Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,339
- 25,858
Kwan hakuna waafrika waislam?unataka kusema uislam umemeza uafrika?
Kwan hakuna waafrika waislam?unataka kusema uislam umemeza uafrika?
Lugha ya kiswahili ilikuwepo,nsoma historia ya lugha kiswahili.Muingiliano wa wenyeji na waarabu ambao walikuwa ni waislam ndio kulizaa lugha ya kiswahili.
Baadhi ni kiarabuAsante , shikamoo, madrasa, mwalimu,marahaba ,gari,gunia,dunia hayo ni baadhi ya maneno yaliyoletwa na hao wageni kutoka mashariki ya mbali na kati
Na kifanya lugha ya kiswahili kuzid kukua
qatar, kuwait, etc zote zinafanya vizuri na zinafuata 100% sheria na utamaduni wa kiislamu na hata wazungu walivyopeleka world cup walitaka kubadilisha utaratibu ila ikashindikana, na ukizungumzia nchi kama iraq na syria au libya are u blind to that extent hadi hujui wala huoni uharibifu unaofanywa na wazungu kwenye nchi hizokama ni kweli ulivyosema how come nchi za kiislamu ni the poorest dunia hii? top bottom countries zote yemeni, syria, afghanistan, somalia, irak, sudani, mali, mauritania, chad zote full of muslims, kwa nini unafikiri? hata nchi chache ambazo zina waislamu zinazofanya vizuri zilianzishwa na Western Christians kama uae, qatar au hata malaysia na indonesia, lkn nchi zinazofwata uislamu kama way of life ziko back ward kama irani au pakistani kabla ya islamic revolution chini ya shah ilikuwa (irani) prosperous mpaka ilipopindiliwa na uislamu sasa hivi ni pariah state, kwa nini uislamu umeshindwa kuendeleza huko kwa waislamu kama ulioyaandika yana ukweli wowote? ?
Mnyonge mnyongeni, lakini mchango wa maneno ya kireno ni kidogo sana mchango wa Lugha ya Kiarabu ni mkubwa.Lugha ya kiswahili ilikuwepo,nsoma historia ya lugha kiswahili.
Tendeuislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Tende na Halua.Tende
Biashara ya utumwa na pembe za ndovu ni mojawapo ya Biashara za hovyo sana kuwahi kutokea duniani.Uisilamu ulileta Biashara na Trade katika pwani yetu ya Afrika ya Mashariki na ndio sababu ya kuzaliwa kwa lugha ya Kiswahili.
Waislamu achaneni na Hawa watoto wa PAPA ili wapate muda mzuri wa kuzibuliwa visamvuuislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Sasa huo ni uislamu au ni tabia ya mtu?Katika mambo yote, ni huu UTAMADUNI walio tuletea ambao sasa tunaona matokeo yake toka kwa viongozi wetu kama tuliye naye sasa.
Huu utamaduni wa kulaghai laghai watu; kutumia lugha laini huku mambo mazito yanayoigharimu nchi yakifanyika kisiri siri. Tabia ya kutokuwa wazi juu ya jambo analonuia kulifanya kiongozi au mtu na UNAFIKI mwingi.
Haya mambo ya UCHAWA sasa hivi ni sehemu ya tamaduni hizi tulizo letewa na watu wa nje kupitia kwenye dini zao.
Biashara ya utumwa pia ilishamiri sana.kabla ya uvamizi wa wareno na husda zao kuanzia Somalia mpaka sofala ilikuwa chini ya dola ya kiislamu na uchumi ulikuwa vizuri sana, tuseme hata magofu ya kilwa hauyaoni? yale maghorofa yalijengwa na wamasai?.
Biashara ya Utumwa ilikuwa ya hovyo sana kufanywa na Waislamu na Waarabu katika pwani ya Afrika Mashariki lakini Biashara ya pembe za ndovu mimi nafikiri Tembo walikuwa ni wengi sana kipindi hicho.Biashara ya utumwa na pembe za ndovu ni mojawapo ya Biashara za hovyo sana kuwahi kutokea duniani.
USHIRIKINA...uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Uchawi ulikuwepo Afrika kabla ya ujio wa wageni na MaPharao wa Misri ya kale ndio walikuwa mabingwa kwenye hiyo Sanaa ya Uchawi.USHIRIKINA...
Kama Africa Mashariki ni pamoja na Ethiopia na Eritrea utamaduni wa kusoma na kuandika ulikuwepo kabla ya ujio wa waarabu na Uislamu.Mimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
Logic ipo hivi, sio kweli wao wamesababisha kuzaliwa kwa kiswahili, Kuzaliwa maanake kitu hakikupata kuwepo kabla.Mnyonge mnyongeni, lakini mchango wa maneno ya kireno ni kidogo sana mchango wa Lugha ya Kiarabu ni mkubwa.
Neno KISWAHILI pia limetokana na neno la Kiarabu SAHEL au SAHIL.
Hauwezi kuitaja Historia ya Pwani ya Afrika ya mashariki bila kutaja mchango wa Waarabu na Waisilamu.
Stara ni nini??Uislamu umeleta stara
Unavyoandika kitu humu inabidi uwe na uelewa wa kutosha utachekesha ndugu yangu,kuna mabingwa wa Lugha humu ndani usijione kama uko kijiweni unazungumza na watu unaowajua elimu zao,kiarabu kina asilimia nisema 40 katika maneno ya kiswahili,mimi nimesoma kiarabu,na kileno ndiyo Lugha yangu,aliyekwambia Lesso ni neno la kiarabu nani?Voçe no stà boa de cabeça labda neno ninalojua linafanana na kireno ni Meza peke yake,hiyo lesso inatwa lesenhoLugha ya kiswahili ilikuwepo,nsoma historia ya lugha kiswahili.
Kulikuwa na Lahaja za Kiunguja,Kipemba, kimombasa, kitumbatu, kipate, ni Lahaja za kiswahili yaan Dialects, Lahaja hizo zilichukua maneno toka kiarabu, lakini pia kihindi, kireno,kiajemi!!
Kiarabu kama kilivyo kireno kilichangia maneno kwenye kiswahili.
Mvinyo-toka Kireno
Leso-toka kireno
Bima-toka Kiajemi
Salaam-toka kiarabu
Shukran -toka kiarabu.
Kwahiyo Kiswahili haikuletwa na waarabu/uislamu, kiswahili ni lugha Moja , na kiarabu ni lugha nyingine,
Havifanani na kiswahili katika mfumo wa sarufi muundo, wala maandishi yaani, silabi, irabu na konsonanti.
Kama una nia ya kuelewa nadhani utaelewa!!!
Sip kweli, mazao mengi kama mihogo, mahindi, mchele na matunda kama mananasi, machungwa n.k yaliletwa Africa na Wazungu hasa Wareno.Miti yote maarufu ya matunda ililetwa na waislamu pamoja na mazoo ya biashara.Ndio maana hiyo miti inaonekana sehemu za mwanzo kustaarabika na zilizokaliwa na waislamu.
Kumbuka kabla ya kuja wazungu waislamu pekee ndio waliokuwa wasafiri kuizunguka dunia.
Swali lako lina majibu tele humu humu pamoja na hivyo ni bora upewe utangulizi kidogo kwani umemaliza shule mwaka jana.
Punguza jazba we POPOMA,Tafiti zinajibiwa kwa tafiti, mimi sijajitangaza kwamba mimi ni bingwa, ila wewe nakuona huna hoja, zaidi ya mihemko!!Unavyoandika kitu humu inabidi uwe na uelewa wa kutosha utachekesha ndugu yangu,kuna mabingwa wa Lugha humu ndani usijione kama uko kijiweni unazungumza na watu unaowajua elimu zao,kiarabu kina asilimia nisema 40 katika maneno ya kiswahili,mimi nimesoma kiarabu,na kileno ndiyo Lugha yangu,aliyekwambia Lesso ni neno la kiarabu nani?Voçe no stà boa de cabeça labda neno ninalojua linafanana na kireno ni Meza peke yake,hiyo lesso inatwa lesenho