Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Gerald Hando anachanganya taaluma na ushabiki siku zote! Ni bahati mbaya sana kwa kijana kama huyo kuharibu kazi yake. Ushabiki ni siri yako ukiwa kazini.
 
Hicho kipindi asipokuwepo PJ kinaboaga sana,ki ujumla namkubali sana kwenye uchambuzi wa magazeti jamaa sio tu anajua huwa anajipanga,hawa wengine wana ustaa wao sehemu nyingine lkn kwenye magazeti nisipomsikia PJ najua hamna kitu.Mara nyingi huwa ananichelewesha kazini sababu ya kumsikiliza, hata hivyo team nzima ya PB naikuli wamechangamka.

Umeharibu tu hapo uliposema timu nzima
 
Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Nimemshangaa sana Gerald Hando, kwa kweli leo kaniangusha sana!! Huyu si ndo aliongoza wandishi wa habari kwenda Dodoma kwa Lowassa siku anaongea na wandishi wa habari? Tena nilimwona kabisa anasimamia kurihusu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari!! Eti anakimbilia kusoma Uhuru! aibu yako Gerald Hando!!
 
Hawa watu wamegoma kusoma magazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kila mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Nimemshangaa sana Gerald Hando, kwa kweli leo kaniangusha sana!! Huyu si ndo aliongoza wandishi wa habari kwenda Dodoma kwa Lowassa siku anaongea na wandishi wa habari? Tena nilimwona kabisa anasimamia kurihusu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari!! Eti anakimbilia kusoma Uhuru! aibu yako Gerald Hando!!
 
unajua hiki kiredio kilianzishwa kimasikini sana , tumekichangia kikakua sasa kinaleta nyodo !
 
Nimemshangaa sana Gerald Hando, kwa kweli leo kaniangusha sana!! Huyu si ndo aliongoza wandishi wa habari kwenda Dodoma kwa Lowassa siku anaongea na wandishi wa habari? Tena nilimwona kabisa anasimamia kurihusu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari!! Eti anakimbilia kusoma Uhuru! aibu yako Gerald Hando!!

hivi hatuwezi kuhamasishana tukakigomea hiki kiredio kikabaki kutangaza misiba kama tbc ?
 
Umeharibu tu hapo uliposema timu nzima

Ni kweli yako vizuri isipokuwa tu siku yakimshirikisha Kibonde! Hebu msikilize PJ, Fredwaa, Barbra Hassan na mbeya wao Bonge (a.k.a Mtumishi)! Huwa yanaburudisha bwana! Hivi uliyasikiliza wakati wa "ANAKATWA?"
 
Kuna Jamaa anaitwa Hudson Kamoga wa clouds 360 yaani jamaa yuko biased kinoma anasema mafuriko ya jana ni mihemuko tu na haisaidii chochote....they guys is so stupid mpaka anatia kinyaa pia nasikia mkewe ni....
 
Nimemshangaa sana Gerald Hando, kwa kweli leo kaniangusha sana!! Huyu si ndo aliongoza wandishi wa habari kwenda Dodoma kwa Lowassa siku anaongea na wandishi wa habari? Tena nilimwona kabisa anasimamia kurihusu maswali yaliyoulizwa na wandishi wa habari!! Eti anakimbilia kusoma Uhuru! aibu yako Gerald Hando!!

Kapima maji na unga na kapata jibu kuwa ngoja abaki na ccm tu. Mbona wewe unaweza ukawa na mkeo au mumeo lakini hapo hapo akaamua kuwa na mchepuko nje? Kila mtu ana utashi wake hivyo heshimuni mawazo yake na hamjalazimishwa kutegesha hiyo misikio yenu mikubwa kusikiliza clouds na badala yake itegeeni sikio radio ya mmoja wa mfadhili wenu na mkaskazini mwenzenu mkuu iliyopo maeneo ya mwenge na sasa barabara ya kuelekea hapo inatengenezwa.
 
Kuna Jamaa anaitwa Hudson Kamoga wa clouds 360 yaani jamaa yuko biased kinoma anasema mafuriko ya jana ni mihemuko tu na haisaidii chochote....they guys is so stupid mpaka anatia kinyaa pia nasikia mkewe ni....

Hapo mwishoni ulipopaacha ndiyo penyewe kama vipi tumalizie utamu wote mkuu.
 
Gerald anatumika kuihujumu ukawa

Gerard Hando huwa yupo Ukawa labda awe kapewa shinikzo Fulani hv. Lakini Mle Clouds kuna Timu Lowasa na Timu Membe japo wanajificha ficha sana , lakini wengi wapo Kwa Joseph Kusaga akiwemo Gerard Hando ambao ni wafuasi waaminifu wa Ukawa japo Ruge yeye ni Timu Membe na sasa yupo Kwa Magufuli kimtindo.
 
Rege yupo ccm na Joseph Kusaga yupo Ukawa kila mmoja ana Timu yake japo waziwazi hawajionyeshi lakini Gerard Hando huwa ni Ukawa ingawa huzuga kiaina kuwatetea ccm .
 
Back
Top Bottom