makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,452
- 108,533
Kwanini ubake?Kama hayupo tayali mwanamke jua umebaka
Kwanini ubake?Kama hayupo tayali mwanamke jua umebaka
Ushahidi wa huo ubakaji utakuwa ni nini tafadhali?Jichanganye, Penal code section 130 chapter 16 imeeleza wazi na consenquences zake, eti hazichukuliwi Tanzania kwahiyo ni mapambo haya! chukua ushauri kama uko kilingeni kikulambe! sio kila ushauri unapita nao after all wanawake wako wengi why umbake mtu?
Mwambie achukue hii aiweke kwenye notebook yake.Mkuu usiingilie mambo ya wanandoa kesho unaweza kugeukwa na huyo aliekuomba ushauri ukaonekana mbaya kwa kutaka kuvuruga ndoa yao.
SijakuelewaUShahidi wa huo ubakaji utamuwa ni nini tafadhali?
Naam mkuuSajo Niaje..???
Typing error! Ushahidi unaweza kuwa nini? Na wana upimaje ushahidi kupata ukweli halisi?Sijakuelewa
Acha kujiuliza maswali, kambaluze tu,.. Anakutaka huyo huyo malaya, hana jipya. Hayo sio mambo ya mwanamke kumwambia mwanaume asie na unasaba nae. Malaya hiloJuzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.
Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.
Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.
Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.
Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Maana kuna marepa na marapa😄Nimekupata solutions ni raping siyo
Mtu akiwa abused lazima ushahidi ubaki, kama alivutwa kwa nguvu lazima atabaki na alama za purukushani, kama aliingiliwa kwa nguvu lazima kuna maumivu kayapitia atapimwa hospitali, semens zinaweza kupatikana ukeni kwa kutumia swabs, na mengine mengi..Typing error! Ushahidi unaweza kuwa nini? Na wana upimaje ushahidi kupata ukweli halisi?
Sheria ya Tanzania haitambui ubakaji kwenye ndoa. Hivyo ukiolewa kubali kulowekwa muda wote, na ikitokea umelowekwa wakati unaumwa, yanazungumzikaAu siyo
yote hayo ya nini? kataa ndoa, ndoa ni UTAPELINonsense