Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
ISLAMOPHOBIA is real among us

UISLAM ndio nini na una husika vipi na maendelo? Fafanua mkuu kwasababu Uislam haujawahi kuitawala Tanganyika

Hivi nikikwambia “Uislam” umeleta maendeleo makubwa Moroko, Algeria, Misri, Tunisia Libya utakubaliana na mimi?

Na ni wapi huko Ukristo, Uyahudi, uhindu nk ulifika na maendeleo yakawa ni ya DINI? Au hii ni kwa Uislam pekee

Tuliza kichwa na jifunze historia kwa utuo mkuu
Usikurupuke kwa chuki zako za udini
 
Dunia ya magharibi inasema uislamu umeleta ugaidi duniani na kuisambaza, japo mimi siamini hilo
 
ISLAMOPHOBIA is real among us

UISLAM ndio nini na una husika vipi na maendelo? Fafanua mkuu kwasababu Uislam haujawahi kuitawala Tanganyika

Hivi nikikwambia “Uislam” umeleta maendeleo makubwa Moroko, Algeria, Misri, Tunisia Libya utakubaliana na mimi?

Na ni wapi huko Ukristo, Uyahudi, uhindu nk ulifika na maendeleo yakawa ni ya DINI? Au hii ni kwa Uislam pekee

Tuliza kichwa na jifunze historia kwa utuo mkuu
Usikurupuke kwa chuki zako za udini

hapana, moroko, tunisia, algeria & co. ni Christian french influenced na siyo islamic, kwanza north afrika yote ilikuwa chini ya roman empire kabla ya uvamizi wa waarabu na kuleta uislamu, isitoshe hizo nchi ulizozitaja siyo dola ya kiislamu bali ni french ni kama zanzibar tu ambapo >98% muslims lkn haifwati (zanzibar) islamic system bali zanzibar ni 100% english system.

nchi ya kiislamu ni kama irani, pakistani, somalia, sudani, afghanistani &co.

irani hata inaitwa islamic republic lkn irani kabla ya mapinduzi ya kiislamu yalioondoa utawala chini ya shah, irani ilikuwa rich civilized country …

shah (pichani) wa irani kabla hajapinduliwa na waislamu na kuunda islamic republic
1743173713197.jpeg
 
uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Wameleta ushoga ukitaka kuamini njoo Zanzibar
 
Umejibu vizuri na wakumbuke kuna miji mikubwa ilizariwa kutokana na Uisilamu, kama vile Kilwa ikiwa na ustalabu wa kutosha,mfano Vasco dagama alipofika Kilwa aliikuta ni Inchi ikiwa na muundo wa utawala wa selikari pamoja na hera yake,yaani kulikuwa na ustarabu wa kutosha, na ilikuwa ikifanya biashara na inchi za mbali lakini walipokuja wazungu wenye wivu kama wewe mleta maada waliiangamiza ile miji ili kufuta historia zake waweze kutuletea huu ujinga ambao unaitwa demokrasia,
Wakati mjerumani anaivamia bara kutoka zanzibar aliwakuta kina Abushiri,Milambo,Mkwawa na wengine wakiwa wanajua kuandika na kusoma kwa lugha ya kiarabu na wamestarabika na huo ustarabu ulitokana na Uisilamu,ila walioandika histori yetu waliipotosha ili ioneka walikuta watu wajinga kama wewe mleta maada,
Zanzibar ilikuwa na kila kitu mpaka na ubalozi,Treni,Shule,Vyuo, Vitabu maghorofa, hiyo sababu ya Uisilamu,lakini hapo Mzizima Daresalam yalikuwa mapori yakiwa na simba,kumbuka Sultani ndiye aliyekuja kujenga Ikulu ya Daresalam hapo magogoni badaye sanaaa,
I
Walikuwa waarabu sio waislamu. Mbona mnajibu mambo ya warabu badala ya kusema uislamu ulileta nini!!
 
uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Wakiristo wameleta nini?
 
hapana, moroko, tunisia, algeria & co. ni Christian french influenced na siyo islamic, kwanza north afrika yote ilikuwa chini ya roman empire kabla ya uvamizi wa waarabu na kuleta uislamu, isitoshe hizo nchi ulizozitaja siyo dola ya kiislamu bali ni french ni kama zanzibar tu ambapo >98% muslims lkn haifwati (zanzibar) islamic system bali zanzibar ni 100% english system.

nchi ya kiislamu ni kama irani, pakistani, somalia, sudani, afghanistani &co.

irani hata inaitwa islamic republic lkn irani kabla ya mapinduzi ya kiislamu yalioondoa utawala chini ya shah, irani ilikuwa rich civilized country …

shah (pichani) wa irani kabla hajapinduliwa na waislamu na kuunda islamic republic
View attachment 3286067
Sasa kwanini wewe unataka nchi yako iliyotawaliwa na Uk na Ujerumani iwe na maendeleo yatakayoletwa na Uislam na sio watawala ambao ni influenced na ukristo?

Na kwanini maendeleo ya nchi za akina Misri zenye uislam karibu 100% ziwe na maendeleo wakati uislam ulifika huko kabla yetu na hau hoji ni kwanini nchi yenye waislam chini ya 50% haijaletewa maendeleo na hao uk na ujerumani ambao ni christian influenced?
 
Uislam ni tamaduni na njia ya identification kama ulivyo Uafrika. Uafrika mpaka dakika hii umefanya nn afrika?

Uko sahihi kabisa. Wengine wanadhani ni dini, kumbe ni mila, desturi na tamaduni za kiarabu. Ukiona unalazimishwa kubadili jina, lugha nk hapo ujiulize mara mbili mbili. Halafu ukiona wanalazimisha serikali ya nchi husika kuingiza mambo yao kwenye katiba ya nchi kama mahakama ya kadhi etc, ujue hapo ni shidaaa

😛
 
Back
Top Bottom