Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

H r n

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2019
Posts
888
Reaction score
1,645
Juzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.

Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.

Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.

Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.

Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
 
Tajiri mkeo, ukimuomba mlale, akakataa ukalazimisha unakuwa umetenda kosa la kubaka. Na adhabu yake ni miaka 30 na kazi ngumu au viboko, au vyote kwa pamoja. 😊

Hakikisha mkeo anakuruhusu kwa ridhaa yake.
 
Mwambie amshtaki tu.Kashindwa kuongea naye kwa kina na maelewano?Walilazimishwa kuoana?
NB:Muoane mme na mke wenye kuelewana na urafiki uwepo.Laa sivyo mtaishia kwenye aibu tu.
Kushitaki hapo unaweza kwenda kusemaje sasa kuwa anabakwa na mume wake sheria inazungumziaje kuhusu ubakaji labda tuanzie hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom