Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 2,455
- 2,888
Kiswahili kilikuwepo, ila kimechukua maneno toka lugha zingine ikiwemo kiarabu, ni jambo la kawaida kwa lugha yoyote ile.Neno swahili,ni neno la kiarabu,maana yake ni Pwani.Ushahidi tosha wa kuwa Kswahili(Sahili),ni lugha iliyoanzishwa na waarabu.
Mfano wako wa neno (Sahili) ni wa kitoto sana .
Nakufananisha na mwanafunzi wa Fizikia wa form one,
anayeanza na kujifunza definition ya physics ,
anayeshangaa KWANINI SHILINGI inazama BAHARINI, lakini meli inaelea ikiwa na mzigo wa makontena 1000 😅😅😅😅
Tuondolee UTOTO wako, a huu Mjadala upo nje ya upeo wako, nakushauri kachezee na watoto huko FACEBOOK.