Nonchalant
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 339
- 490
Kwa sababu hizi kama mtendwa anadhumuni la kushtaki hapaswi kuchelewa kuripoti ili ushahidi usio na shaka upatikane.Mtu akiwa abused lazima ushahidi ubaki, kama alivutwa kwa nguvu lazima atabaki na alama za purukushani, kama aliingiliwa kwa nguvu lazima kuna maumivu kayapitia atapimwa hospitali, semens zinaweza kupatikana ukeni kwa kutumia swabs, na mengine mengi..