Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Kama unaomjua mwenye cheti kuhusu mambo ya utangazaji kwenye television anaefanya kazi clouds nijulishe .
 
Kwani Kusaga hajatangaza Nia hata ya Udiwani kama Manji? Ngoja akikatwa atawaachia MA Profesional wa habari wafanye kazi zao hapa Clouds TV Ki Professional bila kuwaingilia.
 
kwa mujibu wa matangazo yao ni kama wamelalia sana ccm na sio ukawa ila ninawaomba msilalie ukawa wala ccm kuweni fair msikubali kujiharibia heshima mashabiki na wasikilizaji ndio sisi wananchi na sio ccm wao wanayo UHURU FM ambao tunawajua kabisa ....
 
acha kuweweseka wewe, mbona huzungumzii ITV inavowabeba ukawa

kwa mujibu wa matangazo yao ni kama wamelalia sana ccm na sio ukawa ila ninawaomba msilalie ukawa wala ccm kuweni fair msikubali kujiharibia heshima mashabiki na wasikilizaji ndio sisi wananchi na sio ccm wao wanayo UHURU FM ambao tunawajua kabisa ....
 
ni kwei kabisa mgoshii....media kama chombo cha kupasha habari kinatakiwa kisifungamane na upende wowote...NAUNGA MKONO HOJA
 
acha kuweweseka wewe, mbona huzungumzii itv inavowabeba ukawa
mkuu usiwe bias na wewe itv wapo fair sana na huonyesha hata wa ccm acha kuwatetea clouds bana au ni mwajiriwa hapo? Ila sisi wengine tunapenda clouds sana wajaribu kuwa fair na wasibague huu ndio ukweli wenyewe
 
Hebu chukua siku upite town...uchunguze mtu anayesikiliza clouds fm halafu umfananishe na yule anayesikiliza radio one au redio nyngne huru.

Niwaz utapata majibu ambayo hayatakusumbua jiongeze bro
 
kwa mujibu wa matangazo yao ni kama wamelalia sana ccm na sio ukawa ila ninawaomba msilalie ukawa wala ccm kuweni fair msikubali kujiharibia heshima mashabiki na wasikilizaji ndio sisi wananchi na sio ccm wao wanayo uhuru fm ambao tunawajua kabisa ....
we malkia usemacho ni kweli kabisa ujumbe huu uwafikie clouds fm, tunawapenda sana
 
HAHHAAH inamaana huoni kama MENGI anaibeba sana ukawa kuanzia NIPASHE ,ITV NA RADIO ONE labda kama unajitia uzuzu

mkuu usiwe bias na wewe itv wapo fair sana na huonyesha hata wa ccm acha kuwatetea clouds bana au ni mwajiriwa hapo? Ila sisi wengine tunapenda clouds sana wajaribu kuwa fair na wasibague huu ndio ukweli wenyewe
 
kwa mujibu wa matangazo yao ni kama wamelalia sana ccm na sio ukawa ila ninawaomba msilalie ukawa wala ccm kuweni fair msikubali kujiharibia heshima mashabiki na wasikilizaji ndio sisi wananchi na sio ccm wao wanayo UHURU FM ambao tunawajua kabisa ....

kama nilivyowahi kusema huko nyuma wamiliki wa Clouds wanajikomba sana kwa JK, kumbuka Ruge aliwahadaa watu eti kwa kutunga wimbo wa uzalendo na ukazinduliwa na Jk pale Dodoma, toka lini uzalendo ukajengwa kwa wimbo? Jamaa utafikiri CCM wakiondoka madarakani basi na wao ndio utakuwa mwisho wao!!!!
 
Hando ni tatizo,PJ mtu mwenye msimamo huwa anasoma bila ubaguz nahisi kuna shinikizo ndio maana leo hajaja,na mood yao ya leo ya usomaj tofaut kabisa.fredwar kapiga kimyaaa
Matatizo yametumbuliwa sasa
 
Back
Top Bottom