Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Ikulu yako ya magogoni ilikuwa madrasa!
Ustaarabu wa usafi wa mwili umeletwa na Uislam, huko kwenu ushenzini mpaka leo wanachambia majani!
Haki, ndoa, mahusiano uvaaji wa nguo umeletwa na Uislam.
Mapishi yote yote yameletwa na Uislam..

Hata kuzika watu ni matokeo ya Uislamu! Kabla ya hapo mlikuwa mnaacha mizoga ijiozee yenyewe..

Wahitaji zaidi?
Umeelezea vizuri.Hata hii jf,tunaochat na vingine vyote,vilivuotengenezwa,bila Mohammed Musa Al Khawarithim,aliyegundua algebra,inayotumika kwenye IT,dunia ingekuwa gizani.
Mbali ya kugusia Algorithim,alioleta mwamba huyu.
 
Umeelezea vizuri.Hata hii jf,tunaochat na vingine vyote,vilivuotengenezwa,bila Mohammed Musa Al Khawarithim,aliyegundua algebra,inayotumika kwenye IT,dunia ingekuwa gizani.
Mbali ya kugusia Algorithim,alioleta mwamba huyu.
Nyie wazee wa siku hizi mbona mna akili ndogo sana! Yaani unaamini asingegundua huyo jamaa tungekuwa gizani hadi leo, inamaana Giza lilikuwa lazima liondolewe na yeye tu kwamba asingekuwepo mwingine wa kugundua?

Ni sawa na kusema aliyegundua ndege asingegundua ni kwamba ndege zisingekuwepo leo, ni akili za wapi hizi. Asingegundua yeye ni wazi kwamba mwingine angegundua tuu. Achana na mawazo ya kitoto kuona kwamba mtu Fulani asingefanya jambo Fulani basi hilo jambo lisingefanywa na wengine.
 
Na kuvaa Dera bila nguo za ndani ili kuchombeza Ashki.
Hayo ni mavazi Yesu,amevaa hivyo,na anavaa Papa,anavaa Padri,anavaa askofu.Nyinyi waumini hamruhusiwi kuvaa huko makanisani,wakati viongozi wenu wanavyaa,kuna ubaguzi mkubwa kati ya viongozi wenu na waumini wa kawaida.
 
Nyie wazee wa siku hizi mbona mna akili ndogo sana! Yaani unaamini asingegundua huyo jamaa tungekuwa gizani hadi leo, inamaana Giza lilikuwa lazima liondolewe na yeye tu kwamba asingekuwepo mwingine wa kugundua?

Ni sawa na kusema aliyegundua ndege asingegundua ni kwamba ndege zisingekuwepo leo, ni akili za wapi hizi. Asingegundua yeye ni wazi kwamba mwingine angegundua tuu. Achana na mawazo ya kitoto kuona kwamba mtu Fulani asingefanya jambo Fulani basi hilo jambo lisingefanywa na wengine.
Hata hiyo ndege bila algebra na aligorithm,isingekuwepo.Kuanzia
1.Computer Science
2.Engineering
3.Economics
4 Nk
Vyote vinategemea ugunduzi wa Mwamba huyu Mohammed Musa Al khawarithim.
Na dunia nzima,wanasoma Algebra(kitabu chake alkiita Al jabri),na lazima pia usome Algorithim.
Ukitumia chochote kilichotengenezwa,kinatokana na Algebra,algorithim,ni Mwamba huyu,Muislam Mohammed Musa Al khawarithim.Huyu pia ndio aliyegundua namba 1 2 3 4 5 6 7 8 9,na ndio kokote duniani zinaitwa arabic numbers,japo waarabu pia wana namba zao nyingine na wana alphabet yao,ambazo ndio alphabet za kiislamu,wanazofundishwa madrasa(school au sule kwa kijerumani).
Hapa tukitumia Ingormation technology,bila ugunduzi wake,tusingrkuwa na jf wala whatsapp wala facebook wala online business wala simu.
Hii itakuumiza moyo,kuona muislamu ndio amegundua Algebra(jina la kitabu chake al jabri,kwa kilatini wameandika algebra) na algorithim(jina lake la ukoo Al khawarithim,imeandikwa kwa kilatini)
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Mazao=Tende
 
Hayo ni mavazi Yesu,amevaa hivyo,na anavaa Papa,anavaa Padri,anavaa askofu.Nyinyi waumini hamruhusiwi kuvaa huko makanisani,wakati viongozi wenu wanavyaa,kuna ubaguzi mkubwa kati ya viongozi wenu na waumini wa kawaida.
Viomgozi gani wa Din wanavaa Dera?!
 
Viomgozi gani wa Din wanavaa Dera?!
Papa,askofu,padre.Yesu pia kavaa dera.Soma kutoka 28:40
Soma mwanzo 37:31
Soma Lawi 16:4
Soma ufunuo 22:14
Kwa nini hamsomi Biblia,mnatafuta ya waislamu.

Wamegundua Internet unayotumia kuwasiliana na magaidi wanzako na kuagiza tende,kanzu,baraghashia na tasbihi online..
Inernet ni muislamu Mohammed Musa alkhawarithim,ndio aligundua,algebra na algorithim,bila huyu kusingekuwepo internet.IT yote inategemea algebra na algorithm.
 
Lugha ya kiswahili ilikuwepo,nsoma historia ya lugha kiswahili.

Kulikuwa na Lahaja za Kiunguja,Kipemba, kimombasa, kitumbatu, kipate, ni Lahaja za kiswahili yaan Dialects, Lahaja hizo zilichukua maneno toka kiarabu, lakini pia kihindi, kireno,kiajemi!!

Kiarabu kama kilivyo kireno kilichangia maneno kwenye kiswahili.

Mvinyo-toka Kireno
Leso-toka kireno
Bima-toka Kiajemi
Salaam-toka kiarabu
Shukran -toka kiarabu.

Kwahiyo Kiswahili haikuletwa na waarabu/uislamu, kiswahili ni lugha Moja , na kiarabu ni lugha nyingine,

Havifanani na kiswahili katika mfumo wa sarufi muundo, wala maandishi yaani, silabi, irabu na konsonanti.

Kama una nia ya kuelewa nadhani utaelewa!!!
Neno swahili,ni neno la kiarabu,maana yake ni Pwani.Ushahidi tosha wa kuwa Kswahili(Sahili),ni lugha iliyoanzishwa na waarabu.
 
Neno swahili,ni neno la kiarabu,maana yake ni Pwani.Ushahidi tosha wa kuwa Kswahili(Sahili),ni lugha iliyoanzishwa na waarabu.
Kiswahili kina maneno mengi ya Kibantu kuliko Kiarabu vipi credit yote uwape Waarabu?!
 
Papa,askofu,padre.Yesu pia kavaa dera.Soma kutoka 28:40
Soma mwanzo 37:31
Soma Lawi 16:4
Soma ufunuo 22:14
Kwa nini hamsomi Biblia,mnatafuta ya waislamu.


Inernet ni muislamu Mohammed Musa alkhawarithim,ndio aligundua,algebra na algorithim,bila huyu kusingekuwepo internet.IT yote inategemea algebra na algorithm.
Kwa hiyo ana hati miliki ya ugunduzi wa Internet..?
 
Dera ni nguo za kike usizichanganye na Kanzu na Majoho ya Waebrania wa Kale Waarami na Waarabu.
Kasome biblia,tatizo la,wakristo hamsomi biblia.
Kutoka 28:40
Kisha utafanya kanzu kwa wana wa Haruni.......na uwafanyie kwa utukufu na uzuri.

Lawi 16:4
Atavaa ile kanzu ya kitani.....naye atavaa kofia ya kitani....hayo ndio mavazi MATAKATIFU.
 
Kasome biblia,tatizo la,wakristo hamsomi biblia.
Kutoka 28:40
Kisha utafanya kanzu kwa wana wa Haruni.......na uwafanyie kwa utukufu na uzuri.

Lawi 16:4
Atavaa ile kanzu ya kitani.....naye atavaa kofia ya kitani....hayo ndio mavazi MATAKATIFU.
Angalia nilichoandika ukakinukuu na ulivyojibu.😁
 
Kiswahili kina maneno mengi ya Kibantu kuliko Kiarabu vipi credit yote uwape Waarabu?!
Hilo neno swahilli ni neno la kiarabu,maana yake Pwani.Kama lugha hawakuanzisha wao,kwa nini lugha na watumiaji wa lugha waitwe kwa jina la kiarabu.Lete lugha moja,ambayo ina tofauti ya jina lake na kabila lililoanzisha lugha hiyo.
1.kihaya,wenyewe ni wahaya.
2.Kizaramo,wenyewe ni wazaramo
Kichaga wenyewe ni wachaga
.Kiswahili ni neno la kiarabu,Pwani,na ndivyo waarabu wanavyotaufatisha,lugha zao,kila eneo wana kiarabu,kwa mfano kiarabu cha Qur'an wanakiita FUS'HA na kiarabu cha mashamba AAM'IYA.Na kila kiarabu cha sehemu au nchi ,wanakipa jina,kama Kimisri,kimorocco,kisudan nk
 
Angalia nilichoandika ukakinukuu na ulivyojibu.😁
Huna hoja.Nimekubana.Someni biblia.Utaona mtu anakashifu kanzu kisa kavaa muislamu,wakati Papa,Askofu,Padre,Yesu,Joseph(Yusuf)wote wanavaa,tena wakati wa ibada,na katika biblia imesema ni vazi takatifu.Pia viatu alivyovaa Yesu,Kobaz,mwavkashifu.Someni,acheni kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji na kudanganywa na kudanganyika
 
Hilo neno swahilli ni neno la kiarabu,maana yake Pwani.Kama lugha hawakuanzisha wao,kwa nini lugha na watumiaji wa lugha waitwe kwa jina la kiarabu.
Kwa logic yako ni kwamba hata jina "Africa" imeanzishwa na WagirikiRoman kwahiyo Africa ni ya Wagiriki na Waroma?
 
Huna hoja.Nimekubana.Someni biblia.Utaona mtu anakashifu kanzu kisa kavaa muislamu,wakati Papa,Askofu,Padre,Yesu,Joseph(Yusuf)wote wanavaa,tena wakati wa ibada,na katika biblia imesema ni vazi takatifu.Pia viatu alivyovaa Yesu,Kobaz,mwavkashifu.Someni,acheni kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji na kudanganywa na kudanganyika
Ni wapi mimi Imhotep nimekashifu Kanzu acha victim mentality.
 
Back
Top Bottom