webondo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2012
- 1,713
- 383
Nikiangalia ulivyoandika nadhani ni kijana uliye shule ya sekondari.. maana hata kilichoandikwa hujaelewa, tunachosema ni kuwa mtangazaji asiwe bias. Kama ana magazeti 6 au 7 au hata 10 basi asome habari pasipo kuchagua, na asome kama ilivyoandikwa. Unapochagua magazeti na ukachagua baadhi ya habari ambazo zinasimamia upande flani sisi wadau tunaona ni wendawazimu.
Af Wabongo Bhana Yan Chanel Ikienda Against Nyny Kdg Bax Tatizo..Mlianza Na Tbc Oh Inapendelea Ccm Hamuiangalii,mkaja Itv Oh Imenunuliwa Kisa Magufuli Kaisifia, Channel 10 Mkaisema Et Kisa Imemleta Polepole Kaiponda Chadema, Startv Nayo Kisa Mmiliki Wake Ccm Inaibeba Ccm,sasa Hv Clouds Sasa Nyie Kp Mtakipenda?Yan Mnataka Mda Wote Msifiwe Nyie 2,mda C Mrefu Azamtv Nayo Mtaanza Kuisema,tubadilike Jaman...