Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Uislam umeleta umaskini.
Maeneo yote yaliyoenezwa uislam na uarabu ndio Yako nyuma kimaendeleo, nenda pangani, Kilwa, mji mkongwe, Bagamoyo na kwingineko.
Kwani maendeleo yanaletwa na watu au selikari?kwa hiyo maendeleo ya China yameletwa na watu
 
Hata kutawaza baada ya maliwato ni civilization kutoka pwani.
Imekomboa watu badala ya kutumia magunzi au majani
Kutawaza kumewasaidia nini kiuchumi watu ?


Watu wa Magharibi wanatumia toilet paper
 
Uislamu sio lazima ulete jambo lolote la faida kwa wasio waislamu, ile ni imani na waumini ndio wanajua faida zake.

Faida zake zipo kiroho wala sio materials au vitu vya kuonekana.

Uislamu hata ukristo ni imani, na faida zake waumini wanajua zipo katika matendo mema na maadili, sio kujenga barabara wala mashule na viwanda.
 
Kutawaza kumewasaidia nini kiuchumi watu ?


Watu wa Magharibi wanatumia toilet paper
Siyo kila chenye value kiwe economic oriented!
Even kikiwa na social na economic value bado kitabaki kuwa potential.
Kwani wewe kutambua kwamba kufanya ngono zembe kuna athari kwenye afya yako kunakusaidia nini kiuchumi.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Wewe ni kijakazi kusoma na kepembua ni zaidi ya upeo wa akili zako. Kwa uchache kwa mara ya kwanza Kalamu na karatasi zililetwa na hao unao washutumu na watu walianza kusoma na kuandika. Lakini sidhani wewe unaweza kuifahamu mchango wa Kalamu na karatasi. Acha meeeengi yaliofuata
 
Wewe ni kijakazi kusoma na kepembua ni zaidi ya upeo wa akili zako. Kwa uchache kwa mara ya kwanza Kalamu na karatasi zililetwa na hao unao washutumu na watu walianza kusoma na kuandika. Lakini sidhani wewe unaweza kuifahamu mchango wa Kalamu na karatasi. Acha meeeengi yaliofuata

kivipi? uislamu umeanza karne ya 7 baada ya Kristo, yaani miaka 700 baadaye Yesu Kristo kuishi ndiyo uislamu ukaanzishwa wakati huo kulikuwa na Biblia takatifu tayari, sasa iweje uislamu uwe ulileta kalamu na karatasi na kusoma na kuandika? Karne ya 1 baada ya Kristo uislamu haukuwepo, ulianzishwa miaka 700 baadaye wakati tayari kulikuwa na civilizations nyingi tu, usichanganye uarabu na uislamu, ingawaje vinafanana lkn ni tofauti …
 
Hili la kujilipua na kujitoa mhanga nilikilifikiria nachoka kabisa.

Nikiendelea kufikiria kuhusu majini ndio hamu inaniisha.

Anyway, nawaombea hawa ndugu zangu wapate neema ya kuijua njia ya kweli.
Hilo la kujilipua linawezeshwa na wenye kutengeneza na kuuza hivyo vilipuzi, kama kusingekuwa na wale waliyogundua mabomu, wakayatengeneza na kisha kuuza basi hao wanaojitoa muhanga wangejilipua na nini?
 
Silaha ni Hadi mabanga
Ni kweli silaha ni hadi mapanga na hata huko zamani mapanga ndio yalutumika kwenye vita watu kuuwana, ila magaidi hawatumii silaha za mapanga maana ni silaha za zamani hivyo magaidi hutumia bunduki na mabomu.
 
Back
Top Bottom