga n.k na ningekuwa na sauti ningeunda shirika tanzu dogo ndani ya ATCL na ningeliita Air Tanzania Express.Ningelipatia ndege za kati ya watu 15 mpaka 40 na lingekuwa linaruka ruti ndogo kama za Tanga,Lindi,Iringa,Singida, kutoka Dar na umbali Mfupi kama Bukoba,Musoma,Shinyanga,Tabora na Kigoma kwa kutokea Mwanza au Dodoma.Baada ya hapo tunakwenda tukiongezeka na ningetafuta mid range aircrafts za abiria 100-120 na ku server nchi jirani ya Africa mashariki,zambia,zimbabwe,DRC,Malawi n.k na hapa ningeagiza ndege kama Bombadier CRJ 900, Embraer E2,Sukhoi superjet 100,na bombadier C100/130.Ukizidi kuexpand zaidi ambapo unafikiria kwenda uarabuni ,kusini mwa afriza,kaskazini na magharibi na hapo unakuta na airbus A320/321 ,B737-900ER ambao ndio watemi wa category ya 150-180 pax.Baada ya hapo tunakwenda ulaya na mashariki ya mbali na huko kunca choices za kisasa kama B787 , A330 ,B777 NA A350.
ILA SISI KWENYE AVIATION MANAGEMENT BADO HIVYO TUKODI MANAGEMENT KWA MIAKA ANGALAU MITANO WAKATI TUNAFUNDISHA VIJANA WETU NA KUCHUKUA UJUZI WA WAZUNGU THEN TUENDE WENYEWE.HIIYO NDIYO ILIKUWA APPROACH YA ETHIOPEAN AIRLINES, NA RWANDAIR WAMEIGA SASA.
KUWA NA MANDEGE MENGI SI ISHU KWANI PALIKUWA NA MASHIRIKA MAKUBWA KAMA TWA,SABENA ,SWISSAIR NA YAKAFA
N
Nimesoma vizuri and I still have the same comment! Viongozi kuomba kupanda Ndege Ni issue ya policies tu!!! Hakuna point hapo....
We ni mmoja wa viongozi waomba lift nini mbona unatokwa povu kama umemeza omo?
Vitorolii??? Ila kila kitu kinahitaji ushauri wa kitaalam kutoka kwa wataalamu wa fani husika. Je hakukuwa na ushauri kabla ya kuamua kununua???!!Badala ya hizo mbili ndogo angenunua moja kubwa kuliko hivyo vitoroli
![]()
![]()