Hizi ndio ndege za Magufuli

Hizi ndio ndege za Magufuli

Sio kuwa ndege hiyo ni ya 1983 mkuu, bali uzalishaji wa toleo hilo ulianza mwaka huo

Mimi sikutaka kusema mengi lakini kampuni hiyo inanatatizo kibiashara kwa upande wa uzalishaji waTurboprop plane aina ya Bombadier Q400 nisijue upande wa jetplane.

Bombardier imepata ushindani mkubwa wa kibiashara kutoka kwa Ndege zinazo hudwa Ufaransa ikishirikiana na Italy ndege yenyewe ni ATR zinazo tumiwa sana na Precision Air nayo ni turboprop kama Bombadier Q400 makampuni mengine Duniani hasa hasa upande wa Asia na Mashariki ya mbali wanazitumia sana.

Ushindani huo.mkubwa imeifanya kampuni ifikirie kuondoa production line ya ndege hizo i.e kuhacha kuzihunda au kuhamishia baadhi ya uhundaji wa sekisheni za ndege hizo nchini China na Mexico, kwa hiyo hatima ya uhundaji wa ndege hizo hipo mashakani kusema kweli.
 
Mkuu alisema Airbus hivi vindege vidogo ni matatizo tu...labda viwe vinafanya domestic route lakini kama ishu ni kwa ajili ya kusaidia kukusaidia kukuza utalii..hakuna watalii wanaopenda kupanda vindege vinavyopiga kelele angani..
Kama JMP anataka kufufua shirika la ndege basi agize ndege za kisasa hata kama ni mtumba lakini ziwe za kisasa..
JPM ametangaza kwamba soon ATCL itapata ndege mbili aina za Bombadier Q400 kwa ushauri aliopewa kutoka Rwanda.Hivi kweli wataalamu wetu walishindwa kumshauri Rais? Specification za ndege hizo ni kama ifuatavyo


Bombardier Q400
Price - Current Price $ 27 million U.S.*
The NextGen Passenger Turboprop the Bombardier Q400 NextGEN...
Manufactured from -
1983 - Present
Seating Chart /Seats -
78

Travel Range -
2,522.00 Kilometer
1,362 Nautical Miles

Country of Manufacture -
Canada
  • Engine -
  • 2 X Pratt and Whitney PW150A
  • Power -
  • 5,071.00 Horsepower
  • Avionics -
  • Rockwell Collins Pro Line Fusion
  • Maximum Cruising Speed -
  • 666.25 km per hr 414.00 mph
  • Service Ceiling -
  • 7,620.00 metres 25,000.00 feets
  • Rate of Climb -
  • 457.20 mpm 1,500.00 fpm
  • Numbers Ordered/Sold -
  • 250
  • Cabin Height -
  • 1.95 metres 6.40 feets
  • Cabin Width -
  • 2.51 metres 8.23 feets
  • Cabin Length -
  • 18.80 metres 61.68 feets
  • Exterior Length -
  • 32.84 metres 107.74 feets
  • Wingspan / Rotor Diameter -
  • 28.42 metres 93.24 feets
  • Fuselage Diameter -
  • 2.69 metres 8.83 feets
  • Baggage Volume -
  • 14.20 cubic metre 501.47 cubic feet
  • Maximum Take Off Weight -
  • 29,257.20 kgs 64,500.00 lbs
  • Maximum Payload -
  • 8,669.20 kgs 19,112.00 lbs
  • Fuel Tank Capacity -
  • 1,697.00 gallon 6,423.82 litres
  • Fuel Economy -
  • 0.34 km per litre 0.80 NM per gallon
  • Minimum Take Off Distance -
  • 1,402.08 metres 4,600.00 feets
  • Minimum Landing Distance -
  • 1,286.56 metres 4,221.00 feets

source:Bombardier Q400 Turboprop Aircraft - Seating, Price, Safety Record - NextGENView attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101 View attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101
ngosha kweli ana mambo ,anamsikiliza kagame kweli ,kagamma anajua sana kucheza mchezo wowote wenye tija kwa rwanda
 
Uagizajiwa ndege ni jambo jema, ku boresha sera za shirika katika utendaji ni jambo jema zaidi kwa mwendeleo endelevu wa shirika hili.

Hata hivyo serikali iangalie kampuni binafsi mbao zita shindana nazo katika soko, mfano mzuri Fastjet, wana ndege kubwa pia naweza Sema ni nzuri kwa usafiri wa Tanzania, ukubwa wa injini una fanya hata safari ziwe fupi .Sasa Shirika li jaribu kuangalia haya yote
 
Shabiby zile luxury coach za Dom ni bomba zaidi
Sema tatizo ni kwamba hashauriki ila akishindwa kununua Airbus awaombe wakina mshana wawape mafunzo ya namna ya kuruka na ungo ili huu usafiri uwe wazi sio gizani tena
 
Kama ndege zenyewe ndio hizo, bora wawaache watu waendelee kutumia kunguru kwa safari zao za ndani.
 
Mkuu,Magufuli kweli anafanya kazi vizuri sana lakini kumbuka ni yeye tu peke yake,waliomzunguka wote ni vibaka na wanajifanya kumsaidia kupasua majipu lakini hiyo ni nguvu ya soda kulinda vibarua vyao tu,kwa hiyo hakuna chochote kitafanikiwa mpaka wananchi wa Tanzania wawe na uchungu wa nchi yao,kitu hicho ni ndoto kwa Watanzani.

Sasa mbona hamueleweki jamani?? Si mmeanzisha uzi hapa mkisema ni aibu Serikali kutumia wataalamu wa Rwanda?? Sasa na hapa mnawaponda wataalamu hao hao ambao kwenye huo uzi mlikuwa mnawasifia...
 
Hii comment yako is a real definition ya mtu negative and inferior..... Kwani precision air yaendeshwa na malaika? I can assure you even precision air is not successfully......... Air Tanzania yaweza ku run kwa faid kabisa.

Labda kuweka sawa, mentality za wafanyakazi wa atc sio za kizalendo maana mara nyingi sana serikali ilijaribu kutaka kufufua hili shirika na air tanzania ikaishia kukodi ndege tu.. labda ushauri atcl inahitaji complete overhaul na kuingiza kizazi chenye mentality na exposure ya kutosha na sio jamii hii iliyopo ya vibibi,vinabu na watoto wa waheshimiwa + kamlete. Inatia shaka na hala ya kutoaminika kuleta ndege mbili na kuwaachia walewale waliofail mwanzo..
 
Washauri toka Rwanda?!
Duh, mbona hawakumshauri anunua airbus kama zao?!

Alijisema JK wa pili
"akili za kuambiwa changanya na zako"

Ila kwa hizo pangaboi daah, nafuu akavuta subira kwanza,
 
Kwa hivyo videge vidogo ni hasara kuwekeza 100billion! Payback period yaweza kuwa infinite number of years! Hiyo pesa Magufuli angenunua Airbus moja tu ingekuwa bora kuliko hivyo vitoroli visivyokuwa na economies of scale. By the way tangu lini Kagame akawa mshauri wa masuala ya usafiri wa anga?
Rais mwenyewe mpango wake ulikuwa kununua mandege makubwa sasa sijui imekuwaje tena!
 
kamojatu, tangu lini umekuwa mtaalam wa biashara ya ndege? Kama Fastjet wanafikiria kuanza kuwa na ndege ndogo pia, wakati Precisionair waliachana na Boeng; wewe ni nani kutaka Airbus?
 
bagamoyo, sikio la kufa haliskii dawa! Ngoja tuone kama ATCL itahimili ushindani...ila cha ajabu kuna watu wanataka serikali inunue Airbus kabisa as if zitaweza kujazwa kirahisi!?
 
Wanapenda kuiba iba yule Mkurugenz aliye nunuaga V8 nane used Akasema ni mpyaa 0000 Km
 
Kaka mkuu nafikili uko sahihi katika hii comment zidi ya mheshimiwa aliyepita kuhusu comment yako ya awali ! Nafikili angetengeneza hoja bila kukushambulia !
Hata hivyo !!

Nakubaliana nae katika ujumbe aliotaka kuufikisha ! Tusiwe too negative na kushindwa kabla hata ya kuanza ! Kama kutawekwa nidhamu ya kwanza kwa watendaji , na pili kwa watumiaji haswa hao wanasiasa , basi ni dhahiri shirika litasonga ingawa ni kweli not without challenge !

Tumeona Magu anachofanya ! Kwanza ni kuwekana kwenye mstari sisi wenyewe na kwa kweli sioni kabisa chini ya uongozi huu mwanasiasa akifanya upuuzi kama huo ! Reanda wanaweza kwa nini na sisi tushindwe tunanini !?

Lazima tubadili attitude zetu ! Miaka mitano au mmoja uliopita , ilionekana ni ndoto hata kununua hiyo ndege ! Sasa kama tunaweza kuipita challange hiyo , ni dhahiri tukiweka watu mahili shilika litasonga ! Ulichokiongea mkuu bagamoyo iwe ni angalizo kati ya yale yanayoweza kukwaza shirika na ivyo yafanyiwe kazi ! Lakini hata mara moja ,isiwe sababu ya kuacha kuanzisha shirika ! Tunahitaji National carrier ili tuitangaze nchi yetu ! Leo hii Kenya anafahamika kuliko sisi , Ethiopia na sasa Reanda , mojawapo ya sababu ni kutokuwa na Airline yetu ! We unaona ukitoka state , emirates wqnakueleka Dubai kwanza , ukichukua Ethiopia lazima utue adis abana nk nk
! Tunahitaji hilo ! Lakini pia mbuyu ulianza kama mchicha ! Nisingetegeme shirika lianze na jet kubwa kwa sasa mpaka
Hapo tutapo simama !

The STORM Umenena vyema kabisa.Ni vizuri kuanza Halafu tushindwe kuliko kulalamika Kwa sababu ya mifano mibaya tuliyo kuwa nayo.
Tutaweza tu.
 
Ni mwanzo mzuri wa Serikali yetu. Kila la kheri Rais wangu John Pombe Magufuli. MUNGU akujalie uzima ili utufikishe kwenye Tanzania yenye neema.
 
Labda kuweka sawa, mentality za wafanyakazi wa atc sio za kizalendo maana mara nyingi sana serikali ilijaribu kutaka kufufua hili shirika na air tanzania ikaishia kukodi ndege tu.. labda ushauri atcl inahitaji complete overhaul na kuingiza kizazi chenye mentality na exposure ya kutosha na sio jamii hii iliyopo ya vibibi,vinabu na watoto wa waheshimiwa + kamlete. Inatia shaka na hala ya kutoaminika kuleta ndege mbili na kuwaachia walewale waliofail mwanzo..
Hapa ningekuwa mimi, ningelifuta hilo shirika na kuanzisha jingine jipya kabisa. Ni rahisi kuhamishia matatizo ya ATCL kwenye utendaji mpya kwa sababu za kimazoea. Wangefutwa kazi watumishi wote na kuanza kwa muundo tofauti na kwa namna tofauti
 
Wafanyakazi wengi wa ATCL kama sio wote hawana uzalendo, shirika halina hata kimoja cha kukumbukwa na kujivunia. Mshahara wanachukua kwa kazi ipi wamefanya? Yani wanachukua mshahara kugenerate loss na hata aibu hawana.
Inatakiwa pafanyike mabadiliko makubwa kwa shirika Zima juu mpaka chini kabla yakununua ndege na kufufua tena ATCL kuepo watu wapya na akili mpya tofauti na hao failure.

Ndege nzuri kuanza nazo nilitegemea wanunue zile za Urusi Irkut MC 21 au SS100 kwani walitangaza watanunua MC21 wamegeuka vipi tena!
Hizo ndege za Urusi bei ni nafuu na nzuri.
 
JPM ametangaza kwamba soon ATCL itapata ndege mbili aina za Bombadier Q400 kwa ushauri aliopewa kutoka Rwanda.Hivi kweli wataalamu wetu walishindwa kumshauri Rais? Specification za ndege hizo ni kama ifuatavyo


Bombardier Q400
Price - Current Price $ 27 million U.S.*
The NextGen Passenger Turboprop the Bombardier Q400 NextGEN...
Manufactured from -
1983 - Present
Seating Chart /Seats -
78

Travel Range -
2,522.00 Kilometer
1,362 Nautical Miles

Country of Manufacture -
Canada
  • Engine -
  • 2 X Pratt and Whitney PW150A
  • Power -
  • 5,071.00 Horsepower
  • Avionics -
  • Rockwell Collins Pro Line Fusion
  • Maximum Cruising Speed -
  • 666.25 km per hr 414.00 mph
  • Service Ceiling -
  • 7,620.00 metres 25,000.00 feets
  • Rate of Climb -
  • 457.20 mpm 1,500.00 fpm
  • Numbers Ordered/Sold -
  • 250
  • Cabin Height -
  • 1.95 metres 6.40 feets
  • Cabin Width -
  • 2.51 metres 8.23 feets
  • Cabin Length -
  • 18.80 metres 61.68 feets
  • Exterior Length -
  • 32.84 metres 107.74 feets
  • Wingspan / Rotor Diameter -
  • 28.42 metres 93.24 feets
  • Fuselage Diameter -
  • 2.69 metres 8.83 feets
  • Baggage Volume -
  • 14.20 cubic metre 501.47 cubic feet
  • Maximum Take Off Weight -
  • 29,257.20 kgs 64,500.00 lbs
  • Maximum Payload -
  • 8,669.20 kgs 19,112.00 lbs
  • Fuel Tank Capacity -
  • 1,697.00 gallon 6,423.82 litres
  • Fuel Economy -
  • 0.34 km per litre 0.80 NM per gallon
  • Minimum Take Off Distance -
  • 1,402.08 metres 4,600.00 feets
  • Minimum Landing Distance -
  • 1,286.56 metres 4,221.00 feets

source:Bombardier Q400 Turboprop Aircraft - Seating, Price, Safety Record - NextGENView attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101 View attachment 362099 View attachment 362100 View attachment 362101

Bila shaka hizo ni kwa ajili ya maafisa wa jeshi, hizo si za kijeshi kabisa?
 
Back
Top Bottom