Manyahe
JF-Expert Member
- Mar 17, 2023
- 622
- 1,052
DuhKuna watu nikiwambia wewe ni genius huwa wanakataaa...
Nazani wakiona hii wataamini.
Mkuu kiukweli umekua mtu wa kuni inspire sana aiseee yaan huwa unawaza sana beyond human abilities
DuhKuna watu nikiwambia wewe ni genius huwa wanakataaa...
Nazani wakiona hii wataamini.
Mkuu kiukweli umekua mtu wa kuni inspire sana aiseee yaan huwa unawaza sana beyond human abilities
Good observationMimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
Wapi boss nikufwateNjoo uchukue ya kuswalia Eid.
UhuruUislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Unatumia Cha wapi mkuu, uniuzie na Mimi hahahahaUmeleta daku na futari
Hili la kujilipua na kujitoa mhanga nilikilifikiria nachoka kabisa.Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Umefundisha usafi na ustaarabu, umefundisha mkisha jisadia haja kubwa mtumie maji kujisafisha, muache kujisiriba na makarasi.🤣🤣🤣Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Walikuwa wakiishi waafrika? Kwenye hayo magofu?Kabla ya uvamizi wa wareno na husda zao kuanzia Somalia mpaka sofala ilikuwa chini ya dola ya kiislamu na uchumi ulikuwa vizuri sana, tuseme hata magofu ya kilwa hauyaoni? yale maghorofa yalijengwa na wamasai?.
Kusoma na kuandika kiarabu kumewasaidia nini waislamu wa Tanzania kimaendeleo?Mimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
Worldwide UGAIDI1.vurugu
2.Fujo
3.Maandamano
Dini ya kiislamu si dini ni kikundi cha wahuni tu.
Jinalako linasadifu ujinga ulotopea kichwani mwako, nenda kadeki vyumba vya mabwana zako ndio kazi unayoijua JF Sio mahala pako.Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Salamu ya
Kuichagua CCM chama chako kokoKusoma na kuandika kiarabu kumewasaidia nini waislamu wa Tanzania kimaendeleo?
Ulitaka huo uislamu ukuletee nini?Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Tende.Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
VipedoUislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Uislam umeleta majini, magaidi, watu double line,Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?