Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Mnajitahidi sana kujaribu kukanusha historia ya Waarabu/Waislamu na utumwa katika Afrika ya Mashariki.
Afrika mashariki watumwa walikua Kati ya laki nane mpaka milioni,katika hao zaidi ya nusu waliuziwa wazungu, wazungu walipoacha kuhitaji watumwa biashara ikafa
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Umeleta Uhasama, Chuki na fitna Yani wewe uchinje mi Nile halafu me nikichinja we usile ni ungese huo
 
Walileta biashara ya utumwa katika Afrika ya Mashariki, hilo halina mjadala
Unang'ang'aniaga jambo kama zezeta,hata ukieleweshwa huelewi
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-29-20-00-38-058.jpg
    Screenshot_2025-03-29-20-00-38-058.jpg
    387.1 KB · Views: 13
Wale mababu zenu walikuwa wanafungwa na minyororo na kuuzwa kama kuku na waarabu leo wakiamuka watashangaa eti waafrika wamefuata ile dini ya kiislama iliyotumika kuwafunga minyororo kama mbuzi.

Mwafrika na ujinga ni kama kopo na funiko.
 
Afrika mashariki watumwa walikua Kati ya laki nane mpaka milioni,katika hao zaidi ya nusu waliuziwa wazungu, wazungu walipoacha kuhitaji watumwa biashara ikafa
Hebu elewa hoja hapa hakuna mtu anayebisha kuwa Wazungu hawakufanya biashara ya utumwa lakini biashara ya utumwa katika Afrika ya mashariki ulifanywa na Waarabu/Waisilamu kama walifanya udalali lakini hoja ni kwamba wao ndio walikuja kusomba binadamu na kwenda kuwauza.
 
Hebu elewa hoja hapa hakuna mtu anayebisha kuwa Wazungu hawakufanya biashara ya utumwa lakini biashara ya utumwa katika Afrika ya mashariki ulifanywa na Waarabu/Waisilamu kama walifanya udalali lakini hoja ni kwamba wao ndio walikuja kusomba binadamu na kwenda kuwauza.
Mteja nani na kwa nini iliisha?..halafu nimekuwekea hapo waafrika wenyewe walifanya hiyo biashara,hao wazungu walionunua watumwa kwa waarabu waliagizwa na ukristo?
 
Uisilamu ulileta Biashara na Trade katika pwani yetu ya Afrika ya Mashariki na ndio sababu ya kuzaliwa kwa lugha ya Kiswahili.
Asili ya lugha ya kiswahili ni lahaja za kibantu na siyo kiarabu.
Lugha huathiriwa ndiyo maana kuna baadhi ya maneno kutoka lugha zingine
Haya mambo yamefundishwa kidato cha 3 na 4
 
Mteja nani na kwa nini iliisha?..halafu nimekuwekea hapo waafrika wenyewe walifanya hiyo biashara,hao wazungu walionunua watumwa kwa waarabu waliagizwa na ukristo?
I don't care about mteja, Ottomans walinunua Wazungu walinunua Washirazi walinunua ninachokwambia ni kwamba walioasisi biashara ya utumwa katika Afrika ya Mashariki walikuwa ni Waarabu/Waislamu na hii ni fact.
 
Huna akili


Nikiwa na wanawake tofauti tofauti Kila mwanamke nahonga huoni kiuchumi itaniathiri vipi ?


Nimekwambia wamarekani na nchi nyingi za Magharibi wanatumia toilet papers na Bado wana innovation nyingi unazotumia wewe takataka wa kiislam.


Including hii Internet unayotukia ni ya Wamarekani. Acha kutumia Nenda msikitini
Lamba ukwaju naona unahisi kutapika
 
Uislam uliopo kwenye mikoa ya mashariki mwa Tanzania umechangia hii amani tunayoikejeli. Watu wa mikoa ya Tanga, Pwani, Dar, Lindi na Mtwara wasingekuwa waungwana leo hii pengine tungekuwa tumeshachafuana sawa na Sudan iliyogawanyika vipande viwili sababu ya ubinafsi wa wakristo na waislam.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Nafikiri hapa hata elimu ndogo inachangia mtu kuibuka na wazo kama hili ,lakini lazima tukubaliane kwamba watu kama hawa wapo.Civilization na jambo pana kimtizamo na inategemea unalenga nini.Wewe kwa akili ndogo unataka kuona zao na useme zao hili limeletwa na Uislam.Nadhani hili tu linatosha kabisa kuonyesha wewe mwenyewe you're not civilized kutoka kutoka kichwani mpaka kwenye vidole vya mguuni.Kwa mtizamo wa kidini wewe inaonekana ni Pagan kwa sababu Mkiristo au Myahudi ambaye yuko vizuri kwenye dini hawezi kuwa na fikra hasi kama hizi.Mathalan nchi za Maharibi ambao kwa asilimia kubwa wengi wao dini yao inajulikana ,mapenzi ya jinsia moja kwao ni ruhusa na imefikia hatua inawahusisha mpaka viongozi wakubwa kabisa,,kwa mtizamo wako wewe hili kwako utasema dini ya watu hawa imeleta civilization ya ushoga.
Dada yangu elewa kwamba dini hizi zote zimeletwa tu.Amini unachoiamini .Kabla hawajaja hao walioleta dini tuliishi maisha yetu.
 
Wale mababu zenu walikuwa wanafungwa na minyororo na kuuzwa kama kuku na waarabu leo wakiamuka watashangaa eti waafrika wamefuata ile dini ya kiislama iliyotumika kuwafunga minyororo kama mbuzi.

Mwafrika na ujinga ni kama kopo na funiko.

wakati waislamu feki tanzagiza wanagawa bandari kwa mwarabu kuna shehe alisema waarabu wamerudi kuchukuwa mali yao yaani bandari zetu ni mali za waarabu na huyo shehe ni mweusi tiii …
 
Minazi, miembe, lugha, maandishi, utamaduni wa kiarabu, majina, majini, mavazi
 
Back
Top Bottom