Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,703
- 7,907
Huna hoja.Kanzu unaita dera,ni sawa na suruali kuiita skin tightNi wapi mimi Imhotep nimekashifu Kanzu acha victim mentality.
Utumwa walioanzisha ni wazungu wa magharib waliwachukuwa utumwani mpaka wazungu wenzao wa mashariki ya ulaya,wengine waliwapeleka nchi za arabuni,asili ya muarabu ni mtu mweusi,hao unaowaona weupe,ni baada ya mababu zao,kuoa wanawake wa kitumwa wa ulaya ya mashariki.Mababu ambao hawakuwaoa hao wazungu,zipo familia zao za watu weusi(waarabu wa asili) mpaka leo,lakini ni wachache,kiko kisiwa kinaitwa Schotra(kiko Yemen,hapo ni waarabu weusi watupu,hawakuoana na watumwa wa kizungu.Na ipo sehemu pia Oman,inaitwa Salalah,hapo waarabu weusi ni wengi tu.Dr.David Livingston alikuwa ni Mmisionari wa Kikristo na ndiye aliyeloby serikali ya Uingereza ipige Stop biashara ya utumwa katika Bahari ya Hindi na Afrika ya Mashariki.