Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
KUHUSU KUSHAMBULIWA MTANDAONI CLOUDS, MWANDISHI KIJAH.
Nimeongea na moja ya Watayarishaji wa Kipindi cha CLOUDS 360 (jina nalihifadhi).
Mnamshambulia bure Mtangazaji Kijah Yunus na Clouds kwamba hawa-balance Stori na hivyo wanawapendelea CCM na kuwatenga CHADEMA kwa kurejea Interview zao na Spika Ndugai, Lazaro Nyalandu na DC Sabaya.
Mtayarishaji anasema Clouds wamesumbuka sana kumtafuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe miaka kadhaa sasa. Mtayarishaji anaendelea kusema aliwahi kwenda mpaka Ledger Plaza kwa ajili ya kumuomba aende 360 miaka miwili iliyopita lakini bado alimrusha
Aidha kuanzia mwaka jana Mtayarishaji anasema Clouds walimwita Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ila akawarusha kila siku na mpaka wiki iliyopita wamemtafuta hajawapa ushirikiano.
Sasa nyie vijana na wafuasi wa CHADEMA mnataka Clouds wafanyaje? Wafunge kipindi au wasialike watu wa vyama vingine sababu ninyi hamtaki?
Tukiachana na hoja yenu ya Mwandishi Kijah kwamba eti ni CCM ambayo haina mashiko kwani hakuna sheria inayowakataza waandishi wa Habari kujihusisha na Siasa; Lakini pia hebu tutafakari, kama Clouds wanaibeba CCM vipi Zitto ni CCM? Lakini Prof Jay je? Boniphace Jacob? Mchungaji Msigwa? Halima Mdee, Upendo Peneza, Heche? Hawa wote wamehojiwa 360 je walikuwa CCM?
Halafu kama ni hoja ya maswali aliyoulizwa leo DC Sabaya kwamba yalikuwa bias, hivi bias ni Watangazaji kumhoji maswali kuhusu shutuma karibia zote zinazomkabali? Why msingejikita kujadili majibu aliyoyatoa DC Sabaya?
WITO WANGU: Vijana na wafuasi wa CHADEMA acheni kuwashambulia watu wasio na hatia. Washaurini Viongozi wenu wakahojiwe. Nami pia nawaomba Viongozi wa CHADEMA waende kuhojiwa waache kukwepa interviews, na kusababisha chuki kwa chombo cha Habari bila sababu.
Kama hawataki, basi wawajulishe wafuasi wao ili lawama hizi zisizotokee tena kwa Waandishi na vyombo vyao vya habari badala yake wajikite kujibu hoja za viongozi watakaohojiwa.
Mnapigania Uhuru wa vyombo vya Habari halafu nyie hamtaki kuhojiwa? Ooops!! DISGUSTING!!!
Suphian Juma,
Singida, Tanzania.
0717027973.
Nimeongea na moja ya Watayarishaji wa Kipindi cha CLOUDS 360 (jina nalihifadhi).
Mnamshambulia bure Mtangazaji Kijah Yunus na Clouds kwamba hawa-balance Stori na hivyo wanawapendelea CCM na kuwatenga CHADEMA kwa kurejea Interview zao na Spika Ndugai, Lazaro Nyalandu na DC Sabaya.
Mtayarishaji anasema Clouds wamesumbuka sana kumtafuta Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe miaka kadhaa sasa. Mtayarishaji anaendelea kusema aliwahi kwenda mpaka Ledger Plaza kwa ajili ya kumuomba aende 360 miaka miwili iliyopita lakini bado alimrusha
Aidha kuanzia mwaka jana Mtayarishaji anasema Clouds walimwita Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ila akawarusha kila siku na mpaka wiki iliyopita wamemtafuta hajawapa ushirikiano.
Sasa nyie vijana na wafuasi wa CHADEMA mnataka Clouds wafanyaje? Wafunge kipindi au wasialike watu wa vyama vingine sababu ninyi hamtaki?
Tukiachana na hoja yenu ya Mwandishi Kijah kwamba eti ni CCM ambayo haina mashiko kwani hakuna sheria inayowakataza waandishi wa Habari kujihusisha na Siasa; Lakini pia hebu tutafakari, kama Clouds wanaibeba CCM vipi Zitto ni CCM? Lakini Prof Jay je? Boniphace Jacob? Mchungaji Msigwa? Halima Mdee, Upendo Peneza, Heche? Hawa wote wamehojiwa 360 je walikuwa CCM?
Halafu kama ni hoja ya maswali aliyoulizwa leo DC Sabaya kwamba yalikuwa bias, hivi bias ni Watangazaji kumhoji maswali kuhusu shutuma karibia zote zinazomkabali? Why msingejikita kujadili majibu aliyoyatoa DC Sabaya?
WITO WANGU: Vijana na wafuasi wa CHADEMA acheni kuwashambulia watu wasio na hatia. Washaurini Viongozi wenu wakahojiwe. Nami pia nawaomba Viongozi wa CHADEMA waende kuhojiwa waache kukwepa interviews, na kusababisha chuki kwa chombo cha Habari bila sababu.
Kama hawataki, basi wawajulishe wafuasi wao ili lawama hizi zisizotokee tena kwa Waandishi na vyombo vyao vya habari badala yake wajikite kujibu hoja za viongozi watakaohojiwa.
Mnapigania Uhuru wa vyombo vya Habari halafu nyie hamtaki kuhojiwa? Ooops!! DISGUSTING!!!
Suphian Juma,
Singida, Tanzania.
0717027973.