Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Elimu ipo siku nyingi tangu yale mambo ya 50/50 yaanze, hii imepelekea baadhi ya wanaume walio oa waajiriwa, wateseke kwenye ndoa zao.
50/50 haipo ipo kwenye makaratasi tu kiuhalisia haipo
 
Mwanaume anayo kesi ya kujibu hapo, na hapa ndipo wenzetu waislam walipotuacha mbali ktk Sheria zao za kuoa mke zaidi ya mmoja, sisi makanisani tunakatazwa kuoa wanawake wengi lakini wanaturuhusu kuoana mwanaume kwa mwanaume.

Upuuzi.
 
Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.
kuna wanaume wapumbavu sana, sidhani kama uyo mwanaume yupo tamamu sawasawa, uyo mwanaume si mtu sahihi kwa uyo dada !
 
Mwanaume anayo kesi ya kujibu hapo, na hapa ndipo wenzetu waislam walipotuacha mbali ktk Sheria zao za kuoa mke zaidi ya mmoja, sisi makanisani tunakatazwa kuoa wanawake wengi lakini wanaturuhusu kuoana mwanaume kwa mwanaume.

Upuuzi.
Swadakta mkuu
 
Mwanaume anayo kesi ya kujibu hapo, na hapa ndipo wenzetu waislam walipotuacha mbali ktk Sheria zao za kuoa mke zaidi ya mmoja, sisi makanisani tunakatazwa kuoa wanawake wengi lakini wanaturuhusu kuoana mwanaume kwa mwanaume.

Upuuzi.
Swadakta mkuu
kuna wanaume wapumbavu sana, sidhani kama uyo mwanaume yupo tamamu sawasawa, uyo mwanaume si mtu sahihi kwa uyo dada !
Ujinga ujinga tu huwezi fanya hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom