Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Ukweli utabaki kuwa ni ukweli tu, Wakristo ndio walipiga Stop biashara ya utumwa katika Bahari ya Hindi na pwani ya Waswahili ya Afrika ya Mashariki.

Wakati huohuo Waarabu na Waislamu walikuwa wakifanya magendo ya biashara ya utumwa kwa siri.

Msome Mmissionary David Livingston.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Unatafuta matusi
 
Ukizoea kazi ya Uvuvi maana yake unatega mitego yako halafu unaenda kucheza Bao Samaki wanajaa wenyewe tofauti na huko bara ambako kuwinda mnyama kama Tandala ni kumkimbiza baada kumpiga mshale.
Hapana jamaa zetu ni wavivu sn hasa wake zao ni kutwa umbea na taarabu tupu
 
Sasa kama Waarabu wavivu wangewezaje kutoka Ghuba za Uajeme kuja Afrika ya Mashariki kufanya Biashara? Unachanganya Stereotype na uhalisia.
Mkuu tulinganishe mikoa iliyokaliwa na waarabu VS wazungu maendeleo yake yapoje? chukua Tabora, Singida, Tanga, Pwani, Ruvuma VS Kilimanjaro, Mwanza, Mbeya, Iringa, Kagera n.k
 
Mkuu tulinganishe mikoa iliyokaliwa na waarabu VS wazungu maendeleo yake yapoje? chukua Tabora, Singida, Tanga, Pwani, Ruvuma VS Kilimanjaro, Mwanza, Mbeya, Iringa, Kagera n.k
Ni vigezo gani unavyotumia kusema watu ni "wavivu"?!

Je unajua kwamba miji mingi ya pwani imejegwa miaka mingi wakati huko bara kulikuwa ni mapori na vijiji.

Mfano Kilwa kisiwani sasa huyo mtu anakuwaje mvivu usichanganye mvuvi na mvivu.
 
Masikini ni huko mashambani kwenu mlikotokea na ndo mana mnakwenda kwenu kuzikana na sikukuu zenu tu.
Mkimaliza tu mbio mnakuja Dar unakodai kwa hovyo. Si mtulie kwenu na sie tuwafate?
Dar kwa hovyo? We una akili kweli? Dar ni jiji la kabila au dini gani?
 
Vitu vingi sana kuanzia hesabu hadi medical science ,vifaa vingi unavyoviona leo mahospitalini alivumbua mtu anaitwa zahrawi ambaye vitabu vyake hadi leo bado wazungu wanatumia kufundishia ulaya
Algebra etc vyote hivyo walileta muslim scholars
Hata neno Alphabet,ni la kiislamu,wazungu hawana,alphabet zao,wanatumia za kilatini,wakati waislamu wana alphabet zao.
2.Waislamu wana namba zao 1 2 3 4 5 6 7 8 9,zinaitwa namba za kiarabu,Wazungu hawana nzmba.
3.Bila huyu mwamba Mohammed Musa Al khawarithim(muislamu),aliyegudua algebra,inayotumika kwenye I T,mbali na algorithim,dunia ingekuwa gizani.
 
Back
Top Bottom