Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Moderators waangalie hizi topic za aina hii wangekuwa wanazitupa kapuni tu.
Tujifunze kuheshimu Imani za watu wengine
 
Mtu akisikia furani ametokea nchi furani anajua ni Muislam.. Hilo jina tu ni sio la kiarabu ni la asili ya Persia kwa sasa ni Iran and Iran miaka ming alikuwa ni Wapagani na walikuwa na Mungu wao.. Uislam umeleta uozo tu na vichekesho.. Jua kuzama kwenye Matope, Ndege waangani hawaanguki kwa sababu Allah anawazuia wasianguke
Furani maana yake nini ? mshamba tu.Kama hujui kuandika unakuja humu kufanya nini? Si ukae nyumbani ulee watoto ? Hata uliyoandika hayana kichwa wala miguu.
 
Back
Top Bottom