Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Ukiolewa kubali kulala bila chupi.
Ndoa haihitaji ujuaji
Unajua ni psychological torture mwanamke kuwa anamnyima unyumba mmewe
Hii inamuathiri sana mwanaume
Kwakuwa tu wanaume hawana watetez
Feminist wapo kumdhulumu mwanaume
Huwezi kumseduce mkeo kwa sababu ushampata humo ndani ndio ajichanue tu kama tausi muda wote! Kuna stress kuna kuchoka kuna kukosa hamu, wanawake hawajaumbwa kama nyie muda wote kinanuka, muandae vizuri mkeo bana!
 
Ukiolewa kubali kulala bila chupi.
Ndoa haihitaji ujuaji
Unajua ni psychological torture mwanamke kuwa anamnyima unyumba mmewe
Hii inamuathiri sana mwanaume
Kwakuwa tu wanaume hawana watetez
Feminist wapo kumdhulumu mwanaume
So ndo unambaka
 
Kwahiyo huyo mke anaumwa kila siku?
Mwanaume anaonekana anapewa kwa kupimiwa mke kila siku kujidai anaumwa 🤣

Mwisho mbako unatokea
Ujue mnatakiwa mjue nini maana ya kubaka kwanza ndo uchangie😃 mnachukulia simple mno hili tatizo
 
Kama amemuingilia kinguvu ndio tayari kambaka.

Na kwanini utumie force kupata tendo, tendo ni burudani..
Shika pale shika hapa, nyonya huku nyonya kule..
Mwenyewe atalegea,
Walete, mpira kati...

Kama hajisikii usilazimishe kwa nguvu.
Kama hayupo tayali mwanamke jua umebaka
 
Huwezi kumseduce mkeo kwa sababu ushampata humo ndani ndio ajichanue tu kama tausi muda wote! Kuna stress kuna kuchoka kuna kukosa hamu, wanawake hawajaumbwa kama nyie muda wote kinanuka, muandae vizuri mkeo bana!
Lengo kubwa la ndoa ni ngono ( kulombana)
Kama kwenye ndoa wanandoa hawashiriki ngono, hiyo haipaswi kuwa ndoa.
Kama una mwanaume hutaki akulombe basi Rudi kwa baba ako.
Yaani unataka ndoa Bado unakuwa mvivu wa kukalia mbor.o
 
Lengo kubwa la ndoa ni ngono ( kulombana)
Kama kwenye ndoa wanandoa hawashiriki ngono, hiyo haipaswi kuwa ndoa.
Kama una mwanaume hutaki akulombe basi Rudi kwa baba ako.
Yaani unataka ndoa Bado unakuwa mvivu wa kukalia mbor.o
Raping it involve violence #ndo tunakataa
 
Huwezi kumseduce mkeo kwa sababu ushampata humo ndani ndio ajichanue tu kama tausi muda wote! Kuna stress kuna kuchoka kuna kukosa hamu, wanawake hawajaumbwa kama nyie muda wote kinanuka, muandae vizuri mkeo bana!
Kuanzia Januari to June mtu huna hamu, unategemea kila siku nianze kuku seduce, kweli mke wangu?
 
Raping it involve violence #ndo tunakataa
Huwezi kulala kitanda kimoja na mwanaume asiye baba ako au kaka ako na aliyekamika kibaolojia
Take ngono eti ni raping
Raping kitanda kimoja?
Mkiwa chumba kimoja na kitanda kimoja ina maana uko tayari muda wowote akulombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom