Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Hivi Watangazaji wa Clouds FM wana shida gani?

Watanyooka tu hao clouds cyo enz za tanu tuckilize radio moja me n mwaka cjackia sauti zao
Hizi ndizo athari za kupeana kazi kwa kujuana. Wameokotana tu mtaan kwa vile mtu anaweza kutoa sauti basi kaahiriwa. Hawana weredi wala hawajui miiko ya kazi yao na athari yake kwa taifa. Wawaulize watangazaji Wa Kenya ilikuwaje wakawa implicated kwenye Yale mauaji after election miaka ile walipouana
 
clouds ni kituo kupiga soga sana.watangazaji wote form four ziro.waswahiliswahili sana.full umbea na udaku.
 
Nasikilizaga uchambuzi wa magazeti radio Maria tu, hawako bias kabisa

Hakuna mtu aliyechagua fungu bora na jema kama wewe mwenyewe nilipitwa na Radio maria nikatafuta mbadala kumbeeee! Najuta clouds!
 
kama magazeti mengi na ITV zilivonunuliwa na lowasa, ngependa magufuli akiingia aangalie namna bora ya kumdeal mengi.... mkabila sana. Halipoti taarfa za ACT et kisa ZZK katoka CDM

Kinachomgarimu Zzk na Act~ Wasariti ni Umbea kumchongea mengi kwa Jk. Janaume zima linakuwa mbeya kama mwanamke. Liambieni
 
Mkuu hiyo radio naskia jakaya husikiliza sana ofsn kwake asubuhi na wenyewe waliposkia jakaya huskiliza ndio chanzo cha kuanza kujikomba....wanadhan muda wote anasikiliza.

Hata hivyo Ukawa inahitaji ushind wa 80% hizo 20 zilizobak miongon mwao na hao wahuni clouds wamo.

Na km hujui watangaz weng wanamkubali kimoyomoyo ila ni maagizo ya bos wao ruge
 
Hawa watu wamegoma kusoma nagazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kils mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.

Unaposikiliza chombo cha habari, Hakikisha wanaokuhabarisha wana ufahamu kuliko wewe. Sasa hapo Clouds kuna yeyote mwenye ufahamu?

Clouds ni watangazaji wa vijana wa sekondari. Ndiyo maana wanaongelea mambo ya ngono, birthday ya rais, shukrani kwa tajiri wao, wanamichezo waliogombana na mengine ya aina hiyo. Ukimkuta mtangazaji mwenye uelewa, Clouds huwa ni sehemu ya kufanyia mazoezi na baadaye ataondoka. Unaowasikia mwaka hadi mwaka ni wale wenye akili kama kuni mbichi, Hata uweke mafuta ya taa, wanawaka na kuzima.
 
Hawa watu wamegoma kusoma nagazeti ya leo eti kisa yameripoti habari za Lowassa.

Eti wanasema kilichotokea jana kils mtu alishughudia hivyo hakukuwa na haja magazeti kuripoti leo.

Kweli clauds?

Walichoamua eti bora tusome uhuru(jarida la ccm). Ambalo limeripoti ''Magufuli ushindi wa Tsunami''
Kwa design hii waandishi wa clauds na media zenu wekeni wazi kuwa ninyi ni vyombo ya propaganda za CCM.
Hapo hapo na wewe ulitakiwa kuzima radio, kwanza nani kakuambia usikilize wakati siku hizi kila ladio inapitia kurasa za magazetini
 
Ninachoshindwa kuelewa ni kwamba, hao clouds waache kuchambua gazeti la uhuru kisa hawajaandika stori ya Ukawa? Mbona wametoa ripot kuhusu mbowe, mbona wametoa stori za ukawa. Ila kusoma gazeti la uhuru imekuwa nongwa. Clouds haijengwi na maneno ya mitaani zaidi weledi wa kibiashara.

Vp Mkuu ulisemaga Zzk hawezi temwa akitemwa ndio mwisho wa cdm vp imetemwa? Na kuhama kwako Nccr huko ndio kichinjio chako huko act wasariti wakubwa ninyi wa mageuzi
 
Af Wabongo Bhana Yan Chanel Ikienda Against Nyny Kdg Bax Tatizo..Mlianza Na Tbc Oh Inapendelea Ccm Hamuiangalii,mkaja Itv Oh Imenunuliwa Kisa Magufuli Kaisifia, Channel 10 Mkaisema Et Kisa Imemleta Polepole Kaiponda Chadema, Startv Nayo Kisa Mmiliki Wake Ccm Inaibeba Ccm,sasa Hv Clouds Sasa Nyie Kp Mtakipenda?Yan Mnataka Mda Wote Msifiwe Nyie 2,mda C Mrefu Azamtv Nayo Mtaanza Kuisema,tubadilike Jaman...
UNCLE TOM. Hujui usemalo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom