Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Hiyo Clouds bado ipo?. Mimi nilishaacha kuisikiliza mwaka wa tatu sasa. Tangu walipojipa jukumu la kumfanyia birthday jk niliwashangaa sana.

Mimi huwa nasikiliza Radio One tu, nikiwa kwenye gari yangu au nyumbani. Na mke wangu sasa hivi naye ameniunga mkono kutoisikiliza clouds mwaka wa pili sasa.Radio One ndio mpango mzima, wana vipindi vilivyopangwa na vya uhakika.
 
Hicho kipindi asipokuwepo PJ kinaboaga sana,ki ujumla namkubali sana kwenye uchambuzi wa magazeti jamaa sio tu anajua huwa anajipanga,hawa wengine wana ustaa wao sehemu nyingine lkn kwenye magazeti nisipomsikia PJ najua hamna kitu.Mara nyingi huwa ananichelewesha kazini sababu ya kumsikiliza, hata hivyo team nzima ya PB naikuli wamechangamka.
 
Pita kule nyieeee....nini kinawauma hapo sasa ?wasome wasisome mmepungukiwa nini?jana si mmejaza vibaka mtaani wakaishia kutupora pochi zetu na simu kama mgombea wao alivyo ipora nchi yetuuu?Mwaka huu umtatulia tuu...tingatinga litawabetua mpaka mtaomba poooo....Tukutane October na hizo hizo mbwembwe zenu

Kumbe sikuwa peke yangu niliyeathirika na maandamano yale ya jana ya kuibiwa simu na pochi? Polisi siku nyingine msiwe mnawaruhusu hawa jamaa. Mbona rais dr. john pombe magufuli alipokuwa anachukua fomu hakukutokea uhalifu wowote tena wengine hadi pochi zetu baada ya kukuta zimeibiwa badala yake tulikuta zimewekwa pesa huku simu zetu nazo badala ya kuibiwa tukajikuta zimejazwa tu muda wa maongezi. Ccm wanajua sana kukaa vizuri na wananchi wake, wana amani na hawana fujo.
 
Weeee! WeeeH! Ishia hapohapo mwana wa Ibilisi wewe. Clouds kwa vigezo vyote imejipambanua kuwa ni Radio ya Watu. Hawatafanya kazi ya kutangaza vurugu mlizowafanyia wenye maduka kwenye barabara mlizopita. Hata sisi tusio na vyama tunasikiliza Clouds FM. Mkaoge kwanza kabla hamjaongea, mmeshaambukizwa harufu ya Rushwa za Makapi. Mkomage.
 
Weeee! WeeeH! Ishia hapohapo mwana wa Ibilisi wewe. Clouds kwa vigezo vyote imejipambanua kuwa ni Radio ya Watu. Hawatafanya kazi ya kutangaza vurugu mlizowafanyia wenye maduka kwenye barabara mlizopita. Hata sisi tusio na vyama tunasikiliza Clouds FM. Mkaoge kwanza kabla hamjaongea, mmeshaambukizwa harufu ya Rushwa za Makapi. Mkomage.

Kwa Lugha hii inaonekana ww ni mwanamke si ndio mkuu?
sorry wanawake!
 
Mkumbatie Mafisadi halafu muombe dua za Mwalimu! Mtakuwa hamko sawa. Muwaombe hao maaskofu wenu wa ukawa maharage wawaongoze kwenye sala ya toba, tena kama bado wana Upako wa Mungu
 
Back
Top Bottom